Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Katika nchi nyingi za Kiafrika, viongozi wa kisiasa wamekuwa wakikabiliwa na maswali na ukosoaji kuhusu matumizi ya rasilimali za umma. Moja ya mambo yanayozua mjadala mkali ni ukubwa wa...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
nawasalimu nyote [emoji120][emoji120][emoji120] Niende Moja kwa moja kwenye mada! Mimi napenda kutafakari juu ya mungu na maajabu yake hasa kwenye suala la uumbaji kwa ujumla, mwisho huwa naishia...
2 Reactions
2 Replies
473 Views
Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni. Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada? Unataka...
16 Reactions
58 Replies
10K Views
Habarini, Yawezekana kabisa Rais Samia hausiki kwenye mauaji au uvunjifu wa sheria uliopo sasa kwani amekasimu madaraka kwa watu wenye kujua majukumu yao na kujiona wanaweredi,hivyo basi hao...
1 Reactions
10 Replies
374 Views
zijue faida mbali mbali za vitu vilivyo kwenye mwili wako ulizokuwa huzijui Ulishawahi kukaa ukaifikiria dunia? Ukafikiria Uwepo wa Mungu na ukubwa wake... Au ulisha wahi kufikiria Binadamu...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Salaam! Wakuu.. Juzi kati hapa nilideposit kiasi Cha pesa kupitia mtandao wa simu wa Tigopesa Kwenda kwenye akaunti yangu ya kufanya bashiri (Kampuni Hela Bet) Sasa hiyo FEDHA ikakatwa kwenye...
3 Reactions
6 Replies
318 Views
Nakumbuka ilikuwa alhamis, tulifanya paper mbili siku hyo so tukawa na muda mwingi wa kula pilau, kuagana na waalim na wanafunzi wenzetu na kwenda kuzurura. Wakati wa kuzurura ulipofika sikuwa na...
0 Reactions
8 Replies
242 Views
Sasa kila sehemu wachungaji, manabii na watumishi wengine hasa Wakristo wako on fire kukemea vitendo vya utekaji na uuaji. Hawa watumishi wako madhabahuni zaidi ya miaka 10. Miili ya watu...
4 Reactions
8 Replies
344 Views
Kuna wakati nilihisi tumelaanika, kuna wakati nilihisi ndivyo tulivyopangiwa kuwa. Kuna wakati nilihisi mafanikio tunayoyasaka ni mipangilio ya mzungu alioleta labda hii ligi sio yetu kwa maana...
2 Reactions
17 Replies
582 Views
Hali ni mbaya sana kwetu Askari Polisi tunaokaa kwenye nyumba za kesho hapa maeneo ya kituoni. OCD karuhusu magari ya maji taka yamwage kinyesi kwenye makazi ya Askari. Simu yangu ina tatizo la...
12 Reactions
54 Replies
3K Views
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Kisoko, Kata ya Luchelele, Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza ninachojiuliza ni kuwa lini utatuzi wa barabara inayounganisha Mtaa wa Kisoko na Mtaa wa Silivini...
2 Reactions
8 Replies
590 Views
Tukio limenikuta muda huu baada ya kusimamishwa na vijana wadogo skauti kwenye chombo changu cha usafiri Tena huyu skauti alienisimamisha umri wake ni miaka 19/20 halafu ananimbia paki piki piki...
4 Reactions
15 Replies
736 Views
Naona tunakazana sana sababu tunajua mitanzania mingi haina uelewa. Itajikita mambo ya Simba na Yanga na kusahau ya msingi. Hili limesukwa na kuja changamsha vijiwe huku mtaani watu wote...
2 Reactions
3 Replies
331 Views
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa Vijana wengi Duniani wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb.) ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kuanzisha moduli ya kuwasilisha rufaa/malalamiko kwa njia ya kieletroniki. Dkt. Mwigulu...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Salamu... Hili lituhusu wote humu bila kujali itikadi zetu mbalimbali. Taswira ndani ya taifa katika nyanja zote imekuwa ni hovyo sana. Lengo la ujumbe huu ni kusema mabadiliko ya kweli...
0 Reactions
7 Replies
174 Views
Kikatiti wilaya ya Arumeru leo tumekuwa tukikatiwa umeme tangia asubuhi kuna nini? Sahivi tuko gizani, what's going on? Tunaomba umeme vinginevyo tupeni taarifa kuna nini. Soma Pia: Naibu Waziri...
1 Reactions
1 Replies
158 Views
Zimesalia siku 10 pekee kabla ya kukabidhi zawadi kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024. Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu' zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee...
10 Reactions
30 Replies
1K Views
Wanajamvi, habari za mahangaiko. Naomba kuuliza anaejua mshahara wa mkuu wa idara elimu wilaya kwa upande wa secondary anijuze. Nataka kujua DEO secondary ni kiasi gani cha mshahara anaweka...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Naona wananchi wameanza kuchoka Wananchi wa njombe wamemwomba rpc husika kama wakikamata wauwaji walawiti wezi wanahitaji feedback Wananchi wamesema hawaoni msaada kama wanakamatwa na baadae...
2 Reactions
3 Replies
162 Views
Back
Top Bottom