Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Habari za Mwamposa nazisoma tu humu. Sasa leo natoka zangu mkoani kurudi Dar kwa shughuli zangu nimebeba shangazi kaja likiwa na mzigo kutoka mkoani huko. Hawa wapiga debe wakaanza kuniita wa Kwa...
24 Reactions
48 Replies
1K Views
Habari za Muda huu wakuu Naombeni order zenu Ninatoa huduma za usafiri kwa wafanyakazi na wanafunzi kila siku za kazi asubuhi: Kwa Wafanyakazi kutokea : • Kibaha - Posta: Tsh 28,000/trip...
7 Reactions
4 Replies
278 Views
Mzee Jengua: "HAPA NI MJINI, UKIONA MTU ANAMEZA KITU AMBACHO HAJANUNUA BASI NI MATE YAKE MWENYEWE" Cha msingi linda utu na legacy yako, hivyo vikisha tiki, then jifunze wengine wana fanya nini...
3 Reactions
2 Replies
148 Views
Kwa wenye umri kama wangu na kunizidini, kwa hoja hii Tanzania tukimuondoa kwanza Mwalimu Nyerere alafu tuwaangalie marais waliorithi kiti chake. Ni Rais yupi aliwapelekea watanzania kwa...
1 Reactions
0 Replies
73 Views
Kuharibu nyaraka zinazohusiana na taarifa za kibinafsi, kama vile kiatambulisho cha NIDA, cheti cha kuzaliwa, taarifa za benki, taarifa za kadi ya mkopo, stahili za malipo, au risiti, ni muhimu...
2 Reactions
8 Replies
361 Views
Uchafu wa Maji ya Bomba kwa Wakazi wa Mbezi kwa Msuguli, Kibanda cha Mkaa, Mbezi Mwisho Kwa Yusuph na Mbezi Mazulu. Sisi wakazi wa maeneo ya Kimara kwa Msuguli, Kibanda cha Mkaa, Mbezi Mwisho Kwa...
1 Reactions
4 Replies
230 Views
Wakuu, Kuna muda kama vijana inabidi muwe serious na maisha. Kuna huyu kijana nimemuona huko Azam TV anasema alianza kwa kuchoma CD yaani nyimbo moja alikuwa anaweka kwa Tsh 100 aka-fight sana...
22 Reactions
258 Replies
6K Views
Habari zenu JF Naomba kuuliza mwenye kuelewa anijuze, nimenunua LUKU mwisho mwa meseji nimeona wameandika DEBT COLLECTED, Hili deni wanalokusanya ni deni Gani?, Kodi ya nyumba au ni Nini?,
3 Reactions
51 Replies
1K Views
Walimu 6 wa Jangwani Sekondari jijini Dar es salaam wamemhukumu kwa kumchapa makalioni fimbo 20 mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu na kumjeruhi vibaya kwa tuhuma za kuwa alionekana ameshika...
23 Reactions
375 Replies
18K Views
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma...
2 Reactions
25 Replies
735 Views
Niaje waungwana Chini ya miamba hii, nchi yetu ilikuwa salama, imara na tishio zaidi kuliko kipindi chochote kile kilichopita, kilichopo na pengine kinachokuja. Joyce Banda alitest mitambo...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Miaka ya nyuma sana kuliibuka wauza nyumba maeneo ya Mbagara na viunga vyake yani nyumba inajengwa kisha inauzwa na wauzaji wengi walikuwa Facebook. Kisa kimoja kilimtokea jamaa yangu kusikia...
3 Reactions
5 Replies
371 Views
Kwa namna ambavyo teknolojia inavyokuwa Watu wengi siku hizi hawatumii tena vocha za kukwangua lakini kuna wachache ambao bado watumia vocha hizo ili kuweza kuongeza salio na kununua vifurushi...
3 Reactions
7 Replies
346 Views
Eneo la Mtamaa lililopo Kilomita 20 kutoka Manispaa ya Singida kuna zahanati ambayo inahudumia wakazi wa eneo hilo ambayo inatambulika kwa jina la Zahanati ya Mtamaa. Nimefanikiwa kufika mara...
1 Reactions
11 Replies
656 Views
Leo ni siku ya kufungua shule nchini Uganda lakini kinacho nishangaza kila sekita ziko buzy na masuala ya shule, Benki kuna foreni ya kufa mtu watu wanalipia ada za wanao mitandao ya simu ya...
1 Reactions
5 Replies
214 Views
Hawa ndo wenyeji wa jiji la Dar. Wamefukuzwa wamekufukuziwa huko pembezoni mwa Mji na bado wanafuatwa kama vile haitoshi. Nashauri ni wakati wa sasa nao kudai jiji lao maana wamekuwa watumwa na...
4 Reactions
24 Replies
531 Views
Katika dunia ya leo, ambapo changamoto za ajira zinaendelea kuongezeka, ujasiriamali umekuwa suluhisho muhimu kwa watu wengi wanaotaka kujitegemea na kujenga maisha bora. Hata hivyo...
3 Reactions
9 Replies
727 Views
Aisee leo mvua imepiga balaa uku lushoto tena ya maradi, nilikuwa ghetto nimetulia naperuzi JamiiForums kwa kutumia internet ya router ya YAS. Huku radi zikiendelea kupiga sina ili wala lile mara...
19 Reactions
59 Replies
2K Views
Mimi nitatamani kujua Maisha yangu nitaishi mpaka kufikia Miaka mingapi ili nikimbize Malengo yangu kwa speed 360. Hata kama sitaweza kufanikisha yote nitakayo basi angalau nifike level nzuri ya...
10 Reactions
38 Replies
815 Views
Salaam, Baada ya Mdau wa JamiiForums kulalamikia Ratiba ya Masomo ya Chuo cha ustawi wa jamii Kwamba Wanafunzi wanasoma hadi hadi saa 4 usiku kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa wanafunzi...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…