Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana. Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema...
86 Reactions
206 Replies
6K Views
Baada ya Trump kusitisha misaada Afrika, kumetokea sintofahamu nyingi zikisema, "Haya sasa, huyo Mchina ajitokeze!" Ukweli ni kwamba Mchina ni mlaghai na mpigaji kuliko hao mabeberu. Angalau...
5 Reactions
62 Replies
866 Views
Leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu. Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekuwa mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme. Akajibamiza vibaya sana chini na pote...
32 Reactions
293 Replies
29K Views
Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Ayubu 22:21
5 Reactions
4 Replies
122 Views
SERIKALI KUTOA MUONGOZO WA KUAJIRI WANAOJITOLEA Serikali imeeleza kuwa iko hatua za mwisho kukamilisha mwongozo utakaoangazia jinsi ya kuwaingiza katika mfumo watumishi wanaojitolea nchini. Hayo...
1 Reactions
12 Replies
351 Views
Habari za jioni. Aisee ndivyo wanavyoitwa wanaume wanaopambania ndoa zao kwa wake zao.Yaani mshono gani utoke mke asiutake.Dume hilo mbio mbio kwenda kusaka mafaranga au maokoto hata kwa kubeti...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
1: Kwa kila watu 200 unaokutana nao mtaani kwenu basi wa 2 ni mizuka (ghost). 2: Usiipende kujiangalia kwenye kioo Mida ya usiku wa manane kuanzia saa 9 hadi saa 11, sababu mida hiyo taswira...
10 Reactions
81 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu, Askari wa JWTZ wamekuwa wakilaumiwa kwa kujichukulia Sheria mikononi mwao. Kwa kuwa wao ni wanajeshi, wanaamini kwamba wanaweza kupiga watu makofi mtaani hovyo bila kuulizwa na...
77 Reactions
277 Replies
18K Views
Mzozo unaondelea upande congo kule goma kumekuwa na shutuma nyingi kuhusu rwanda na uganda kuwa wahusika wakubwa wa mgogoro japo wenyewe kukanusha. Ukiangalia ni kama mikakati ya ambayo imesukwa...
4 Reactions
7 Replies
559 Views
Askari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa. --- Askari Polisi wawili wamefariki...
19 Reactions
107 Replies
5K Views
Kwa kweli, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kitendo cha marais wa Afrika kuiamini Tanzania na kuja kufanya mkutano ni dhamana kubwa sana ambayo alikuwa nayo Amiri Jeshi Mkuu. Tuache...
2 Reactions
11 Replies
191 Views
Serikali kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya imetoa dawa za kingatiba ili kudhibiti na kutokomeza magonjwa yasiyopewa kipaumbele, ambapo watu 257,358 kati ya 265,217 walipatiwa kingatiba...
1 Reactions
1 Replies
75 Views
WAKULIMA KIRIMA BORO WATAKA EKARI 37 ZIREJESHWE KWA WANACHAMA MOSHI Wanachama 71 wa Chama cha msingi cha ushirika(AMCOS)cha Kirima Boro wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro wamepaza sauti...
1 Reactions
6 Replies
187 Views
*We can't all be rich. * Health is the real wealth. (As if all the rich are sick). *Life is not all about material things. * Money can't buy happiness. (As if poverty buys happiness) *All is...
8 Reactions
24 Replies
515 Views
Habar za mchana wanajamvi. Leo asubuhi nimepokea taarifa za kifo cha kijana mwenzetu. Ni mshkaji flan mpambanaji, ni mjasiriamali mwenye weledi, alipotoka mpaka alipofika inaelezea uhalisia wake...
8 Reactions
26 Replies
852 Views
Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Sio sababu maalumu ya kutuwekea ugumu hasa passport n.k Tuwekeeni urahisi wa sisi kutokana na kwenda kujaribu bahati zetu zetu Nje .
7 Reactions
46 Replies
637 Views
Katika dunia ya leo, tunashuhudia hali ya kushangaza sana ambapo watu wanaofanya maovu wanaheshimiwa na kutukuzwa, na wakati mwingine kuwa mfano wa kuigwa, watu ambao maisha na mienendo yao sio...
4 Reactions
3 Replies
149 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC) Dkt. Immaculate Sware Semesi ameitaka jamii yote kuzingatia maelekezo yanayotolewa na mamlaka za usimamizi na...
2 Reactions
1 Replies
181 Views
Habari za siku ya leo WanaJamiiForums? Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa. Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa, Lakini...
12 Reactions
253 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…