Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

1. Unazini mwaka mzima ukija Mwezi huu ulivyokuwa mrahibu wa ngono unaharalisha ufuska wako kwa kuoa single maza ambaye unaachana nae miezi mitatu baadae (ungefunga ngono badala ya chakula...
6 Reactions
26 Replies
538 Views
Kwenye mitandao ya kijamii zimejaa picha za wadada wengi ambazo si halisi!! Mimi Nina ndg zangu wa kike kwenye ukoo ukimuona mtandaoni na picha zake halafu ukutane nae live lazima ukimbie. Picha...
32 Reactions
119 Replies
2K Views
Walimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega wameamua kugeukia Mahakama ili kudai haki yao baada ya Mkurugenzi wao, Ndugu Maiko Kachoma, kukaidi matakwa ya sheria na kupuuza maombi yao. Walimu hao...
3 Reactions
27 Replies
744 Views
Wajumbe habari ya leo Nakitafuta sana hii series inayoitwa ROOTS maarufu KUNTA KINTE Library za movies nilizotembelea haipo na hata mtandaoni Kuna vipande vidogo vidogo sana. Naomba kujua wapi...
2 Reactions
4 Replies
116 Views
Ukienda kutazama tovuti za Baadhi ya wilaya nchini Tanzania utakuta taarifa za mwaka 2022, jambo ambalo linakatisha tamaa na kutoa taswira mbaya kwa halimashauru husika inawezekanaje mwaka 2025...
2 Reactions
5 Replies
100 Views
Juzi nilimsikia mheshimiwa rais mama samia suluhu hassan akisema vigogo waliopo serikalini kama Wana Nia ya kugombea nafasi yoyote basi waseme mapema ili mama atafute watu wengine wakujaza nafasi...
2 Reactions
4 Replies
150 Views
Wimbo wa kasongo
2 Reactions
6 Replies
222 Views
NUKUU KUTOKA KWA WATU WENYE HEKIMA 1. “Gereza kuu ambalo watu wanaishi ndani yake ni hofu ya kile ambacho wengine wanafikiria.” — David Icke 2. “Jihadharini na wale wanaoomba msamaha haraka...
3 Reactions
17 Replies
245 Views
Habari Ndugu Zangu, Kwanza Nianze Kwa Kuwashukuru Wote Mlionipatia Ushauri Wakati Napitia Hali Ngumu, Hakika Jamii Forums Kuna Watu Wema Sana. MUNGU Awabariki 🙏 Uamuzi Niliouchukua Ni Kwenda...
0 Reactions
3 Replies
156 Views
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire, amesema kuwa hali ya maji katika Mto Ruvu ni ya kutosha, hivyo wakazi wa Mkoa...
0 Reactions
2 Replies
74 Views
Wahaya wa Tanzania, wanaoishi karibu na Ziwa Victoria, walianzisha mchakato wa hali ya juu wa kutengeneza chuma zaidi ya miaka 2,000 iliyopita, muda mrefu kabla ya mbinu kama hizo kutokea Ulaya...
2 Reactions
6 Replies
153 Views
Ukame umezidi, kila kitu kimekauka. Leo kidogo kuna "manyunyu", siyo mvua kubwa. Kwako kukoje? 1. Tanga...Manyunu kidogo. Kumepoa angalau. 2. Dar... imepiga kiasi kidogo...angalau
0 Reactions
1 Replies
79 Views
Share intaneti kwa kutumia Bluetooth Umeshawahi kutumia intaneti kwa mfumo wa Bluetooth kupitia simu yako ? Najua wengi tunaotumia simu kwenye mambo mengi tu ila wengi hatujui tunaweza share...
2 Reactions
5 Replies
149 Views
Wakuu, Majuzi TMA walitabiri mvua kubwa kuanza kunyesha kwa baadhi ya mikoa, athari zikisemwa kuwa za kawaida. Tumeona mvua imeanza kunyesha, hali ikoje huko ulipo? Miundombinu iko salama? Pia...
1 Reactions
5 Replies
162 Views
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa jamii kuendelea na jitihada za utunzaji wa mazingira kwa kupanda miti ili kuhakikisha idadi ya miti...
1 Reactions
2 Replies
66 Views
Mimi napenda tu kuwashauri hawa mafundi wenzangu waliopo SIDO na karakana nyingi katika nchi yetu! Kama kuna mamlaka za kuwasaidia kuwaelemisha basi waelimishwe katika eneo la biashara! Bei zao...
11 Reactions
30 Replies
475 Views
Kiwanda cha Kuzalisha Umeme kwa Taka (Waste-to-Energy Plant) ni mtambo au mfumo wa viwanda unaotumia taka ngumu (kama vile plastiki, karatasi, mabaki ya chakula, na taka nyingine zisizoweza...
1 Reactions
1 Replies
65 Views
Wakuu Katibu Tawala Mkoa wa Mara, Gerald Kusaya amewataka wananchi wa mkoa huo kutumia mikopo inayotolewa na Serikali kwa manufaa na kuirejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wengine wenye...
0 Reactions
1 Replies
55 Views
Hakuna kitu cha kijinga na cha kishamba kama tabia ya kurithi adui au maadui wa mtu ,,, unakuta mtu anavuta taswira ya ubaya wa mtu au wa watu kwa kusimuliwa tu wakati hajawai hata kuwatia...
1 Reactions
5 Replies
101 Views
Mkuu wa idara ya Afya,Lishe na Ustawi Halmashauri ya Wilaya ya Meru Dkt. Evarist Chiweka ameongoza kikao kazi cha Waganga wafawidhi na waratibu wa Afya ngazi ya Halmashauri kujadili Taarifa ya...
1 Reactions
1 Replies
45 Views
Back
Top Bottom