Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya...
9 Reactions
129 Replies
17K Views
Profesa wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, George Shumbusho amefariki dunia leo Jumatano Februari 24, 2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu...
8 Reactions
50 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo amefariki dunia leo Jumanne Februari 23, 2020. Katibu mwenezi CCM mkoani humo, Mayunga George amethibitisha. Chanzo: Mwananchi
7 Reactions
66 Replies
8K Views
Habari za Jumapili wapendwa? Kwa tunaomfahamu Profesa Mamiro wa SUA amefariki Pia soma > TANZIA - Dkt. Peter Mamiro afariki dunia zikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe(Prof. Delphina Mamiro)...
2 Reactions
110 Replies
22K Views
Habari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe, Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter...
11 Reactions
172 Replies
29K Views
Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri. Wiki iliyopita mama huyo alikuwa...
3 Reactions
73 Replies
9K Views
Kwa masikitiko, tena makubwa, nimepata habari za kifo cha Manager wa TANROADS mkoa wa Dar es Salaam, Mhandisi Ngussa. Alikuwa rafiki yangu zaidi ya miaka 20. Kwa kweli nimeumia. Nimeongea naye...
15 Reactions
113 Replies
21K Views
Waziri wa zamani katika serikali ya awamu ya nne, Profesa Mark Mwandosya ametangaza kifo cha baba yake mdogo, Agen Mwandosya kilichotokana na kile alichokiita kuwa ni “changamoto ya kupumua”...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
MKE wa Balozi Mstaafu, Balozi Christopher Celestine LIUNDI, Bibi Rahma Simbaliundi, amefariji jana jioni jijini Dar es Salaam. Mama Liundi amefariki akipata matibabu katika Hospitali ya Chuo...
4 Reactions
42 Replies
44K Views
Tunatoa pole kwa familia Moshi. Mwandishi wa habari wa redio Moshi FM, Deogratius Kessy (26) amefariki dunia katika ajali baada ya gari alilokuwa amepanda kuacha njia na kugonga bajaji. Kessy...
5 Reactions
22 Replies
5K Views
Padri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali . ==== TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza...
6 Reactions
78 Replies
12K Views
Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
12 Reactions
143 Replies
17K Views
Mwanazuoni nguli Profesa James Lwelamira amefariki dunia leo asubuhi ktk hospital ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma ambapo alikuwa akipatiwa matibabu. Chanzo cha kifo taarifa ya daktari bado haijatoka.
7 Reactions
158 Replies
19K Views
Kwa masikitiko makubwa sana Ndugu yetu Wakili Msomi Geofrey Noah amefariki dunia leo hii jijini Arusha kwa tatizo la upumuaji. Mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa amani. Amina. Wakili...
6 Reactions
135 Replies
15K Views
Wakuu, Taarifa iliyotolewa ni kwamba Prof. Bakari Lembariti wa Chuo cha Muhimbili (MUHAS) Afariki Dunia. Alazwe mahali pema peponi.
4 Reactions
71 Replies
15K Views
Naibu Kamishna wa Magereza, Julius Sang'udi amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma leo Januari 20, 2021, Mkuu wa Jeshi hilo Meja Jenerali Suleiman Mzee amethibitisha.
5 Reactions
60 Replies
9K Views
Ni huzuni Ni majonzi Mpendwa wetu ametutoka akipatiwa matibabu Hospitali Mugana wilayani Misenyi Mtumishi huyu wa Bwana amehitimisha safari yake ya Utume katika Parokia ya Mtakatifu Yohana Maria...
8 Reactions
96 Replies
12K Views
RIP our lecturer
5 Reactions
75 Replies
11K Views
Back
Top Bottom