Huu ugonjwa ni hatari saana unaua na kukatisha matumaini ya baadhi ya watu ambao wanao ( ayo ni maneno ya watalaam wetu )
Lakini kutokana na ukweli kabisi halisi ugonjwa huu sio hatari saana kama...
Cc: TRA Tanzania, Dr. Mwigulu Nchemba
Kuchaji kodi ya Dungu 15M na magari 50 000 tu yakaingia kwa mwaka inapata Shs 750,000,000,000// bilioni 750 tu
Wakati kama itapunguza kodi na kuwa shs...
Mara kadhaa nimefika Kituo cha Polisi Kawe kwa ajili masuala mbalimbali lakini nasikitika kusema kwamba watu ambao tunafika kituoni hapo tunakumbana na changamoto ya huduma choo ambayo sio rafiki...
Wakuu kheri kwenu nyote.
Naandika haya ikiwa siyo mara ya kwanza wala ya pili kuwasikia hawa wafanyakazi wa Tanesco wanaweka nguzo za umeme pamoja na nyaya zake(cable).
Vijana hawa haijarishi...
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia Rais Samia hili na amfikishie.
Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.
Rais Samia chochote atachofanyia Muhimbili...
Habari zenu?
Natumaini wote mko salama.
Je, hii ni njia mpya ya kutengeneza kipato? Is this a new hustle? Mara kadhaa imewahi kunitokea katika simu nakuta hela inakatwa, kama vile nimeongeza...
Habari zenu wanajamvi,
Leo nimekuja na suala hili la matumizi sahihi ya vipaza sauti nikiwa naomba mawazo yenu na hoja zenu kuhusiana na hili.
Makanisani, Mikutanoni, kwenye sherehe mbalimbali...
Wanabodi,
Nipashe ya Leo 16/06/2024
NGUZO 7 ZA MANISTATION
Hili ni bandiko mwendelezo wa wiki iliyopita. Kama hukulisoma bandiko la kwanza, anzia hapa Siri ya Mafanikio Kupitia Manifestation -1...
Hi great thinkers,
Kama mshahara kako ni kadogo na unategenmea mwezi hadi mwezi bila kuwa na marupurupu yoyote basi wewe utakufa maskini kapuku hutaweza hata kuwahudumia wategemezi wako, hutaach...
Hivi karibuni kumekua na mijadala mingi ya kuhusu hii mikopo ya mitandaoni na wahanga wakizidi kuongezeka licha ya unyanyasaji na udhalilishaji unaofanywa na watoa huduma ambao hivi karibuni BOT...
Wazee wa Jumuiya ya Waislam wa Ahmadiyya Tanzania wametoa wito kuwa kuna umuhimu wa Jamii kujihusisha na Sala ili kuwa karibu na Mwenyezi Mungu na kuwa hali hiyo inasaidia kuwafanya kutokuwa na...
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Magharibi Tabora, Isaac Laizer, ameonya juu ya ongezeko la matukio ya utekaji na mauaji, akiwataka wakristo kote nchini kufunga...
SEHEMU YA KWANZA
Mwaka 2012, siku ya mahafali yetu ya kidato cha sita, nilipatwa na tukio lililobadili mwelekeo wa maisha yangu.
Ilikuwa ni siku ya shamrashamra zisizo na kifani, tulipendeza sana...
Ni jamaa katueleza hivi punde hapa Brazil Kibo na ameonesha na picha inasadikiwa ni Dereva
Ngoja nifatilie zaidi nijue huyu anayesimulia ni Mtumishi wa wapi Lakini endeleeni kuichukulia kuwa ni...
Wiki chache zilizopita Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango alizungumzia tuhuma za ubadhilifu wa mali za kanisa na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania.
Leo...
Amani kwenu watumishi
Leo kwenye matembezi ya Aman kule Arusha yalikuwa yakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha yalishilikisha viongozi wa dini, lakin cha ajabu katika matembezi hayo sijamuona...
Wakuu jana nilileta story kuhusu dada yetu aliyerudi nyumba baada ya kuacha utawa leo tulienda parokiani baada ya kuitwa na parokia na mama mkubwa wa shirika lao la usister aisee kumbe dada...
Kuna haja kama jamii kuwaangalia upya vijana wa Arusha hasa wa kipindi hiki. Kuna vitu wanafanya japo mwengine watasema ni usasa ila naona kama kuna shida na wanahitaji ushauri kuwarudisha kwenye...
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameahidi kuwahudumia kimahitaji watoto wawili wa marehemu, Amani Kamguna Simbayao, aliyekuwa mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), aliyefariki Dunia...
Ukosefu wa maji safi na salama kwa sisi Wakazi wa Kata ya Kijombe, Wilayani Wanging'ombe imekuwa kero kubwa sana kwetu.
Kuna kipindi unapita mwezi mzima maji hayajatoka Bombani, hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.