Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Mwenendo wa dunia bado upo katika tahadhari dhidi ya Corona. Viongozi wa siasa, serikali na dini bado wanatuhimiza tuchukue tahadhari Kwetu Tanzania madhara sio makubwa sana Kama wenzetu...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19, naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado hii ya awamu ya tatu? Maana...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
1. Wazungu wana defy covid restriction ili waende beach kuogelea. Wao shida yao ni kustarehe! Beach partygoers in Barcelona defy Covid-19 restrictions 2. Wahindi wamefanya kitu kinaitwa super...
0 Reactions
0 Replies
913 Views
👉 Upinzani wa mtandaoni (keyboard opposion) ukiongozwa na Kigogo, Maria Sarungi na fatuma karume ulilipigia sana kelele ila sasa hawalizungumzii kabisa licha ya serikali kutokubadilisha msimamamo...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kamati iliyoahidiwa na mheshimiwa Rais Samia Suluhu ya kuchunguza corona inabidi iweke hadidu rejea zake kwa umakini bila kupendelea upande wowote.Mambo yafuatayo ni muhimu kuyaweka kwenye utafiti...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
By Antony Sguazzin, 26 March 2021, 17:34 EAT The most mutated variant of the coronavirus yet was found in travelers from Tanzania, prompting scientists to call for greater monitoring in a country...
4 Reactions
240 Replies
18K Views
Nimewakumbuka hawa watafiti wetu, Hivi kuna muendelezo wowote juu ya harakati zao za covidol/nimcaf katika kutibu corona. Vipi msimamo wao juu ya hizi tiba asilia na kupiga nyungu? Kuna yule...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini. Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na...
12 Reactions
106 Replies
9K Views
Kwanini kama taifa huru tusishindanishe mawazo yetu kuhusu usalama wa chanjo ya corona kama inafaa au haifai? Kama tutaona chanjo ya corona inafaa kwa afya zetu iletwe nchini tuchanjwe. Kama...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ni muhimu kujua nchi inajimuikaje na dunia kuhusi corona. Tilijitoà na tukasusia WHO na policy zao na Corona containment, msimamo wa serikali yako ni ipi? Kuhusi vaccine etc etc. Mfano, Kama...
2 Reactions
11 Replies
954 Views
Ripoti ya pamoja ya shirika la afya duniani WHO na China kuhusu chanzo cha mlipuko wa COVID-19, inaonyesha kwamba maambukizi kutoka kwa popo kwenda kwa binadamu huenda yalipita kwa mnyama mwingine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, watafiti wameonesha kuwapo uhusiano baina ya maambukizi ya corona na usingizi. Utafiti uliofanyika awali ulionesha kuwa asilimia 40 ya watu waliopata maambukizi...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni muhimu kwa watanzania na Serikali yake kukubali chanjo ya corona ili kuepusha vifo vingi vya watu ambavyo vingeweza kuzuiwa. Toka Janga la Corona lilivoikumba dunia, serikali ta Tanzania...
4 Reactions
50 Replies
4K Views
Kwanza naomba nianze kwa kumpa pole Dkt. Philip Mpango kwa kupambania afya yake kwa hizo wiki 2. Mungu amjalie apone kabisa mapema ili aweze kujumuika na familia yake. Tukirudi kwenye mada...
52 Reactions
143 Replies
12K Views
Wanasayansi wana wajibu mkubwa katika kulinda Afya ya Jamii. Wajibu mkubwa zaidi ni madaktari walio wizara ya Afya. Kujifukiza ni hatua moja tu katika kupambana na gonjwa hili baya la covid19...
9 Reactions
66 Replies
6K Views
JE KIRUSI CHA CORONA KINA KASI IPI YA KUJIBADILISHA? Leo 16:30hrs 07/03/2021 Nianze kwa maswali fikirishi,Je kuna umuhimu wa watu kupata chanjo ikiwa kinga yako ni imara? Chanjo ina phase...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Wataalamu wa epidemiology ya magonjwa wanasema hakuna aliye salama mpaka kila mmoja wetu amekuwa salama. What does this translate to in our case with regard to the way we are handling the...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Kwako waziri wetu wa Afya Dr. Gwajima. Sijajua sababu ilofanya hadi muweke bei ghari hivyo kuoata hichi kipimo kwa wanaosafiri, kipimo ni 235,000 Tsh. (100 USD) , hii sio sawa kiukweli mnatuumiza...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Baada ya wataalamu wa China kugundua kipimo kipya cha maambukizi ya virusi vya korona kinachopima kwa njia ya haja kubwa, miji mingi nchini humo imeidhinisha kipimo hicho. Viwanja vya ndege pia...
5 Reactions
64 Replies
8K Views
Nimeona watu wakilaumu wakituna na wengine kudhihaki kwamba serikali haijawa serious huhusu Corona. Sisi tunaojua maana ya outbreak tunajua kwamba kwanzia mwezi wa 7 mpaka 12 hakuwa na Visa vya...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom