Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Nisikuchoshe usinichoshe..! Wasalaam. Mimi ni mkazi wa maeneo ya Buza ambaye katika harakati zangu kila siku usafiri wangu ni daladala kutoka Buza kwenda mjini kujitafutia mkate wa kila siku...
0 Reactions
4 Replies
581 Views
TABIA NA MAKUZI Kuna hii tabia ambayo sio nzuri kwenye daladala. Kuna hawa wadada wakiingia na watoto wao wadogo wanataka kupishwa kwenye seat ila siku wakiwa na pesa za kuwalipia hao watoto wao...
0 Reactions
1 Replies
177 Views
Leo au toka jana serikali haina mtandao. Malipo ya ada vyuoni kupitia control number ni shida siku nzima mtandao hauko hewani. Kule CRDB napo ni shida hakuna mtandao. Nimelipa kitu flani...
1 Reactions
3 Replies
312 Views
Anonymous
Sisi wakazi wa Matuga, Kibaha Vijijini tuna changamoto ya kusumbuliwa na Maafisa wa Halmashauri ya Kibaha Mji, wapo katika mchakato wa kutupora ardhi yetu kiasi cha kutumia Askari Polisi na Mgambo...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Anonymous
Leo asubuhi eneo la Nyerere square baada ya konda na dereva kutudanganya kuwa watapitia General Hospital. Huyo dada hapo pembeni na kaka wagonjwa, mimi nilikuwa naelekea Majengo na konda akaanza...
0 Reactions
3 Replies
307 Views
Mifereji ya Kawe stendi inatoa harufu mbaya sana, na ukizingatia kuna biashara zinafanyika zikiwemo biashara ya kuuza chakula. Harufu inayosambaa katika eneo hilo ni takribani siku 5 sasa, na...
0 Reactions
4 Replies
469 Views
Anonymous
Bado kuna shida kubwa sana ya madereva wa daladala kugeuzia njiani na kufaulisha abiria kwenye gari nyingine. Imekuwa kero na usumbufu mkubwa sana hasa kwa daladala zinazotokea Mipango kuelekea...
1 Reactions
10 Replies
716 Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa Kawe, Dar es Salaam, nina imani Nchi yetu kwenye Sheria za ardhi kuna maeneo specific kwaajili ya ujenzi wa Makanisa na Misikiti, kwa habari za Misikiti wanajitahidi sana na...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wafanyakazi WA PSSSF Musoma hawatimizi wajibu wao haswa kwa wastafuu, mama mzazi amekosa pension yake kwa kutokuja kuhakikiwa wanapigiwa simu mwezi mzima wanasema wanakuja ila hawaji, ukiendelea...
2 Reactions
13 Replies
424 Views
Anonymous
Mimi ni mdau kutokoa wilaya ya Busega mkoani Simiyu. Hali ya Ugawaji wa namba za NIDA imekuwa sio nzuri ambapo kwa mwezi sasa namba hazitoki toka tarehe 10/06/2024. Kila ukienda unaambiwa kuna...
0 Reactions
4 Replies
460 Views
Anonymous
Unakuta baada ya mwalimu kufaulisha vizuri, wanaona kuingia naye mkataba itawagharimu anatafutiwa sababu anafukuzwa na kuajiri walimu wapya ambao ni vigumu kujua kile kinachoendelea kwenye shule...
1 Reactions
7 Replies
377 Views
Anonymous
Wakazi wa mtaa Mwarakani wanakumbana na changamoto ya maji kwani hudumu hiyo haijafikishwa kwenye makazi yao licha ya kuhangaika kusogeza huduma hiyo bila mafanikio kwenye maeneo yao. Mamlaka...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Anonymous
Mpaka Sasa hamna MAJIBU yoyote kutoka kwa wasimamizi wa bima hizo kuhusu sababu za kusitisha huduma hiyo kwa wateja.
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Anonymous
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya vyuo kufanyisha wanafunzi mitihani kwa mfumo wa online(Google) na mfumo unakuwa na changamoto nyingi kama vile muda unaowekwa unakiwa hautoshi,unakuta maswali 50 ya...
1 Reactions
3 Replies
294 Views
Anonymous
Habari, Kituo cha Kibamba wahudumu pale ni kero kubwa wana majibu ovyo, imeshakuwa kero kubwa itafikia hatua wananchi watajichukulia sheria mkononi. Pia Dada anayekatisha tiketi ukidai Tsh 50...
0 Reactions
8 Replies
346 Views
Foleni mlimani City ni kero. Kila asubuhi Traffic huongoza magari upande hasa yanayotokea Goba/UDSM kupita na kusababisha foleni kubwa kwa magari yanayotoka Ubungo. Foleni unaweza kukaa mpaka...
9 Reactions
57 Replies
1K Views
Jana nilikuwa nafanya mawasiliano na rafiki yangu aliyempeleka mama yake hospitali ya MKOA MOROGORO. Aliyoniambia nilishangaa na kusikitisha sana Kwanza mama alikuwa anaumwa tumbo ameharisha...
2 Reactions
13 Replies
449 Views
Habari wakuu! Jiji la Mbeya ni moja ya miji unayokuwa kwa kasi sana, hongereni wana Mbeya ila shida ni dala dala kushindwa kufika mwisho wa safari. Hapa namaanisha kufaurisha abiria kisa...
1 Reactions
6 Replies
270 Views
Wadau tujuzwe hili kwa ufafanuzi. Nini shida kwa watumishi wa umma, waliohamishwa na Katibu Mkuu, TAMISEMI kwenda HALMASHAURI zingine, hasa walimu kuto hamishwa mishahara tangu walipohama Kati ya...
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Anonymous (9fcc)
Kumekuwa na changamoto katika mfumo wa chuo unaopelekea wanafunzi kushindwa kulipa ada ili waweze kufanya mitihani kwa wakati leo tarehe 8 Julai majira ya saa 7 usiku wanafunzi wapo ofisi za...
1 Reactions
0 Replies
589 Views
Back
Top Bottom