Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Picha: Mchungaji Eliona Kimaro Semina iliyokuwa imeanza katika usharika wa KKKT Kijitonyama ikiongozwa na Rev Dr. Eliona Kimaro imelazimika kusimama kufuatia barua aliyopewa ya likizo ya siku 60...
63 Reactions
1K Replies
77K Views
Salam wakuu. Ninahitaji mtu wa kunisaidia kupata matunda yake. Mwenye access nao naomba anicheck DM. Nina uhitaji kwa ajili ya matibabu.
4 Reactions
21 Replies
661 Views
Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level...
6 Reactions
18 Replies
390 Views
Salama wakuu? Nina rafiki yangu amenipa tafakuri mno usiku huu.alikuwa anaumwa, amezunguka kwa mitume na manabii ila hakupona .... Ajabu ameponea Tanga, tena kwa mganga wa kienyeji. Hii imekaaje...
0 Reactions
6 Replies
525 Views
Inawezekana mganga kukunyanyua kimafanikio? Ni njia gani anayotumia ambayo yeye haitumii ili kufanikiwa au asili ya tiba haimruhusu kujiganga? Mshana Jr LIKUD Nikifa MkeWangu Asiolewe na wengine...
1 Reactions
6 Replies
412 Views
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART Mwendokasi ) umesema kuanzia mwezi March mwaka huu wa 2025 utasitisha rasmi matumizi ya tiketi za karatasi katika usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka na badala...
2 Reactions
2 Replies
241 Views
Uganga au uchawi ni karama ambayo MUNGU huwa anawapa watu na moja ya masharti ya karama hiyo usiitumie kujipatia PESA Ila acha MTU akipenda Kazi yako atakupa PESA. Hivyo Mimi Mganga wangu...
0 Reactions
6 Replies
445 Views
Kuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara Baada ya zuio la...
35 Reactions
137 Replies
5K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Shaban Millao amewataka wanafunzi wa shule mpya ya Mnenia Sekondari kufanya vizuri kwenye mitihani yao na kuhakikisha kwamba...
0 Reactions
4 Replies
228 Views
Ndugu zangu mimi ni mwana wa asielala. Macho yangu mara nyingi hayafungi.. Ila kuona msio yaona. Kuandika msiyoyatarajia. It might be I was the first person to know Magufuli will be the president...
10 Reactions
78 Replies
9K Views
Juzi nilileta uzi hapa swala la wanawake kutembea haraka na kuwasababiasha kutukosa mabwana wa maana. Kama kawaida bado naendelea kutafuta mwanamke wa ndoto zangu taratibu ila napotafuta lazima...
3 Reactions
17 Replies
562 Views
Yaani nimeopoa Dem mkali kuja kushtukia ana watoto wawili halafu ni 24 tu ukimuangalia ni msafi ukimuacha ndani unakuta mazingira safi chakula kizuri na kana heshima ila ukimuacha tu inabidi...
59 Reactions
242 Replies
7K Views
Laana Inatajwa Sana. Ni kitu Gani. Neno laana liko kwa namna mbili, kibiblia. Aina ya kwanza, ni kupoteza sifa ya kukubaliwa na Mungu kwa jambo lolote lile. Na hii chanzo chake ni lile anguko la...
5 Reactions
11 Replies
338 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amekosoa utaratibu unaotumika wa abiria kuingia na kutoka stesheni kuu ya treni ya mwendokasi...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Naomba ufafanuzi juu ya dini ya kiisilamu kabla sijachukua hatua ambayo nataka kuichukua. Wanasema uislamu ni dini ya haki na pia muislamu ndugu yake ni muislamu. Kuna majini waislamu ambao ni...
10 Reactions
100 Replies
9K Views
RTO wa Mbeya, Njombe na Iringa tusaidieni kukamata bus la New Force lenye number T EBK 232. Dereva na kondakta wake wamepiga na kujeruhi mtu hapa Uyole. Mamlaka husika tusaidieni kwenye hilo.
0 Reactions
11 Replies
585 Views
Kwa miaka mingi nilitokea kuwapenda sana wanawake wa Kinyarwanda kwa muonekano wao na naona vilevile wanaweza kuwa na kaheshima fulani ambayo wanaume wengi tunapenda tuzipate kutoka kwa wake zetu...
1 Reactions
41 Replies
13K Views
Nilikosea Mods futeni
4 Reactions
3 Replies
255 Views
Hakika asemayo Waziri wa Elimu yanapaswa kuungwa mkono.Kuna mtumishi alimaliza kozi ya Mrasimu Ramani(cartographer) Tabora ngazi ya cheti (Certificate) Na kuajiriwa Ofisi ya RAS. Baada ya kufanya...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Serikali inatarajia kutoa waraka utakao waelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini kutekeleza miongozo inayowahusu watumishi wa Umma wenye ulemavu ili wapate mazingira rafiki na wezeshi...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Back
Top Bottom