Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Alikuwa Mwandishi Mwandamizi Radio Free Africa na Star TV. Amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 6 Oktoba baada ya kuugua kwa muda Mfupi nyumbani kwake Mjini Bunda- Mkoa wa Mara.
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Professor Frank Chiteji amefariki dunia. Tumetoka mbali pamoja. Nilifahamiana naye kwa miaka mingi sana tangu mwishoni mwa miaka ya sabini alipokuwa mwanafunzi Michigan State University pamoja...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwandishi wa Habari wa Azam TV Mkoani Kagera Nicolaus Mac Ngaiza amefariki dunia huku mwandishi wa Habari wa Clouds TV akijeruhiwa usiku wa kuamkia leo baada ya kupata ajali ya gari eneo la...
4 Reactions
78 Replies
8K Views
Mwandishi wa habari wa ITV, ambaye alikuwa ni reporter kutoka mkoa wa Songwe Amefariki Dunia kwa ajari ya Gari. RIP Gabriel Kandonga. Chanzo: ITV
5 Reactions
88 Replies
10K Views
Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa: Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER. Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeeni...
40 Reactions
424 Replies
81K Views
Kwa ambaye anamfahamu SSGT Ruta alikuwa Msata amejiua kwenye kaburi la mke wake ambaye alifariki siku ya Jumamosi huko Kilakala kaacha ujumbe kuwa alikuwa anampenda mke wake. ======== Dar es...
20 Reactions
310 Replies
30K Views
Tuliowahi Kusoma Kibaha Boys, wale Wa Kibaha Girls, na Tumbi Sekondari Watakuwa Wanamkumbuka Mkuu Wa Shule Ya Wasichana Kibaha na Pia Mkuu Wa Shule Ya Sekondari Tumbi. Mwl.Prosscovier K. Luhaga...
6 Reactions
39 Replies
4K Views
Medani ya soka nchini imepata pigo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Alhaji Muhidin Ndolanga kilichotokea leo jioni Dar es Salaam Ofisa habari wa TFF...
9 Reactions
90 Replies
11K Views
Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupatwa na ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam. Bwana Harusi aendaye kwa jina la Tom...
13 Reactions
162 Replies
27K Views
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha amefariki dunia. Mfanyabiashara wa Arusha Mathias Manga, mmiliki wa Gold Crest Mwanza na Arusha, amefariki akiwa...
17 Reactions
411 Replies
67K Views
Tumepambana ila yeye (Mungu) kaamua yake simlaumu ila nina maswali mengi sana. Why now? I lost my mother 4th February this year and today is 4th I'm puzzled ila Ndio naanza uyatima leo Now I...
64 Reactions
281 Replies
16K Views
Tumaini Kakuyu Mlewa alikuwa ndiye mtu wa Kwanza kuwa na kampuni professional ya usafi akichukua tenda kwenye ofisi za makampuni mbalimbali, mahospitali viwanda nk kupitia kampuni yake ya Fame...
16 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba. Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo...
118 Reactions
269 Replies
16K Views
Apumzike kwa amani Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .
19 Reactions
59 Replies
9K Views
Mhashamu Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam anasikitika kuwatangazia kwamba leo tarehe 18/08/2021 saa 10.30 jioni hii mpendwa wetu PADRE PAUL HAULE ameitwa nyumbani...
15 Reactions
93 Replies
12K Views
Hakuna kukimbilia Chato au Gamboshi safari huu.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Dkt. Hassan Doulla, ambaye ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto amefariki dunia. Kwa wale wazazi wenzangu wakaazi wa Dar es Salaam bila shaka mlipata kufika au kushauriwa kufika kwenye...
8 Reactions
77 Replies
17K Views
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia. Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko...
37 Reactions
171 Replies
16K Views
Aliyewahi kuwa Mtangazaji maarufu wa Radio free Afrika na Star Tv, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7. Atakumbukwa zaidi katika vipindi mbali mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo...
16 Reactions
133 Replies
27K Views
Peter Richard Mwendamseke alikuwa kijana mjasiriamali, akijikita zaidi kwenye mifumo wa mawasiliano. Pia Peter Richard Mwendamseke alikuwa ni mdau mkubwa wa burudani na michezo. Hakika wana...
12 Reactions
71 Replies
11K Views
Back
Top Bottom