Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi. 2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance...
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Habari zenu WanaJamiiForums? Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka...
6 Reactions
142 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, poleni na majukumu ya kila siku katika kulijenga taifa letu. Naomba niende kwenye mada hapo juu, ni hivi: Shule ya Tunduru Jamhuri Academy ni shule ya serikali inayosajiliwa...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Kuna shule moja ipo mwanza ambako mwanangu anasomea, nimeshangazwa na taharifa ya Mwalimu Mkuu wa iyo shule akiwataka Wazazi kuanza kuwaijia watoto wao shule. Hii imetokana na kubadilika Kwa...
2 Reactions
28 Replies
655 Views
Wadau, Nimesikia leo katika vyombo vya habari kuwa Rais Jakaya Kikwete atawapa vyeti vya uraia wakimbizi wa zamani wa burundi. Mimi ni mdau kwa vile nimekulia mkoani katavi. Kuwapa uraia ni sawa...
3 Reactions
36 Replies
6K Views
Tanzania ndio Nchi pekee ambayo inaruhusu Wakulima wake wawe wanaibiwa na kinyonywa Kwa kuruhusu matumizi ya kilo 100 kama kipimo rasmi Cha kuizia bidhaa za nafaka badala ya kilo 90 kama ilivyo...
0 Reactions
2 Replies
103 Views
U hali ganI mpendwa msomaji, kwa uwezo wa Mungu naamini u bukheri wa siha. Kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza basi ni wazi kuwa kwa sasa tunaishi katika Ulimwengu wa faida. Na utambue tu kwanzia...
4 Reactions
8 Replies
179 Views
Vijana wawili ambao ni Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) wamefariki dunia huku vifo vyao vikigubikwa na utata kwakuwa mara ya mwisho December 27,2023 walichukuliwa kwa...
11 Reactions
119 Replies
7K Views
"DRC haiwezi tu kutuambia tunyamaze wakati wanaongeza tatizo la usalama dhidi ya nchi yetu. Hakuna anayeweza kutuambia tunyamaze" "Tumekuwa tukiiomba sana DRC na viongozi wake kwa muda mrefu...
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Wasalamu! Humu ndani kunakuwaga na mijadala ya hapa na pale. Ipo mijadala inayogusa hisia za watu Moja Kwa Moja na kuamsha mihemko ya hasira zinazopelekea matusi na kutoa Lugha chafu na Kali...
7 Reactions
17 Replies
410 Views
Sina mengi jionee mwenyewe.....
6 Reactions
17 Replies
398 Views
Siku ya Jana kupitia mtandao wake WA kijamii, maarufu Kama X , Bilionea Elon Musk ameandika kua Anampenda Raisi Donald Trump Kama vile mwanaume anavyoweza kumpenda MWANAUME mwenzake. Aisee...
4 Reactions
25 Replies
804 Views
Watumishi wa Umma Huwa wanaonewa sana na Wanasiasa, Kwa kutumia Hawa TAKUKURU. Majizi ya Nchi hii ni Wanasiasa na watu wenye vyeo vikubwa lakini sijawahi sikia hao wanaojiita TAKuKURU...
1 Reactions
4 Replies
112 Views
Sijui kama nakosea lakini mimi huo muda wa kumshauri mtu aache ulevi au umalaya huwa sina kabisa hususani kama mtu huyo katika ulevi wake ndo unaodumisha urafiki wetu. Tangu nikiwa mdogo hii...
2 Reactions
12 Replies
297 Views
Kwa utafiti hafifu Mji wa Morogoro una shindwa kupiga hatua kwasababu za KIUONGOZI WA JIMBO! Matatizo makubwa ya Mii huu haya semewi na kusimamiwa ipasavyo na Mbunge na Madiwani sababu hawana...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Elon Musk ameanza kutekeleza mpango wa kuliua Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID). Amesema anaamini USAID ni "shirika la kihalifu" ambalo linapaswa "kufa." Kupitia mtandao wa X...
8 Reactions
51 Replies
3K Views
Mimi nawakumbuka akina, James ole Njoray Dokta Wilbert Kleruu Ukiwaona Ramadhani Mwinshehe Ditopile Mzuzuri Steven Mashishanga Karibu uendeleee...
8 Reactions
230 Replies
49K Views
Inasikitisha sana huu uchochezi kufanywa na huyu mtumishi wa Mungu. Sikutegemea kabisa kuona maneno kama haya yakitolewa na mtu kama huyu Ningekuwa na mamlaka makanisa kama haya ningeyafutilia...
7 Reactions
101 Replies
3K Views
HAKUNA LEGACY YOYOTE UTAKAYOACHA ÀMBAYO ITAFIKA MWAKA 3000 LABDA KIDÔGO KWA BAHATI LEGACY YA KIZAZI CHAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Siô kama nakukatisha tamaa Wala hata. Mimi...
16 Reactions
61 Replies
994 Views
India ina mgogoro wa mpaka na China. Sasa ilikuwa imeeweka oda ya drone 400 kwenye makampuni yake ya ndani kwa ajili ya usafirishaji wa vifaa kwa majeshi yaliyo mpakani. Sasa imekuja kugundua hizo...
4 Reactions
8 Replies
379 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…