Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mkuu wa Shirika la Mapadre wa Roho Mtakatifu, anasikitika kutangaza kifo cha Padre Josaphat Kilawila, CSSp, kilichotokea Jana tarehe 23 Machi 2021 Saa 2:30 Usiku! Mungu amjalie pumziko la Amani...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari kwenu ndugu zangu. Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo. Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili...
4 Reactions
55 Replies
8K Views
Msimamizi wa Jimbo Katoliki Tanga, Pd. Thomas Kiangio, anasikitika kutangaza kifo cha Pd. Richard J. Mshami, kilichotokea tarehe 10/03/2021 katika Hospitali ya Rugambwa huko Dar es Salaam...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo @jokatemwegelo , Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia Alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa...
6 Reactions
318 Replies
53K Views
Uongozi wa Chuo Kikuu Ardhi umetangaza msiba wa Mhadhiri wake katika skuli ya Earth Sciences, Real Estate, Business and Informatics (SERBI), Dkt. Job Asheri Chaula kilichotokea leo katika...
3 Reactions
110 Replies
29K Views
Chama cha mawakili Tanganyika (TLS) kimepata pigo baada ya aliyekuwa mwanachama cha Chama hicho wakili Loomu Ojare kufariki dunia ghafla akiwa kazini. Ojare alifariki dunia na kuzikwa nyumbanj...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Fred Jim Mdoe mwandishi wa habari nguli aliyewahi kufanya kazi BBC amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kiharusi. Fred Mdoe enzi za uhai wake RIP Mdoe
4 Reactions
43 Replies
9K Views
Zaw Myat Linn ni kiongozi wa pili wa chama cha National League for Democracy (NLD) kufariki akiwa mikononi mwa polisi. Wanasisa wanadai kuwa alipigwa sana baada ya kukamatwa siku ya Jumanne...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mhashamu Askofu Ludovick Minde wa Jimbo la Moshi anasikitika kuwajulisha kwamba usiku wa kuamkia leo Jumapili tarehe 7 Machi 2021, Jimbo Katoliki la Moshi limepata msiba mwingine wa kuondokewa na...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo. Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Ernest Donald Boyo wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa...
17 Reactions
96 Replies
13K Views
Mhashamu Baba Askofu Ludovick Joseph Minde wa Jimbo Katoliki La Moshi anatangaza kifo cha Mh. Padre Bonaventura Kisamaka kilichotokea Leo Jumatano 03/03/2021 katika hospitali ya Mt. Joseph Soweto...
14 Reactions
88 Replies
10K Views
TANZIA. Shirika la Watawa wa Mtakatifu Benedicto Abasia ya Ndanda, iliyopo Jimbo katoliki Mtwara, wanatangaza kifo cha Baba Abate wa Abasia ya Ndanda Padre Plasidius Mtunguja OSB, kilichotokea...
5 Reactions
61 Replies
8K Views
Maneno haya hapa Ni kutoka kwenye fb page ya Askofu Kilaini. Kwaheri Fr. Wilfrid Dinho. Pole sana Baba Ruzoka na wana Tabora ndugu na jamaa. . Huyu Fr. Dinho ni mmojawapo wa classmates wangu...
26 Reactions
72 Replies
8K Views
R.I.P Wakili Msomi Judith Mushumbusi Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani tukaonane tena katika asubuhi ile iliyo njema na Kuu. NOTE: Tuendelee...
42 Reactions
125 Replies
17K Views
Uongozi wa Shirika la Mapadri wa ALCP/OSS-Kanda ya Afrika, wanatangaza kifo cha mpendwa Padre BENEDICT NDEYEKIYO kilichotokea Mwananyamala Jimbo Kuu Dar Es Salaam leo 26.01.2021 asubuhi. Taarifa...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Chanzo changamoto ya upumuaji. R.I.P kwa jumuiya ya shirika la Mitume wa YESU.. Na shule ya sekondari Star High School
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Dr Abraham Katesigwa wa Tumaini Health Center, katika mji mdogo wa RULENGE NGARA alifariki dunia Jana tarehe 01/03/2021 katika Hospital ya mission RULENGE tatizo lililopelekea kifo chake ni kuugua...
3 Reactions
49 Replies
8K Views
Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini Moshi, Arthur Shoo amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC alikokuwa...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji Samuel Victor Gibson Karua kilichotokea leo tarehe 26/02/2021...
10 Reactions
70 Replies
11K Views
Balozi Richard Mariki amefariki Jumapili iliyopita. Amesumbuliwa na changamoto ya kupumua kwa muda mfupi. Anakumbukwa kwa ustaarabu wake na alikuwa muumini pale Mbezi Beach KKKT.
2 Reactions
74 Replies
12K Views
Back
Top Bottom