Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Anonymous
Kitefure Longuo A Moshi Vijijini, tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kutokana na maji kutotoka hali ambayo inaathiri Watu wengi ikiwemo sisi Wanachuo na Wanajamii kwa jumla, hali hii...
0 Reactions
5 Replies
331 Views
Watendaji idara ya maji Mkoa wa Mwanza Jitafakarini na chukueni hatua za haraka!Eneo Na mitaa ya Nyegezi stendi. Mwanza ni jiji kubwa ambalo, kwa idadi ya watu, ni jiji la pili kwa Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
127 Views
Anonymous
Tupazie sauti kipande cha barabara cha kwenda kituo cha afya cha Kisemu kilichopo halmashauri ya wilaya ya Morogoro ni kero kubwa sana njia ni mbovu
0 Reactions
1 Replies
73 Views
Anonymous (8163)
Baada ya TRA kubadili mfumo wa forodha umesababisha mizigo kuchelewa kutoka bandari na kupeleka gharama za kutoa mzigo kuongezeka. Mfano mzigo kutoka Zanzibar unachukua siku 5 kutoka bandarini...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
  • Redirect
Anonymous
Baada ya TRA kubadili mfumo wa forodha umesababisha mizigo kuchelewa kutoka bandari na kupeleka gharama za kutoa mzigo kuongezeka. Mfano mzigo kutoka Zanzibar unachukua siku 5 kutoka bandarini...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Barabara nyingi za Dar alama za wavuka kwa miguu, alama za matuta na mistari ya kutenganisha barabara upande wa kushoto na kulia zimefutika ambapo ni hatari kwa madereva na raia hasa wakati wa...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
  • Redirect
Anonymous
Yaani sio halmashauri ya Kilosa tu tunateseka kwakweli, na ilitakiwa tupewe pesa ya kujikimu ndio twende kazini huko na sio halmashauri moja ni zote tunateseka na hapa mishahara yote hatujapewa...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous
Mkandarasi aliyepewa kujenga mitaro barabara ya Tegeta Kibaoni kwenda Wazo ameacha mabaki ya udongo na vigingi vya zege la mitaro ya zamani barabarani
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
Barabara ya Silent Inn kuelekea kanisani Kiranyi na freedom lodge Sakina Arusha,iko kwenye hali mbaya mkandarasi aliyepewa kazi ya matengenezo anasua sua sana tangu mwaka jana ameshafanya kazi ya...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Ni toka mvua za mwaka jana 2024 mpaka leo barabara za Kichangani kuanzia Shule, Kisimani hadi Msikiti wa Mzee Nandule, kote huko njia hazipo ni kama vile Serikali imesahau kuwa kuna watu wanaishi...
2 Reactions
0 Replies
226 Views
Salama wakulal? Kuna shida hapa Arusha, haisi za kwenda njiro ikifika saa tatu usiku nauli inapanda kutoka mia sita kwenda buku! Kwanini wanafanya hivyo wakati nauli inajulikana ni mia sita?
3 Reactions
38 Replies
639 Views
Anonymous
Ni takribanii wiki kadhaa tangu matokeo ya Mtihani wa Leseni yatoke mpaka sasa bado tunasubiri kutangaziwa siku ya kwenda kuchukua Leseni. Hili sio shida kwa sababu huenda ni Maandalizi...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Katika hali isiyo ya kawaida website ya kusajilia Kampuni ya ORS iliyo chini ya BRELA iko down kwa zaidi ya masaa 3 sasa ! Ikitoa ujumbe wa "capacity problem" message kama hizi hutokea pia ambapo...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Malaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndugu zangu mmetoa matangazo ya kazi na kuwataka Watanzania waombe lakini sijui ni kwa makusudi au bahati mbaya mtandao wenu ni shida kiasi kwamba inakuwa ni vigumu...
0 Reactions
9 Replies
696 Views
Anonymous
Kumekuwa na changamoto wakati wa kuhuisha leseni za LATRA Kwa waliopata mwaka 2023 ikidaiwa kuwa tumepewa kimakosa, huku tukifanya kazi kwa takribani miaka 2, Mwaka wa tatu huu unaambiwa umepewa...
0 Reactions
2 Replies
287 Views
Anonymous
Naomba TAMISEMI iangalie posho za kujikimu Kada ya Ualimu Mwaka 2019 Makete hatukupewa fedha hizo. Kila tukiuliza tunaambiwa Serikali bado haijaleta fedha hizo ilihali wilaya nyingine walilipwa...
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Anonymous
Kituo cha afya mji wa Tunduma marufu kama Serikalini wanatoza fedha ya kumuona daktari, vipimo pamoja na kuuza dawa kwa wagonjwa wachanga wa chini ya miaka mitano Serikali iingilie kati suala...
1 Reactions
0 Replies
62 Views
Anonymous
Wanafunzi hao wameshindwa kusaini malipo ya ada kwenye mfumo kutokana na changamoto za mfumo wenyewe, jambo hili linawafanya washindwe kufanya mitihani yao ya muhula huu ambayo inaelekea kuanza...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Wakuu salam, Sijui kwa maeneo mengine ila huku mitaa ya Mbezi Beach kwa Zena kuna maboresho ya mfumo ya maji taka ambayo yanafanywa kwa baadhi ya nyumba wanaotaka kuwekewa mfumo huo. Walianza...
0 Reactions
13 Replies
482 Views
• Mhadhara (80)✍️ Kule jijini Tanga (tena katikati ya jiji) ifikapo kuanzia saa tatu na nusu (21:30 Hrs) usiku hakuna usafiri wa daladala, bodaboda, wala bajaj licha ya kuwa abiria wanakuwepo...
2 Reactions
7 Replies
264 Views
Back
Top Bottom