Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Kuna watu wanaishi kwa kuamini kila taarifa.Kwa ujumla ulimwengu wa leo unaendeshwa na habari za uzushi na uongo.Unaposikia au kuambiwa jambo lolote lazima ulichekeche. Ndio maana tukaambiwa akili...
13 Reactions
59 Replies
4K Views
Ulimwengu unaendelea kushuhudia utolewaji chanjo ya Covid-19 wakati janga la virusi vya Corona likiendelea. Shirika la afya duniani WHO linasema janga hilo halina dalili ya kumalizika mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Twitter imesema kuwa inaanzisha mfumo mpya wa kubaini na kuondoa machapisho yanayopotosha kuhusu chanjo ya COVID-19 na kuwafungia watumiaji wa mtandao huo watakaoonekana kusisitiza kuenea kwa...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
NAIROBI (Reuters) Leo siku ya Jumapili mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) ameisisitiza serikali ya Tanzania kutoa taarifa juu ya hatua zake za kupambana na janga la coronavirus, akisema...
1 Reactions
8 Replies
892 Views
Mataifa makubwa yanapigania mambo matatu kwa sasa hivi, mambo haya ni nguvu, faida na uthibiti. Kwa lugha ya kichagga ni Power, Profit and Control (PPC).Fursa hizi tatu zinaweza kupatikana kwenye...
3 Reactions
13 Replies
995 Views
Vijana ndiyo wanaeneza corona na wazee wenye damu group A, wenye pumu, wenye magojwa ya kisukari ndiyo wengi wanakufa. Sasa sijui uzalendo ni upi kama sio kulinda wenzetu.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Takwimu kutoka nchini Uingereza zinaonesha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inasaidia kupunguza uwezekano wa kuenea kwa maambukizi kwa hadi asilimia 85. Utafiti uliochapishwa na taasisi ya...
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Corona inaambukizwa kwa kishaka au kushika sehemu yenye virus na kuweka mkono wenye virus machoni au mdomoni. Zinaa au tendo la ndoa haliwezi kufanyika bila kugusana na viungo vinavyoweza...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Corona Tanzania ni vita kati ya Mungu na wasiomwamini kuwa aweza shinda Corona Mungu atashinda hajawahi shindwa Wasiomwamini wanachekelea wakisikia tetesi kuwa kuna Corona wanahoji Mungu kuwa...
15 Reactions
91 Replies
5K Views
Tanzania sio kisiwa, tunahitaji nchi nyingine kwenye mambo mengi ya kisiasa, kiuchumi, kitamaduni na michezo, na kiusalama. Kwakuwa Tanzania ni sehemu ya dunia, Afrika, SADC, na Afrika Mashariki...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Kulingana na uzoefu tulioupata kutoka mwaka jana hadi Sasa tunaweza kusema dawa ya Corona amabayo haijathibitishwa na wataalam wa afya ila inasaidia ni hii hapa; 1. Corona inatibika kwa kumwamini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Even as the world struggles to grapple with the brutal third wave of the COVID-19 pandemic, a small but vocal group of skeptics insists that sinister forces are exaggerating the effects of the...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumezuka katabia ka watu kutishia wananchi Kuwa Corona ipo Tanzania utadhani wao wanaumwa Corona au ndugu zao wamekufa kwa CORONA. Watu wamebeba mabango Kuwa serikali inawaficha wagonjwa wa...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
China imeanza kutumia aina mpya ya kuchukua sampuli za kipimo Cha Corona kupitia sehemu ya haja kubwa. Mamlaka zinasema aina hii ya kipimo ni ya kuaminika zaidi na haraka. Kipimo hiki...
2 Reactions
93 Replies
12K Views
TAFITI mpya umeonyesha kuwa Covid-19 inaweza kufanya wanaume kukosa uwezo wa kuzalisha.Wanasayansi wanasema kwamba wanaume wanaoambukizwa virusi hivyo wanaweza kukosa kuzalisha kwa muda. Kwenye...
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Nyie endeleeni kupiga ngonjera na Magufuli wenu wakati hata panadol mnasubiri mzungu awaletee,hivi wewe mwafrica utabisha mambo yaliyoamuliwa na wakubwa? Kwanza una nini cha kuonyesha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilikuwa napitia matangazo ya chanjo za COVID-19 za Australia, chanjo itaanza kutolewa kwa wale walioko katika hatari zaidi ya kupata maambukizi kama watoa huduma za afya, wafanyakazi wanaoishi...
0 Reactions
1 Replies
608 Views
Habari wana Kijiji, Katika pirika pirika za hapa na pale kusoma taarifa za habari, nimekutana na mahojiano aliofanya tajiri wa marekani mnamo tarehe 27 January 2021, tajiri huyo miongoni mwa...
5 Reactions
80 Replies
8K Views
Majaribio ya chanjo na Pfizer na BioNtech kwa ajili ya kupata chanjo dhidi ya COVID-19BioNTech. Majaribio ya chanjo na Pfizer na BioNtech kwa ajili ya kupata chanjo dhidi ya COVID-19. Janga la...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya Ulimwenguni, WHO limetoa pendekezo kwamba wagonjwa waliougua ugonjwa wa virusi vya corona au COVID-19 wanaoshukiwa au waliothibitishwa wanahitaji kuwa na huduma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom