Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hii imetokea Desemba 24 kijijini Butiama ambapo Richard (Nyerere) Masanza mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Richard amesoma shule ya msingi hapa...
11 Reactions
49 Replies
2K Views
Kanuni nzuri ya maisha, ukimuona mtu hafai/ kuna dalili za kugombana Kati yako wewe na yeye usigombanenaye tafuta kila njia za kumkwepa na kumuwekea mipaka. Siku zote kabla ya ugomvi au kukosana...
6 Reactions
17 Replies
562 Views
Baada ya Rostam,Awadh wa Amsons ni zamu ya kigogo mwingine kuteka Kenya. https://x.com/BD_Africa/status/1872570598280610155?t=ehBBjq-Gz4woc21awkOxYA&s=19 My Take Sera za Mama Samia za kufungua...
6 Reactions
25 Replies
845 Views
Wakubwa kwema.? Mimi na wapangaji wenzangu tumepigwa kiasi hicho Cha faini kwasababu ya kuto kuweka mazingira kwenye hali ya usafi. Sisi wanaume wa hapa tunapo ishi ni watu wa kutoka asubuhi na...
3 Reactions
31 Replies
783 Views
https://feminahip.or.tz/ FEMINA HIP mmepotelea wapi ndugu zetu? Zamani mlitoa elimu kwa vijana juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono, mimba za utotoni nakadhalika. Vijana wengi tulivutiwa sana...
10 Reactions
21 Replies
609 Views
Shule za serikali zimefungwa tangu mwishoni wa wiki iliyopita tarehe 31/5/2024. Waalimu tulijaza Ankara za fedha za nauli ya likizo hii mapema sana na kuziwasilisha kwa wahusika ofisi Halmashauri...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu nimeondoa thread ili kuficha baadhi ya taarifa, nilipanick nikaandika vitu vingi ambavyo baadhi ya members humu nafahamiana nao in person wasiconnect some .. I hope itakua sawa, nilipanick tu.
12 Reactions
96 Replies
3K Views
Mbona baba yangu hakujenga kwao, naomba kujua faida zake zaidi ikiwa tu nikienda kusalimia sikosi pakulala
3 Reactions
9 Replies
359 Views
Waungwana hivi ni viwanja vyote ambavyo vina changamoto ya vyoo au ni Sokoine Stadium tu hapa Mbeya. Maana huu uwanja vyoo vyake ni changamoto kubwa, ni vichafu balaa na hakuna maji kabisa...
2 Reactions
38 Replies
829 Views
Tunaanza na hapa kwetu Afrika, utumwa ulikuwepo hata kabla ya waarabu na wazungu kuja, hapo badae soko la watumwa wa kiafrika lilikuwa kubwa na kutufanya sisi kwa sisi waafrika tuanze kuuzana kwa...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8/1/2024 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa...
58 Reactions
416 Replies
65K Views
1. Hujaolewa tu? 2. Kwanini Huna Watoto? 3. Utazaa lini, umri unaenda! 4. Unafanya kazi wapi? 5. Kwanini Umenenepa/Umekonda? Watu wanapitia mambo mengi magumu ambayo huna taarifa nayo wala...
44 Reactions
61 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Pamoja na wivu wenu Petro Mtume mwaminifu wa Kristo Amezikwa Vatican, atafufuliwa na atamlaki mawinguni Kristo aliye Bwana na Mwokozi...
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Aisee mjini uje na akili tu. Pia usiamini 100% hii mitandao ya jamii. Watu ni Wasanii Sana. Ile helikopta (wenyewe waliita private jet) kumbe ni ya kukodi? Huku media zikiripoti tofauti. Stukeni...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu. Hivi ni kitu gani kila ukifanya unasema hii leo ni mara ya mwisho lakini unajikuta unafanya tena pasipo kutarajia. Kwangu mimi ni kupanda IT zile gari za In transit...
18 Reactions
142 Replies
6K Views
1. Kwenye sekta ya uokozi bado sana. Majanga hatujayapa kipaumbele zaidi ya ununuzi wa Magari ya kifahari. (MV Bukoba, Ajali ya Treni Dodoma, Tetemeko Bukoba, COVID, Ajali precision air, jengo...
7 Reactions
15 Replies
538 Views
Hii taasisi Janabi ataipokea ikiwa imechoka sana. Toka tangazo la uteuzi wake kuna kila dalili ya upigaji unaendelea kwa kasi ya mwanga. Mtandao kukatika ovyo imekuwa ni kawaida hasa mida ya...
2 Reactions
8 Replies
668 Views
Huko wanawake hawasubirii wanaume wawajengee nyumba Bali wanajenga wao . Hapo ni kuoana ,ukinasa do it at your own risk. 1. Mtwara 2. Lindi 3. Iringa 4. Dar 5. Arusha 6. Morogoro 7. Pwani 8...
4 Reactions
21 Replies
725 Views
USHAURI: (Mbowe & Lissu) na Wenje wajitoe kugombea uenyekiti na makamu uenyekiti mtawalia, ili kuinusuru CHADEMA, wagombee watu wengine kama akina Lema, Heche nk ambao hawana makundi ndani ya chama.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom