Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Oh! Prudence Karugendo amefariki Dunia. Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mwanafamilia mwenzangu kwenye tasnia ya habari. Nilimfahamu Prudence hususani kwenye kazi yetu ya uandishi wa...
13 Reactions
106 Replies
13K Views
R.I.P the Former Chaneta Chairperson!! Tahadhari kwa Filbert Bayi Schools. Mkurugenzi huyu alikuwa chachu kubwa ya maendeleo ya Filbert Bayi. Mwenyekiti wa zamani wa CHANETA Anna Bayi, ambaye...
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Aliyewahi kuwa Mtangazaji wa SAHARA MEDIA Mwal Charles Katoma Amefariki Dunia. Mpaka anafikwa na umauti Mwalimu Katoma alikuwa mwalimu mkuu Msaidizi wa Shule ya Sekondari Lake iliyoko jijini...
7 Reactions
15 Replies
4K Views
Wapendwa katika imani tumsifu Yesu kristo. Father Baptist Mapunda wa Kanisa Katoliki Parokia ya bikra Maria Usagara Jimbo Kuu la Mwanza amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea huko...
4 Reactions
22 Replies
6K Views
Taarifa ndio hiyo, Sister V aliyekuwa mtangazaji wa Radio Uhuru, mtoto wa Kiongizi Mkongwe hapa nchini Chrisant Majiyatanga Mzindakaya, amefariki. Tulikuwa nae Taifa juzi kwenye mechi ya Yanga na...
6 Reactions
142 Replies
40K Views
Wapendwa wana JF, mwenzetu Saint Anne, amefiwa na baba yake leo. Ninaomba tu kila mmoja wetu kwa Imani yake; amuweke Anne na familia nzima kwenye maombi. Mungu akawafariji, akawatie nguvu na...
72 Reactions
386 Replies
25K Views
Mwanamuziki mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar alikokuwa akitibiwa maradhi ya tumbo. Ismail, ambaye ni kaka yake mpiga picha...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Muuza magari maarufu jijini Dar es Salaam, Akachube afariki dunia usiku wa kuamkia leo. Ndugu wa karibu wamesema amefariki kwa ugonjwa wa Nimonia. Umaarufu wake ulipelekea mpaka kupewa barabara...
19 Reactions
200 Replies
63K Views
Habari wana jukwaa. Nasikitika kutangaza kifo cha member mwenzetu kwa jina Ramaa Tech. Kijana aliyekuwa anajishughulisha na mambo ya graphics designing amefarika jana kwa ajali ya pikipiki...
30 Reactions
145 Replies
16K Views
Mzee Shareef Al Ahdal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Mama SABETHA JOHN MWAMBENJA amefariki katika hospitali ya Aga Khan alikokuwa akioatiwa matibabu. Mama Mwambenja alipata kuongozana taasisi mbalimbali za kifedha ikiwemo benki ya Exim, na benki...
4 Reactions
34 Replies
7K Views
Rais mstaafu Jakaya Kikwete anatangaza msiba wa kaka yake ndugu Khalifan Seleman Kikwete uliotokea leo asubuhi. Msiba upo Msasani kwa Rais huyo mstaafu. -- TANZIA Innalilahi Wainnaillaih Rajiuun...
7 Reactions
71 Replies
17K Views
Director of Ops mstaafu wa Air Tanzania Captain, Narzis Mapunda jana asubuhi tarehe 23/05/2021. RIP Capt. Mapunda. ===== Mwaka 2019 Kapteni Mapunda ambae ni rubani mstaafu alitunukiwa tuzo na...
8 Reactions
64 Replies
8K Views
Habarini Wadau Tunasikitika sana Kuleta Tangazo la Kifo cha Ajali ya Gari iliyotokea leo Iguguno shamba high way ya Singida Mwanza. Mr. Adam Msangi aliekuwa mratibu wa Tasaf Wilaya ya Iramba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Jamii Media Limited inasikitika kutangaza kuondokewa na mmoja wa wafanyakazi wake, Mwandishi Mkuu wa FikraPevu.com, Dotto J. Mnzava aliyefariki leo, Disemba 14, 2015 kufuatia ajali iliyohusisha...
2 Reactions
398 Replies
55K Views
Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo. Anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills, Zan fast ferries , majipoa Nk. Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
34 Reactions
189 Replies
68K Views
Msiba mkubwa wa kumpoteza Sheikh Salum Mahami akiongoza Mkoa wa Singida aliyetutoka leo Alhamisi Aprili 15, 2021 Tunatoa pole kwa wafiwa wote Bwana ametoa & Bwana ametwaa & Jina lake lihimidiwe...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Naleta hapa Tangazo la Kifo cha Msgr Mbiku kama lilivyotolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo. Kwa masikitiko makubwa...
6 Reactions
69 Replies
10K Views
Back
Top Bottom