Tuweze kushare uzoefu wa maisha maeneo haya kwa wale ambao wamewahi kuishi. Kwa upande wa mambo ya usalama, maadili, madili, utulivu, makuzi, tabia n.k.
Wadau wanaweza toa uzoefu wao katika...
Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?
TAHADHARI: Video hapo chini ina...
Wakati Tundu Lisu anatangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CDM taifa, muda mchache baadae Zitto Kabwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, hasa ukurasa wake kwenye mtandao wa X...
Habari za wakati huu.
Mimi ni mkazi wa Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu, na ni Mfanyabiashara wa hapa mjini Bariadi ambako ni makao makuu ya Mkoa wa Simiyu, lakini makazi yangu yapo hapa hapa Mjini...
Godbless E.J. Lema amesema, Yule binti aliyedai ametelekezwa na Mzee Edward Lowassa, amekamatwa baada ya kuomba radhi kwamba jamii imsamehe alikuwa anadanganya. Aliomba radhi kwa kumsingizia Mzee...
Habari mdau ifuatayo ni meseji ya kampuni moja hapa nchini ikitoa taarifa kwa wafanyakazi wake baada ya malipo kuchelewa.
Let it be Kampuni X
"HABARI TIMU, TAARIFA MUHIMU!
Kuna ucheleweshaji wa...
Aina za Uponyaji wa Kiroho
Uponyaji ni nini
Uponyaji ni tendo la kiimani la kupokea uzima katika roho au mwili kwa njia ya kuombewa, kuwekewa mikono au kulisikia neno sahihi la Yesu Kristo. Tendo...
Wakuu,
Tuzo za muziki Tanzania, Tanzania Music Awards zinafanyika leo 19 Oktoba pale Superdome Masaki ambapo washindi watatangazwa pamoja na performance kali kufanyika.
Wasanii watakaotumbuiza...
Wakuu habari ya asubuhi
Jana jioni niliamua kwenda kukata tiketi ili nireje Dar es salaam baada ya kukaa Songea takribani mwezi kasoro siku mbili.
Mara nyingi huwa nasafiri na New force na...
Wakuu habari yenu,,jana nilikua nasafiri Dar to Songea ebhana tabu tupu gari hazitembei zinanyata hatari wa mbele ni wa mbele spidi mwisho 80 ukifika 85 inapiga alarm...ukiwa unasafiri masafa...
Habari za muda wakuu.
Kwenye kupitapita humu mtandaoni nimekutana na uzi wa wadau mbalimbali katika nyakati tofauti tofauti
Ukizungumzia upatikanaji wa huduma ya afya ambayo ni muhimu sana kwa...
Pia soma...
- Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa
- Fred Lowassa: Paul Makonda nimetoka naye mbali sana, nasikitika anavyotumia...
Hii clip nimeiona kutoka kwenye uzi alioanzisha mdau anaitwa GoldDhahabu wenye kichwa cha habari Hawa wanajeshi katili ni wa wapi? .
https://streamable.com/ly7v6f
Kuna maelezo mengi tofauti na...
Wakuu,
Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama barabarani nchini limewafutia leseni madereva wa mabasi za abiria na malori wapatao 200 kuanzia mwezi Agosti hadi Novemba 2024 kwa makosa mbalimbali ya...
Wakuu,
Vijana wa Tanga mna salamu zenu huko kutoka kwa RC wenu.
===========================================
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Balozi Dkt Batilda Burian amesema Halmashauri ya Jiji la...
Hii kampuni ya kudownload music naona Kila nikidownload inaishia nusu tatizo nini wadau naombeni msaada wenu maana usiku vanny boy anaachia album nataka niamke nayo halafu wananiletea habari nyeusi
Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia (WB) wamesaini mikataba miwili (2) yenye thamani ya dola za Marekani milioni 104, sawa na takriban shilingi bilioni 248, kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum linamshikilia Fatma Chikawe 31 kwa kosa la udhalilishaji na kusababisha taharuki kwa jamii.
Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 18 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.