Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Eti wakuu, kwa mfano ukichukua maji kutoka bombani kisha ukayaweka katika friji na kuganda mpaka -100 degree centigrade (opposite ya 100 degrees centigrade) na kuwa barafu gumu sana, kisha...
1 Reactions
7 Replies
136 Views
🏡 SAMIA HOUSING SCHEME: NDOTO INATIMIA! 🎉 Kawe, Dar es Salaam inazidi kung'aa! 🔥 Samia Housing Scheme, mradi wa makazi wa kisasa unaoleta mapinduzi ya ujenzi, sasa umefikia hatua kubwa – Uzio...
0 Reactions
6 Replies
178 Views
Umeme uliopo katika gridi ya Taifa unazalishwa kutoka ukanda wa kusini mashariki na hivyo kulazimika kusafirishwa umbali mrefu kwenda maeneo mbalimbali nchini hali inayosababisha upotevu mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa sababu ya kuendelea kumshikilia bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo (29), anaetuhumiwa kumshambulia mkazi wa jijini Tanga Mussa Ally akimtuhumu kuwa ni...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
Baada ya kufanya utafiti wa kina kupitia vyanzo mbalimbali, ikiwemo kusoma mijadala kwenye Jamii Forums kuhusu miji yenye fursa nzuri za kiuchumi nchini Tanzania, hatimaye nimefikia uamuzi rasmi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni ukweli usiopingika miji miwili hii ya Kanda ya Ziwa inakuwa kwa kasi sana Jiji la Mwanza na Manispaa ya Kahama. Lakini kasi ya ukuaji na maendeleo ya Manispaa ya Kahama inaleta projection ya...
14 Reactions
56 Replies
6K Views
Nimeiona hii Hali kwa madada wawili wa tumbo moja, wa kwanza alijifungua na baada ya kukorofoshana na mwanaume wake akampeleka mtoto kijijini ingalikuwa mwanaume alikuwa anaweza kumtunza mtoto...
1 Reactions
9 Replies
231 Views
Sikiliza tu huu utitiri wa redio za wakristo usikie vituko kama si vichekesho. Shetani na mapepo yanaogopwa na kutajwa mara nyingi kuliko Mungu. Wanabwabwaja usiku na mchana mpaka sauti zao...
5 Reactions
17 Replies
238 Views
Mwanamume mmoja huko Kayole, Kenya anayetambulika kama Evans Kidero Okoth anauguza majeraha mabaya kichwani baada ya ugomvi mkali baina yake na muuza bar, anayetambulika kama Mary Angara. Siku ya...
4 Reactions
16 Replies
357 Views
Mwaka 2017 serikali ilileta utaratibu mzuri mno wa wananchi wa Tanzania kupata kitambulisho hiki muhimu cha Taifa Iliendesha zoezi la kujiandikisha kuweza kupata vitambulisho hivi kila kijiji, na...
3 Reactions
8 Replies
445 Views
Katika miaka ya 1980, Urusi (wakati huo ikiwa sehemu ya Umoja wa Kisovieti) ilifikia makubaliano ya kipekee na PepsiCo kwa sababu ya matatizo ya kigeni ya kubadilisha fedha (foreign exchange...
1 Reactions
1 Replies
146 Views
Mikoa ya kaskazini imekuwa na umeme tangu zamani. Kwa mfano Kilimanjaro kila kijiji kimeunganishwa na gridi ya Taifa. Kama rais Samia anatafuta kitu cha kuwafanyia watu wa mikoa ya kaskazini...
3 Reactions
17 Replies
252 Views
Lucas Mwashambwa Shukuru sana utimize umri kama Wassira ili ukiwa unayapitia maelezo yako ushindwe kufuta labda ukapige bomu internet ilipotokea. Mada zako sasa ni lugha gongana haya tunauza nje...
4 Reactions
2 Replies
192 Views
Ushawahi jiuliza ukisikia spika wabunge nchi fulani ndani ya bunge akitoa maamuzi nchi nzima husimama kwa umakini kabisa kujua nini kinaelezwa. Tofauti na huku kwetu japo ilikuwa zamani kipindi...
3 Reactions
6 Replies
167 Views
Wachina wameweza kutest bidhaa zao sana Afrika kwa sababu kadhaa. Moja ya sababu kuu ni kwamba Afrika inatoa soko lenye uwezo mkubwa wa kupokea bidhaa za bei nafuu, huku kukiwa na mahitaji makubwa...
3 Reactions
5 Replies
159 Views
Wasalaam Wakuu mwezi huu ni wa heri kweli Madhehebu makuu mawili kwa asilimia kubwa wako katika mfungo,japo kila moja lina namna yake na makusudi yake,lakini lau wote wanalenga kuwa na mahusiano...
3 Reactions
1 Replies
86 Views
Hivi watu mnaokaa huko Manzese, Tandale, Buguruni, Vingunguti, hadi mwananyamala mnasavaivu vipi kipindi hiki cha joto kali na ukame?? Najiuliza nakosa majibu kabisa, huko hakuna AC huko nyumba...
15 Reactions
54 Replies
1K Views
Viongozi jiji la Mwanza mko wapi kwa haya yanayoendelea stand za kuu za mabasi ya kwenda mikoani tena stand zote mbili hawa watu wanaokatisha tiketi za kuingia ndani ya stand wamejiwekea utaratibu...
2 Reactions
8 Replies
185 Views
  • Redirect
Video hii inasambaa mitandaoni ikionesha mtu akiwa na dalili za ugonjwa wa Mpox akiwa karantini Hospitali ya VETA Kipawa, Majani ya Chai jijini Dar es Salaam Wizara ya Afya bado haijatoa taarifa...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom