Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kuna changamoto kubwa katika ufundishaji wa hii part ya chemistry ukitaka kujua chemistry ni rahisi sana hata kwa mjinga kufauku bila kusoma na kuelewa kwa sababu wengi Wana kalili sana, tatizo...
1 Reactions
5 Replies
240 Views
Awali, Mdau wa JamiiForums.com aliandika kuwa Walimu wa Halmashauri ya Arusha wanatarajiwa kupewa mafunzo kwa ajili ya mitaala mipya ya Kidato cha Kwanza kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku ikiwa ni...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Kumekuwa na mijadala mingi isiyokuwa na Afya kwa masuala ya Dini humu majukwaani. Tatizo la hiyo mijadala ni watu kuleta mada ambazo ni porojo bila ushahidi wowote huku wakiaminisha watu kuwa ni...
1 Reactions
12 Replies
212 Views
Naomba kuwasilisha kero kwa Mamlaka zinazohusika kwani madarasa ya Shule ya Sekondari Teule ya Kigoma Ujiji katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji yanavuja jambo linalowapa shida...
0 Reactions
4 Replies
418 Views
Habari za muda huu Sisi kama wanafunzi wa digrii tuliomaliza chuo mwaka Jana 2024 katika chuo kikuu TEOFILO KISANJI tunamalalamiko juu ya kile uongozi wa chuo unavotufanyia watahiniwa wake...
1 Reactions
7 Replies
244 Views
Binadamu Mungu ametupatia karama kubwa Sana na tofauti Sana. Mimi huwa nikimtamkia mtu mema lazima yatokee. Mfano Mimi ni Jobless sijapata Ajira Ila mpaka sasa nimewatafutia wengi sana Kazi na...
2 Reactions
18 Replies
286 Views
Habarini Wana JF, Leo mwanangu katoka shule jioni,Ananiambia baba waalimu wamesema kesho twende na Hela ya Nembo kwenye Soksi!Najiuliza maswali,kama ni utambulisho wa mwanafunzi,nani anamacho...
6 Reactions
48 Replies
1K Views
Huwa napata shida sana tangu niko mtoto na hii inaniumiza sana binafsi mm Siamini dini yeyote kati ya ukristo wala uislamu sasa hivi mnaavyosema ety Jerusalem maka na madina ni miji mitakatifu...
4 Reactions
23 Replies
436 Views
👉Mimi binafsi sikumpenda Trump tangu mwanzo si sababu ya chuki hapana ajenda zake si nzuri kwavwatu weusi toka mwanzo. Trump kabla hatujaelekea uchaguzi alitamka kauli ya kwamba "atahakikisha...
5 Reactions
21 Replies
815 Views
Nimeota tumeenda nyikani mi na rafiki yangu mmoja ambaye simkumbuki vizuri ila nakumbuka kama alikuja kunipitia ninapokaa Tukaenda porini/nyikani mbali kidogo na tunapoishi mara tukawaona sungura...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Leo nawaletea kisa hiki cha mjomba angu aliyewahi kuwa kiongozi wa ukoo katika koo moja ya Wanganyitaka waliopatikana NGANYITAKA. Haikuwa rahisi yeye kuwa kiongozi katika katika koo hiyo ila...
0 Reactions
2 Replies
139 Views
Habari zenu wadau. Nilikuwa nataka kumtumia mtu hela kupitia NMB MOBILE APP.Bahati mbaya nimekosea namba yake ya mwisho ya account na hela imeenda kwa mtu mwingine (nilikuwa busy sikuzingatia...
4 Reactions
13 Replies
384 Views
Jicho la tatu ni chakra ya sita kati ya chakra saba katika mwili wa binadamu Ukiweza kufika kituo hiki cha Nishati basi utakuwa na uwezo mkubwa wa kiroho na kupata maono na utambuzi wa mambo...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Hii sasa imekuwa too much wananzengo Yani katika wiki Moja kupata umeme wa uhakika labda ni siku tatu! "what a shame to authority" Jamani mnaohusika oneni aibu hii sio sawa kabisa mnazingua sana
0 Reactions
3 Replies
100 Views
FISI MAMBA (Maeneo ya Ukerewe) BUNDI NYOKA PAKA NYUKI PANYA Ni siri gani hio ya kiroho inayounganisha viumbe hawa katika utekelezaji wa uchawi au ni stori tu za vijiwe vya gahawa?
3 Reactions
37 Replies
833 Views
Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa. 1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo...
44 Reactions
158 Replies
5K Views
Ukienda mjini leo, unaweza kuhisi ni sikukuu au mwisho wa juma (weekend), baada ya barabara kufungwa kutokana na ugeni wa marais na viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa wa Nishati...
2 Reactions
7 Replies
602 Views
Mfumo wa maisha ulitengenezwa husiishi peke yako! Ukiona unaishi peke yako ama umelaaniwa, mchawi, au kichaa/chizi. Kama una akili timamu basi jua fika unapigwa matukio na upweke na msongo wa...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
Kutoka kwa kijana machachari Abi ahamed Jiji la Adis Ababa limegeuzwa kuwa jiji la kimataifa kwa kuliwekea international standard Abiy anadai Lengo ni kuifanya Adis ababa kitovu cha usasa na...
4 Reactions
20 Replies
766 Views
Back
Top Bottom