Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kama kweli tuko serious katika mapambano dhidi ya Rushwa tungeachana na na ADAN ambaye anatuhumiwa kila kona kwa rushwa. Sisi tumesema tunaendelea naye kwasababu wanufaika wa miradi hii ndiyo...
0 Reactions
2 Replies
182 Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeweka CV ya mhusika Mchana mwema • M.D -Dr. Peter Richard Kisenge -SUPER SPECIALIST • Registration No: 350 QUALIFICATION(S): • MD(2002) - Tumaini University Kcm...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi maji ninayopendelea kunywa tangu nafika Dar es Salaam ni maji brand ya Uhai, yalipokuja Hill water niliyapenda kwa sababu ya muonekano wa chupa yake na portability yake. Nimeona matangazo ya...
8 Reactions
27 Replies
866 Views
Wakuu, Mtangazaji mkongwe wa Clouds Media Group, Sam Sasali ana neno kwa wote wenye tabia ya kulaumu Jeshi lote la Polisi kwa makosa ya mtu mmoja == "Watu wanahukumu jeshi lote la Polisi...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Kati ya mambo yanayobishaniwa sana na wanasayansi na wadadisi wa ulimwengu ni uwepo wa viumbe katika sayari nyingine. Taifa kama la Marekani limewekeza mabilioni ya dola kufuatilia jambo hili...
4 Reactions
59 Replies
2K Views
Habari wakuu naombeni msaqda kwa yoyote mwenye data za ninapoweza kupata mafuta ya samaki Sangara au samaki mwingine kutoka hapahapa TZ. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
109 Views
Kampuni ya meta app zao zipo chini siku ya Leo sijui nadhani kila mtu ame experience hiki kitu leo. --- Kampuni Mama ya META inayosimamia mtandao wa Instagram, Facebook na WhatsApp imekiri uwepo...
1 Reactions
1 Replies
239 Views
Nimefungua Ukurasa wa Global Publishers nikakutana na lugha za ajabu sana.Kumekuwa na mabadiliko ya uongozi huko?
1 Reactions
1 Replies
210 Views
Kwa mujibu wa Mamlaka Husika, muda wa kusubiri kupata nyaraka muhimu kama leseni, vitambulisho, hati, na majibu ya vipimo nchini Tanzania unategemea aina ya nyaraka. Kwa kawaida, muda huo ni kati...
1 Reactions
6 Replies
458 Views
Anonymous (9b95)
Serikali na vyombo husika vinapaswa kuliangalia hili tatizo la kukwama kwa maombi ya passport/hati za kusafiria ni mwaka sasa wananchi hawajapa passport za umeme na server zikidaiwa kuwa ni sababu...
0 Reactions
0 Replies
188 Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mwezi huuu wa Disemba ni mwezi wa kuwashukuru na kuwasikiliza walipakodi wote nchini. hayo yamebainishwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Yusuph...
1 Reactions
15 Replies
528 Views
Habari wakuu, naomba kujua taratibu za kubadili taarifa za nida na vitu gani muhimu vinahitajika. Nawasilisha, asante.
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Salaam ,shalom!! Mara nyingi umewahi kuota ndoto na unapoamka huikumbuki, na Hali hiyo inakupa huzuni na Kupata shauku ya kutaka kukumbuka usiweze. Usilolijua, Ufalme wa Nuru na WA Giza, falme...
10 Reactions
27 Replies
4K Views
Kamishna mkuu wa TRA Mwenda amesema Taasisi yake inaangalia utaratibu wa kumuajiri mke wa Amani Simbayao ambaye sasa ni Mjane Lengo ni kumwezesha kutunza Watoto wadogo alioachiwa na marehemu mume...
36 Reactions
183 Replies
8K Views
Timu ya Bunge ya Mpira wa Kikapu Wanaume imepoteza mchezo wake dhidi ya Timu ya Bunge la Kenya kwa kuruhusu kufungwa magoli 67-38.Timu hizo zipo Mombasa nchini Kenya kushiriki mashindano ya...
2 Reactions
8 Replies
371 Views
Hivi huu Mkoa wa Tabora viongozi wa Wakala ya Barabara za Mjini na Vijijini TARURA wapo kweli? Maana Barabara ya Madaraka iliyopo Mtaa wa Madaraka Manispaa ya Tabora imeharibika na inazidi...
2 Reactions
5 Replies
399 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mimi binafsi kwa kuongozwa na roho wa Bwana naanza kwa kuwaomba radhi wote niliowakosea mwaka huu 2024 Niwatakie siku njema wapendwa wangu
2 Reactions
8 Replies
430 Views
Kipindi cha nyuma, mabasi yalikuwa yanazuiwa kufanya safari usiku. Sababu za alinacha zilitolewa na baadae kupinduliwa bila juhudi zozote za kuondoa sababu hizo za alinacha tulizokuwa...
2 Reactions
6 Replies
312 Views
MATAJIRI WANA MFUMO WA KUVUTA HELA NA MASKINI WANA MFUMO WA KUVUTA MAJUNGU. Maskini anajua wapi apate umbea wa moto yaani kama unataka umbea kwake utaupata ila tajiri anajua wapi kuna mchongo wa...
3 Reactions
0 Replies
175 Views
Wakala wa Barabara za Vijiji na Mjini (TARURA) Mkoa wa Katavi timizeni wajibu wa kujenga daraja katika Mto Nsemlwa, Manispaa ya Mpanda kivuko kilichojengwa na mtu binafsi kisiwasahaulishe jukumu...
0 Reactions
1 Replies
352 Views
Back
Top Bottom