Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari Wakuu! Nimepokea taarifa sasa hivi kwamba aliyekuwa mtangangazaji wa Radio Free Africa na MC maarufu Baina Kamukuru amefariki dunia huko jijini Dar es Salaam Mliko Dar plz naomba...
1 Reactions
112 Replies
32K Views
Askofu Joseph R. Mlola, ALCP/OSS, wa Jimbo Katoliki Kigoma anasikitika kuwajulisha kuwa ndugu yetu Padre Raymond Saba, ameitika sauti ya Mungu kutoka dunia hii leo kama saa mbili kasoro dakika...
7 Reactions
116 Replies
17K Views
MKONGWE wa Tasnia ya Maigizo nchini Mohammed Fungafunga maarufu Kama Mzee Jengua amefariki dunia asubuhi ya Disemba 15 huko Mkuranga, mkoani Pwani. Marehemu alikua akisumbuliwa na Maradhi ya...
35 Reactions
173 Replies
32K Views
Hapa chini kunajieleza zaidi: Apumzike kwa amani Profesa Mutabaji.
7 Reactions
34 Replies
6K Views
Shakirali Hassanali Almaarufu Mzee Masumin Amefariki nchini India leo Jumatano July 28, 2021. Mzee Masumin ameacha mke na watoto wanne. Marehemu atazikwa leo Mjini Mumbai, India. Masumin...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Profesa wa chuo kikuu Ardhi, Eleuther Mwageni amefariki dunia hii leo Pia Profesa Eleuther Mwageni mnamo June 8, aliteuliwa na Rais Samia kuwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo CBE Bwana...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Inasomeka huko Mbezi eneo la Msakuzi. Mtu mmoja ambaye jina lake ambalo bado halijafahamika, kabila ni Mchaga amekutwa kajinyonga akiwa nyumbani kwake eneo la Mbezi Msakuzi. Moja ya mashuhuda...
15 Reactions
85 Replies
8K Views
Familia ya Freeman Aikael Mbowe wametangaza kifo cha Baba Mdogo wa Mbowe aitwaye Manase Alphayo Mbowe aliyefariki baada ya kupata mshtuko baada ya kupata taarifa za mwanaye kutuhumiwa Ugaidi...
8 Reactions
105 Replies
13K Views
Msanii wa Muziki, Waziri Ally Kissinger wa The Kilimanjaro Band (wana Njenje) amefariki dunia usiku huu katika Hospitali ya Mwananyamala. Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki. 3rd wv
12 Reactions
89 Replies
13K Views
Mhilu, alifariki jana akiwa ARUSHA baada ya kuugua muda mfupi. Msiba uko UKUN, BAGAMOYO. Wakati wa uhai wake amewahi kuwa Mkuu wa Shule EAGLES, Bagamoyo na kufundisha shule mbalimbali zikiwemo...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada...
33 Reactions
179 Replies
21K Views
Nasikitika sana kuwatangazia kifo cha mwanajamiiforums Paul Buchira Katamuzi sijajua kuwa humu alikuwa anatumia jina gani ila alikuwepo na mara nyingi alikuwa anaizungumzia ofisi yake {CATAUX...
12 Reactions
69 Replies
7K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Elishilia Kaaya amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AICC jijini...
4 Reactions
58 Replies
7K Views
Mmiliki wa kampuni ya songoro Marine amefariki Dunia akiwa mkoani Mbeya Mwananchi limeripoti.
9 Reactions
85 Replies
15K Views
Mkazi maarufu wa mjini Morogoro, Hassan Bantu pichani chini amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili alikopelekwa baada ya kuugua kwa muda mfupi: Hassan Bantu alikuwa mfanyabiashara...
11 Reactions
65 Replies
9K Views
Mwanzilishi wa Radio ya kwanza binafsi nchini Tanzania (Radio Tumaini), Padre Francois Gautier amefariki dunia. Aliwahi kuwa paroko wa parokia ya Manzese. Will miss you father R.I.P
19 Reactions
51 Replies
7K Views
HABARI MBAYA Mwanahabari na mdau wa maendeleo nchini, Mkinga Mkinga amefariki Dunia Asibuhi ya leo Hospital alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua ghafla siku chache zilizopita na...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Ni msiba mzito Ni huzuni na majonzi makubwa Mfanyabiashara mkubwa na Mwanaharakati maarufu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Rose iliyopo Jijini Arusha amefariki dunia Taarifa zaidi...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
10 Reactions
107 Replies
16K Views
Kama kawaida ya mipango ya Mungu. Kamanda Athuman Kidavashali aliyekuwa kamishina wa Polisi Makao Makuu amefariki. Poleni sana Makamanda wote. Kifo hakina huruma kinambeba kila mtu awe mwalimu...
4 Reactions
63 Replies
12K Views
Back
Top Bottom