Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Anonymous
Mimi ni mkazi wa Buswelu, manispaa ya Ilemela mkoa wa Mwanza. Imenibidi nihame nyumba yangu nikapange sababu ya ukosefu wa maji. Ndani ya wiki maji yanaweza kutoka mara moja tu, ikitokea yametoka...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Anonymous
Habari JamiiForums, mimi ni mkazi wa Dodoma, Makulu Oysterbay mtaa unaitwa Mapinduzi. Ni miezi miwili sasa maji hajawahi kutoka hata tone maji na hamna taarifa yoyote wala tahadhari na ni hali...
1 Reactions
5 Replies
207 Views
Anonymous
Huduma kwa wateja ni kipengele muhimu katika kutoa huduma kwa kuwasaidia wateja kupata taarifa au utatuzi wa changamoto wanazokutana nazo. Lakini hapa nchini baadhi ya makampuni yanayotoa huduma...
2 Reactions
1 Replies
280 Views
Anonymous
Hivi unafahamu unapigwa katika parking?, Hawa jamaa wanapiga sana unapo egesha gari hata kama ukiondoka wao wanatunza kumbukumbu lisaa likiisha wanaongeza muda hata kama wewe upo kwako umelala...
3 Reactions
4 Replies
471 Views
Tunaomba wizara husika itutolee ufafanuzi juu ya bei ya ruzuku ya mbolea : Mfano sms hapo chini👇🏾👇🏾 Ndugu XXXXXX Na. ------- umenunua DAP - 50 KG idadi 1 Tsh76701.33 kwa [TFRA-06----1] Kama...
0 Reactions
0 Replies
187 Views
Wakuu, Msione kila siku napiga kelele mkadhani nazingua, leo naweka baadhi ya screenshot muone majibu ya DAWASA ya kipuuzi na wananchi tunavyolilia huduma utafikiri tunaipata bure! Pia soma: √ -...
5 Reactions
82 Replies
2K Views
Wadau, hii mitandao ya simu imeona kuna fursa kubwa kwenye malipo ya mtandaoni hasa Kwa kutumia hizi virtual cards. Nimeshangaa Kuona bili ya Dola 17.2 zimekatwa elfu sitini na mbili yaani...
5 Reactions
14 Replies
784 Views
Mkandarasi aliyepewa tenda ya kutengeneza barabara ya kilometa 31 ya Geti Fonga-Mabogini-Kahe wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro anasababisha kero kwa wakazi wa maeneo inapopita barabara hiyo...
0 Reactions
0 Replies
465 Views
Habarini wadau. Ninachangamoto ya kiafya kidogo nipo hospitali. Sasa nimefika hapa nakuta mambo yamebadirika serikali imeamua kutumia mifumo katika tiba Sasa changamoto iliyopo ni tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Wakuu, Nishachoka kuja kulalamikia maji hapa, mnatufanya kama watoto tunapewa pipi tumun'unye halafu mnatupokonya. Yaani kama vile sasa hivi tupo kwenye mgao, na maji bado yana harufu mbaya...
0 Reactions
4 Replies
208 Views
Habari za wakati huu wanajukwaa. Kipindi cha miezi kadhaa iliyopita mwaka huu, Mimi kama mkazi wa hili eneo, niliandika hapa juu ya Dampo ambalo siyo rasmi lililoanzishwa na Halmashauri ya Mji wa...
0 Reactions
1 Replies
376 Views
Salama ndugu zangu napenda nitoe duku duku langu kwa sisi mawakala wa CRDB. Kuna utaratibu mpya CRDB Bank wameunzisha kwamba huwezi kumtumia wakala mwezako floats kwa free charge. Nipende...
3 Reactions
4 Replies
394 Views
Hivi ni Nchi nzima au ni Tabora tu hii adha ya Umeme hapa Tabora MJINI?
1 Reactions
7 Replies
332 Views
Jamani hili jambo limeniuma sana, kuna viwanda viwili vipo sehemu moja, kiwanda cha maji na juice na kiwanda cha kuku vipo Kibaha Visiga karibu na makazi ya binadamu vimekuwa vikisababisha kero...
0 Reactions
1 Replies
182 Views
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo; 1. Huduma za kipesa ( mpesa)...
26 Reactions
128 Replies
6K Views
Na ni waziri wa mipango na uwekezaji, proffesor nzima huyu[emoji22]hivi huwa wanapewa wizara wakati majimboni mwao ni tabu? Huyu kitila mkumbo ni kama kalitelekeza jimbo lake la Ubungo. Barabara...
0 Reactions
7 Replies
336 Views
Salaam Wanajukwaa, Naomba kero yangu ifike kwa waziri Jumaa Aweso kilio chetu Wananchi wa Singida, SUWASA inatuua. SUWASA inatukandamiza, inatuonea, bili za maji za huku kwetu ni mitaji ya Watu...
1 Reactions
5 Replies
599 Views
Juzikati Oktoba 23, 2024 nilipofika eneo la Mti Mmoja - Monduli (Arusha) nikiwa njiani kuelekea Dodoma nikitokea Arusha, niliona jambo la kushangaza sana, nilishuhudia Wanafunzi wa shule wakinywa...
2 Reactions
14 Replies
863 Views
Katika Makutano ya Morocco ambapo Barabara za Ally H.Mwinyi,Mwai Kibaki na Bagamoyo zinapo kutana na Makutano ya Mwenge. Inapofika mida ya jioni kuanzia saa 10, Trafiki huwa wana tabia za...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Kuna kukatika maji haya maeneo wiki nzima kwa sasa na hakuna taarifa maalum kwa wateja kutoka Mwauwasa,kuna mdau yoyote anajua kinachoendelea? Kilichopo ni kwamba unaweza stuka ghafla maji hamna...
0 Reactions
2 Replies
143 Views
Back
Top Bottom