Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari wakuu Bila shaka weekend kwenu imeanza salama Twende kwenye swali husika. Kwa uelewa wangu mdogo na wale ambao hamjafanikiwa kusikika au kukutana na kitu kinaitwa STARTUP BUSINESS...
2 Reactions
15 Replies
394 Views
Kufuatia tukio la mama mjamzito aliyejulikana kwa jina la Bi. Sophia Shabarula, mfugaji jamii ya kimasai, kupoteza maisha wakati akijifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa, ndugu na jamaa wa...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Kesi namba No. 32126/2024 inayomkabili Mwalimu wa Shule ya Msingi Waja, Josehat Masenema anayedaiwa kumlawiti Mwanafunzi wake (jina linahifadhiwa) imeendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu...
1 Reactions
3 Replies
224 Views
Habari wanaJamiiForums! Naomba nisiandike mengi, naomba kupata taarifa kuhusu shule Turkish School of Zanzibar. Natamani kujua mazingira ya shule, ada na mengine mengi
1 Reactions
5 Replies
535 Views
Quran inasema injili na torati ni neno la Mungu na inakumbusha kuwa hakuna mwanadamu anawezakubadili neno la Mungu. Unaposema Bibliia iliaribiwa unakuwa kinyume na Quran, maana kwa mujibu wa...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Hakuna fao linaloitwa la kujotoa Bali Kuna fao la kukosa ajira. Hili Kila mtu anaweza kupata Kama ifuatavyo:- KWANZA, fao la kukosa ajira linalipwa kwa mwanachama ambae hauafikisha umri wa miaka...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Sisi Wahitimu wa ngazi ya Diploma katika Chuo cha DIT tuna changamoto ya kutopatiwa Award Verification Number (AVN) mpaka sasa hali ambayo inatufanya tushindwe kufanya maombi ya mkopo wa Chuo...
2 Reactions
3 Replies
946 Views
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi inakuja na mpango wa uendelezaji upya eneo la Sinza jijini Dar es Salaam (Sinza Redevelopment Plan 2024 - 2044.). Hayo yamebainishwa leo tarehe 17...
0 Reactions
8 Replies
492 Views
Serikali ya Manispaa ya Jiji la Tokyo Nchini Japan inatarajia kuweka ratiba mpya ya kazi kwa wiki nzima kwa Wafanyakazi wa Serikali ambayo itaweka bayana kwamba siku za kazi sasa zitakuwa nne tu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu, Naomba kufahamu kwa mtu alekuwa akifanya kazi shirika zisizo za Kiserikali kisha akahamia taasisi za umma, akiwa shirika binafsi alikuwa akichangia kwenye mfuko wa jamii la NSSSF...
2 Reactions
4 Replies
178 Views
Mh Nape Nnauye Watanzania wako wana uelewa mkubwa sana kuhusiana na maswala yote ya faragha, ndio maana hakuna Kibandaumiza chochote kinachoonesha video za ngono na wala hakuna sehemu yeyote ya...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU: 1.Mtihani wa darasa la Saba utafutwa. 2.Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne. 3.Kutakuwa...
12 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari Wana Jamvi, Wakubwa Zangu Shikamoo. Natumaini Mungu Anabariki kwa Kila Changamoto mpya mnazopitia Naombeni Ushauri, Maoni, Kujuzwa kuhusu Hali Nayopitia kwa sasa Nimekumbwa na Tatizo La...
11 Reactions
128 Replies
9K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kati ya Julai 2023 hadi Juni 2024 imefanikiwa kutatua migogoro 258 ya malalamiko kuhusiana na sekta inazozisimamia. Hayo...
1 Reactions
0 Replies
80 Views
App
Ukitaka kutengeneza application unatakiwa ujibu maswali mangapi kupitia iyo app Yako unayotaka kutengeneza na kujiridhisha kwamba inafit
1 Reactions
3 Replies
158 Views
DC LINDI AMULIKA MIRADI YA ELIMU, ASISITIZA MUDA, UBORA NA THAMANI YA FEDHA Mkuu wa wilaya ya Lindi Victoria Mwanziva amesisitiza Miradi ya elimu kukamilika kwa wakati, Ubora na thamani ya fedha...
0 Reactions
0 Replies
141 Views
Moja kwa Moja. Mwaka 2015 mitaa Fulani Dar es Salaam muda huo nipo kidato Cha kwanza (Form One) nilikuwa na hamu sana ya kumililiki simu , basi nikatafuta kibubu nikawa naweka pesa za shule kama...
25 Reactions
127 Replies
5K Views
Unawapa taarifa ya mtandao kusuasua wanalazimisha kukuelekeza settings za simu usipokuwa makini wanajidai wameshasolve tatizo na wanakukatia simu Kwa yule ambaye yupo makini anawabananisha...
2 Reactions
5 Replies
298 Views
Kuna bus moja huko kanda ya ziwa sitalitaja ila sipandi tena kutokana na kutuona abiria ni wajinga. Baada ya kukuta kampuni niliyoizoea kujaa nikaenda kampuni nyingine nikaambiwa imebaki VIP na...
21 Reactions
70 Replies
3K Views
Back
Top Bottom