Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

. Angalisho. Binafsi mimi ni mwafrika mkristo, hivyo naamini zaidi Biblia na ndicho kitabu nachokifuatilia Au kukisoma zaidi. Ni katika harakati za kumuuliza Mungu wangu majibu juu ya maswali...
2 Reactions
4 Replies
132 Views
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko. Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya...
0 Reactions
12 Replies
197 Views
Nimelipia kifurushi tangu jana mpka bado chanel hazijafunguka na hela yangu hawajanirudishia Nafanyeje hapa au ndo nishaliwa?
0 Reactions
2 Replies
59 Views
Hii natoa testimony 5 ambazo zitakudhirishia mapenzi sio pesa 1. Mpenzi wa kwanza. Wakala wa pesa kupitia mitandao ya simu. 👉Huyu demu mimi nilikua naenda kuweka miamala na Sina maisha miamala...
4 Reactions
4 Replies
414 Views
Mrembo Joyce Mbaga maarufu kama Nicole Joy Berry amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam kwa ajili ya kujibu mashtaka za tuhuma zinazomkabili. Kamanda wa Polisi...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
MADA: ASTROLOGY MKUFUNZI: Dr. Rwakiunge Rugambwa (PhD) +255 788 773 928 UTANGULIZI: Nyota ni nini? Mara nyingi tunasikia watu huko nje au kila mahali wanazungumzia Nyota, Nyota, Nyota; lakini...
10 Reactions
30 Replies
711 Views
  • Redirect
Wagonjwa wa mpox wanadaiwa kuwekwa karantini katika eneo la Kipawa, Majani ya Chai jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu ya video ya Auledy Mduda aliyopost kupitia instagram anaeleza kuwa wapo...
0 Reactions
Replies
Views
1. Ni Mpumbavu asiye na mfano 2. Ni Mnafiki mkubwa 3. Hajui anachokifanya (Juha) 4. Muongo na Hafai 5. Mchawi / Mshirikina 6. Anapelekeshwa kama Mwehu 7. Analazimisha umaarufu na kupendwa...
7 Reactions
20 Replies
503 Views
Karibu binti na mwana wa Afrika. Moja ya maeneo ambayo yanasumbua na kutesa watu, ni mahusiano, hasa katika mapenzi au ndoa. Kujiua, kuuwa, kukata tamaa, uraibu, ulevi, uzinzi, roho mbaya...
2 Reactions
6 Replies
213 Views
Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari. Nikazama gugo kudadisi...
10 Reactions
101 Replies
4K Views
Wakuu, Utapeli umepamba moto hasa mijini.unakuta umeenda na shida zako mjini unaishiwa kutapeliwa, E bhana ee kuna siku nilikuwa kahama mjini,barabara ya mataa ya kushuka, nina elfu 40...
3 Reactions
11 Replies
162 Views
Watasha walisema unachopanda ndicho utakachovuna huwezi panda mihogo ukavuna miwa... Hivi tulivyo sasa yaani kimawazo, kihisia, kiutendaji na hata namna ya kuyachukulia mazingira ni matokeo ya...
5 Reactions
4 Replies
107 Views
Jumatano ya wiki iliyo pita , nikiwa maeneo ya Mlimani City, nilikutana na mdada mmoja niliyekuwa nimepotezana naye for like 2 years..Aliomba namba zangu za simu kisha...
38 Reactions
573 Replies
123K Views
Unaweza kutengeneza maisha yenye furaha ajabu, au maisha yenye sababu nyingi kwanini, hili au lile haliwezekani kwako. Kuwa mwangalifu na maneno unayozungumza, kwako na kwa wengine. Fahamu mambo...
2 Reactions
4 Replies
99 Views
Serikali imeeleza kuwa moja ya changamoto kubwa inayoikumba mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania, ikiwemo Arusha, Manyara, Kilimanjaro, na baadhi ya maeneo ya Tanga, ni upungufu wa msongo wa umeme...
1 Reactions
3 Replies
141 Views
Katika maisha yapo mengi ya kujifunza kila uchao. Ni ijumaa moja napata rafiki kupitia instagram ambae ni rafiki wa rafiki yangu mkubwa na kwa kuona kwamba mimi ni rafiki wa rafiki yake pia anakua...
2 Reactions
0 Replies
82 Views
Kwako Binti na Mwana wa Afrika. Elimu za Dunia zinafundisha watu, kuenenda kwa akili/kutumia akili zaidi. Elimu za kiroho zinahimiza Unyenyekevu/kuenenda kiroho/kutumia uwezo wa ndani wa...
1 Reactions
0 Replies
42 Views
Ni kwa mara kwanza kusafiri na basi ambalo ni luxury kutokea Dar kwenda mkoa ule ambao miaka ya nyuma inasemekana ni mkoa uliosahaulika na ni sehemu ya adhabu kwa wafanyakazi wa serikali hii ya...
20 Reactions
601 Replies
62K Views
Hii mikazi sidhani kama kuna mtu anapenda kuifanya ila kuna stage ilitubidi wengine tufanye ili tusukume siku. Wapo ambao zimewatoa, na tupo ambao hazikututoa. Niliacha hii mikazi kipindi hicho...
28 Reactions
152 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…