Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Salaam Wakuu, Kuna video itambea sasa hivi ikionesha kiwango cha maji kuwa chini sana kuliko kawaida! Nina imani hili limeshawafikia Wizara ya Maji, DAWASA, ukweli ni upi? Hii ndio hali halisi ya...
1 Reactions
22 Replies
390 Views
Kutokana na kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa watuhumiwa wawili wanaodaiwa kufanya udanganyifu kuwa wao ni maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwa wanao uwezo wa kusamehe madeni ya...
1 Reactions
5 Replies
209 Views
Kupitia mfumo mpya wa kuomba leseni za undeshaji magari, mambo yanaonekana kuwa magumu badala ya rahisi. Unapohitaji leseni kwajili ya kuendesha magari ya abiria na mitambo inakupasa kuhudhuria...
6 Reactions
15 Replies
521 Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akizungumza kwenye Mjadala juu ya urithi wa Baba wa Taifa kwenye katiba na siasa za Afrika Mashariki...
1 Reactions
Replies
Views
Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya, ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo...
2 Reactions
15 Replies
575 Views
Habari wakuu..... Kwa walio chaguliwa kuendelea na hatua ya pili ya kufanya mtihani kwa ajili ya kujiunga na chuo kwenye scholarship za Hungary kwa level ya OTM one tier master please ni pm ili...
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Sakata la mtoto wa kiume (3) kudaiwa amelawitiwa na watoto wenzie Jijini Arusha, limekuwa na sura mpya baada ya kesi kushindwa kufikishwa Mahakamani kwa madai kuwa waliotenda tukio hilo hawawezi...
5 Reactions
66 Replies
3K Views
Swali: Ningependa kujua kati ya Asphalt na Tarmac, ipi inatumika zaidi nchini? Na ipi ina manufaa zaidi kwa mazingira yetu, hali ya hewa, na gharama za ujenzi na matengenezo? Pia, je, kuna...
3 Reactions
11 Replies
278 Views
Mtu anawezaje kuchukuliwa msukule na inawezekana kumuona huko alipo , wanaishi maisha ya aina gani labda mateso sana , someone to tell me this thing.
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Tunapumua Mungu ni mwema. Basi nikajiendea town si mara moja wala mbili, tatu au nne ni mara kibao biashara nyingi sana za Kiswahili unaingia dukani mtu anaongea.na simu ukikaza sikio anajadili...
11 Reactions
19 Replies
304 Views
Wakuu sijui ni kuwa addicted tu au ndo uhalisia ulivyo mimi kahawa yangu pendwa ni Nescafe Gold huniambii kitu asee. Kwanza huwa haina uchungu wala ladha za ajabu ajabu ladha yake imetulia Bali...
2 Reactions
13 Replies
301 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Mathayo 6:1______________ Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. 2 Basi wewe utoapo...
3 Reactions
16 Replies
239 Views
Wakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo. Ova
12 Reactions
54 Replies
2K Views
Msichana wa miaka 17 (jina limehifadhiwa), aliyekatishwa masomo akiwa darasa la sita na kuozeshwa, amenusurika kifo baada ya kupigwa kikatili kwa madai ya kuchelewa kushika mimba. Tukio hili la...
1 Reactions
8 Replies
529 Views
Leo nimekutana na clip moja kwny group flani likimuonesha mwenyekiti wa CCM Singida akiwaambia wakina mama wassishie kuzaa mtoto mmoja au wawili kwani mama Samia amewezesha hudum ya afya iko...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba. Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per...
66 Reactions
170 Replies
6K Views
Dodoma: Hii ni barabara ya Mpunguzi iliyopo jijini Dodoma ni barabara ambayo yanapita magari kuelekea mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya na mikoa mingine. Ukipita kwenye barabara hii utakutana na...
1 Reactions
1 Replies
66 Views
Ni sauti ya kilio na simanzi kutoka kwa mama mzazi wa mtoto Dominica Damas, ambaye usiku wa kuamkia leo Septemba 2, 2024, amefariki baada ya kudaiwa kulawitiwa na baba yake mzazi aliyetajwa kwa...
5 Reactions
112 Replies
4K Views
Back
Top Bottom