Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431] R.I.P AGNES ALMASY. UPDATE: Mtangazaji wa ITV, Agnes Almas...
13 Reactions
242 Replies
51K Views
Mdogowa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, marehemu Zacharia Hans Poppe aitwaye Eddy Hans Poppe, (pichani kushoto) amefariki dunia juzi Jumamosi, septemba 18, 2021...
12 Reactions
138 Replies
20K Views
Kwa waliofanikiwa kusoma UDSM miaka ya elfu mbili na kuendelea na kwa waliosoma UDOM pia miaka hii ya karibuni Idara ya physics nadhani jina hili sio geni kwao, DKT. TYILIA Hatunae duniani...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari zilizosambaa jioni hii hapa mjini Kibaha inasemekana dokta bingwa wa mifupa dr. Bake amefariki dunia. Dr. Bake enzi za uhai wake
1 Reactions
67 Replies
21K Views
Mmiliki wa Baa Maarufu Dar es Salaam na Tanzania iitwayo ROSE GARDEN iliyopo Mikocheni Dar es Salaam, Mzee Damas Assey amefariki Dunia leo. Mzee huyu ambaye pia anamiliki Shule za St. Florence na...
12 Reactions
111 Replies
19K Views
Joseph Mfugale ambaye alikuwa mmiliki mwenza wa Peacock hoteli amefariki dunia leo asubuhi. ======== Mmiliki wa hoteli ya Peacock, Joseph Mfugale amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam. Mmoja...
5 Reactions
40 Replies
12K Views
Tunatoa Pole kwa wafiwa Marehemu atafanyiwa Maziko kesho February 01, 2022 Kwamndolwa Korogwe Tanga
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefiwa na kaka yake Askofu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Gerald Mpango. Askofu Gerald Mpango amefariki tarehe 19...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari zilizonifikia usiku wa kuamkia leo ni kwamba Balozi mstaafu na kada mashuhuri wa Chama cha mapinduzi Dr. Emanuel Nchimbi amefiwa naa baba yake mzazi. Mzee Alphonso Nchimbi amefariki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mirembe Hospitali inasikitika kuwatangazia kifo cha muuguzi mwenzetu Rufina Komba , ambaye amefariki asubuhi ya leo. Kifo cha kikatili kwa kukatwa na mapanga na kuchomwa moto na mumewe.
9 Reactions
96 Replies
11K Views
Watu 9 wamefariki dunia na wengine 6 kuokolewa wakiwa hai baada ya boti kuzama baharini Kisiwani Pemba wakati watu hao wakitokea Chakechake kwenda kisiwa cha Panza kwenye shughuli za mazishi...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mmoja wa Wasanii maarufu ambaye pia ni Mwanahabari mkongwe, Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia Mzee Kambaulaya amefariki Januari 4 katika Hospitali ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hayati Prof. Kanywanyi Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Slaam (UDSM), Profesa Josaphat Kanywanyi hatunaye tena tangu tarehe 10 Januari 2021. Anajulikana kwa kuwa mhadhiri wa muda mrefu wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Baba Privatus #Karugendo amefariki dunia usiku huu. #RIPFrKarugendo Baadhi ya maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii. 14/6/2021 “Kutafakari na kuhoji ni dalili Za uhai. Maiti haiwezi...
31 Reactions
197 Replies
55K Views
Alikua head wa Breast Unit Muhimbili,Dr humble na Muugwana,amefariki jana kwenye msiba wa mdogo wake baada ya kuaga mwili akaishiwa nguvu. Nitakukumbuka kwa kunihudumia bila kuchoka mpaka...
6 Reactions
61 Replies
8K Views
Wadau za Jioni, Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili...
21 Reactions
353 Replies
84K Views
Mtoto wa Masoud Kipanya maarufu Malcolm the Believer amefariki jioni hii alipokimbizwa Hospitali Muhimbili kwa matibabu ya dharula ( Emergency) Msiba utakuwa Mwenge kwa Babu yake na mazishi ni...
98 Reactions
218 Replies
34K Views
Wakili Msomi Kibuta Ongwamuhana amefariki akiwa anapatiwa Matibabu Nchini Afrika ya Kusini. Katika Wanasheria walioisumbua Serikali ya Tanzania kipindi cha miaka mitano iliyopita ni Mzee Kibuta...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Aliyekuwa Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na baadaye kuhamishiwa Mtwara, Geofrey Mwambapa amefariki Dunia. Hakujatolewa taarifa zaidi za ugonjwa wake wala hospitali aliyofia Pumzika kwa...
11 Reactions
100 Replies
14K Views
Back
Top Bottom