Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nimekaa nikawaza hapa , hizi kombora za nyuklia wanazomiliki mataifa makubwa ,wakazitumia kuulipua mwezi Je mapande yake yataangukia huku duniani ? Au ikatokea umelipuka wote , mabaki yatabaki...
7 Reactions
62 Replies
1K Views
Umemaliza zako chuo, pengine ni injinia. Unatafuta kazi mwishowe unaajiliwa halmashauri fulani ambayo kwa muundo wa utawala wapo chini ya Tamisemi. Mwenzako uliyemaliza nae anapata zake kazi...
5 Reactions
18 Replies
403 Views
Kijana aliyefahamika kwa jina la Mussa Ally mkazi wa Sahare, Jijini Tanga amemtuhumu Bondia wa Ngumi nchini, Hassan Mwakinyo Kumshambulia kwa kisu, na kumfungulia mbwa wanne Majira ya saa 12...
7 Reactions
103 Replies
3K Views
Jaman mtandaoni kuna vitu vingi sana lakini vingine vinanichanganya nimepita mtandaon nikakutana na kitu kinaitwa JINSI YA KUJIFUNZA UCHAWI Et wanasema uchawi ni sayansi tena et unaweza kujifunza...
1 Reactions
1 Replies
80 Views
Anonymous
Mimi ni mwajiriwa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni wananikata TALGWU tokea nimeajiriwa bila kushirikishwa na bila kuandika jina la kujiunga na bila kutia sahihi yangu sehemu yoyote...
0 Reactions
6 Replies
149 Views
hivi kwenye haya maisha yetu ya kila siku tumewai kujiuliza baadhi ya njia za maisha ya akhera, basi nimepitia nukuu moja inasema "uwe hodari na jasiri usiogope,usife moyo,kwa maana mwenyezi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Operesheni Mogadishu: Jinsi Marekani ilivyolazimika kuikimbia Somalia na askari waliovuja damu kwenye malori Chanzo cha picha,Getty Images Maelezo ya picha,Helikopta za Black Hawk zilitumika...
0 Reactions
2 Replies
149 Views
  • Redirect
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefungia viwanja vya Jamhuri, Dodoma, CCM Kirumba, Mwanza pamoja na Liti,Singida kutumika kwa michezo ya ligi kuu kwa kukosa vigezo vya kanuni na...
0 Reactions
Replies
Views
Wadau wa JamiiForums, habari! Kuna mambo fulani ukiyatafakari sana kuhusu sisi Watanzania, unajikuta unashangaa na kustaajabu! Ni kana kwamba kuna mfumo maalum unaotusukuma kurudia makosa yale...
11 Reactions
14 Replies
456 Views
Wakuu Tumemsikia Msemaji wa Serikali Ndugu Greyson Msigwa akitoa Uchambuzi Juu ya Serikali kudhamiria Kununua Umeme Kutoka Ethiopia kupitia Kenya. Msemaji huyo amedai ununuzi huo wa Umeme utaenda...
2 Reactions
13 Replies
341 Views
  • Redirect
Wadau wa JamiiForums, heshima mbele! Leo nimekuja na mada ya kugusa moyo kdg, naomba usikimbie! Huu ni ule ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kusikia, lakini tunapaswa kuukubali. Kuna tabia...
0 Reactions
Replies
Views
Eti wakuu, katika swali la kumuingiza mtu katika ajira mpya, urafiki, mapenzi, dili ya pesa, kumkabidhi asimamie mali yako wewe ukienda Ujerumani kusoma, does someone's background matter a lot au...
3 Reactions
16 Replies
309 Views
  • Redirect
Huyu Bwana Kifo yeye hana ubaguzi kama Wanadamu, Kila mtu anampa mshahara ule ule hapunji wala haongezi. Kifo asante kwa sababu wewe ni hakimu wa kweli, Na kila mtu utamuhukumu kwa mda wake...
0 Reactions
Replies
Views
Naungama na wengine wote waliopaza sauti zao kuhusu hili. Mamlaka tunaomba mtuonee huruma sasa, hizi meseji zinatosha sasa kwani zinajaza inbox za simu zetu. Kama ni elimu naamini tushaipata ya...
3 Reactions
3 Replies
98 Views
Utangulizi Tamthilia ni sanaa ya maigizo ambayo huweza kuwasilishwa jukwaani, redioni, au hata kwenye televisheni. Hapa Tanzania, tamthilia zimekuwa sehemu muhimu ya burudani, elimu, na mafunzo...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Salaam, shalom!! MADA hii ni fundisho Kwa wale wasioamini kwamba mtu afapo, mwili wake hupelekwa either Kuzimu au Mbinguni. Na mwili unaopelekwa kuzimu ni mwili upi? Ni huu wa Damu na nyama...
17 Reactions
66 Replies
2K Views
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga. Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga...
25 Reactions
496 Replies
72K Views
Habari, Maisha ya bara letu ni changamoto sana. Kitendo cha kuzaliwa hai na una pumua ni mzigo tosha, inafika kipindi unajiuliza nilizaliwa kuja kubeba majukumu yote haya? Kusoma kwa kuungaunga...
8 Reactions
40 Replies
764 Views
Back
Top Bottom