Ukipata barabara ya Kilwa kuanzia Central police hadi mbagala zimewekwa taa Hivi karibuni, hizi taa zimeweka kila baada ya kila baada ya meta 50-100, zinasababisha foleni kubwa sana, mbaya zaidi...
Wengi wetu tumewahi kwa namna moja au nyingine kugusana na jeshi la Polisi kwa mema au kwa ubaya. Na kama siyo sisi wenyewe tunawajua watu kadhaa ambao wamewahi kuwa na jambo Polisi. Yawezekana...
JIMBO LA KITETO
TAARIFA KWA WANANCHI WA KITETO
HAFLA YA KUSAINIWA KWA MIKATABA UJENZI BARABARA ZA LAMI
Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto nachukua fursa kuwafahamisha kuwa KESHO...
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) akiwa ameambatana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi (Mb) wamekutana na kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya...
St Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee...
Nikiangalia Wikipedia wanasema wako Arusha lakini mtangazaji anasisitiza HQ iko Lushoto
https://www.facebook.com/reel/442803845318314
Evangelical Lutheran Church in Tanzania (Kanisa la...
Mwanasiasa na Mchumi, Zitto Kabwe amesema kuwa Mataifa ya Kiafrika ambayo hayazingatii misingi ya kidemokrasia katika utawala ujifungamanisha zaidi na China kwa kuwa Taifa hilo halina utamaduni wa...
Chuo Kikuu cha Kimataifa Kampala Nchini Tanzania kilianzishwa ujenzi wa miundombinu, ambapo ujenzi huo ulisimama ukiwa tayari umetumia mabilioni ya walipa fedha.
Katika kufuatilia kwenye vyanzo...
Kuna member jana nilikuwa naongea nae, ni mzuri kwa kuelezea vitu vilivyopo kwenye dark web.. Yeye alisema hao Akina Elon musk na Jeff Bezos sijui Akina billgate hawana pesa mbele ya Rothschild...
Habari ya leo wanaJF,
JamiiForums ina zaidi ya members 500k ambao kwa pamoja wamechangia zaidi ya threads (nyuzi) 1.3M huku posts zikiwepo zaidi ya 13M. Lengo letu kwa leo sio kufahamu idadi ya...
Akiwa anaongea siku ya jana kwenye tukio la Faraja Ya Tasnia Steve Nyerere alinukuliwa akisema:
Wote hapa mnajua mnatambua, taifa la Tanzania katika Afrika ndio taifa lenye uhakika wa amani...
Mahakama imekua na utaratibu wa kuandaa Guidelines (Miongozo) kwenye taratibu mbalimbali za kisheria.
Mathalani mpaka sasa kuna guidelines kama;
1. Bail Guidelines (2020)
2. Execution Guidelines...
Wadau, salaam!
Mi nipo kanda ya ziwa. Nina kiduka, ambacho kinafanya shughuri za ki fedha, yaani, wakala wa Benki mbali mbali, na pia, makampuni ya simu. Pamoja na wateja wa kutoa na kuweka...
Karibu katika huu mjadala why black people are poor.
Mimi nita highlight mambo matatu
Nidhamu ya pesa
Nidhamu ya Kazi
Kutokuwa na utamaduni wa kujiwekea AKIBA.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatma Toufiq amepongeza uwekezaji uliofanywa katika kiwanda cha sukari cha Mkulazi.
Mhe. Fatma ametoa pongezi hizo...
Nipo katika mahusiano na single mother wa watoto wawili kila mtoto na baba ake, mtoto mmoja yupo kwa baba ake pemba na mtoto mwingine tunaishi nae hapa dar japo nae baba ake yupo ila ameoa...
Jumla ya watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31 mwaka 2024, ambapo jumla hii ni kwa wale tu waliofika kwenye ofisi za ITV Mikocheni Dar es Salaam, na taarifa zao kutangazwa kupitia...
Habari wanazuoni.
maisha yangu yote nimekua ni mtu wa kujitenga kukaa peke yangu muda mwingi . Pia nimekua ni mtu wa kusumbuliwa na msongo wa mawazo kwa muda mrefu sasa unao tokana na mfumo...
Habari za muda huu, wakuu tokea tarehe 1/8/2024 kwenye tv yangu hazionyeshi kabisa channels hizi Azam sport 1 HD, Sport 2 HD, na hata sport 3 HD.
Zipo ila zinaonyesha kama sijalipa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.