Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Makala hii iliandikwa kwa kiingereza na Mwandishi Kay Musonda na kuchapishwa na jarida la Modern Ghana, toleo no.215 la April 1 mwaka huu. Nimefanya tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili pengine...
46 Reactions
91 Replies
10K Views
Ni siku ya maumivu Sana Jana na Leo kukataliwa kwa goli la yanga walipocheza. Mameloni wamefanya hujuma. Maumivu yangu sio yanga kufuzu Ila ni pesa ambayo ilibid nile kwasababu nilibetia yanga...
1 Reactions
9 Replies
553 Views
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. @mwigulunchemba (Mb), amefanya mkutano kwa njia ya mtandao kutoka jijini Dodoma na Rais wa China Exim Bank, Bw. Ren Shengiun, ambapo wamejadili kuhusu ushirikiano kati ya...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Anasema Mtume na Maswahaba wake hawakufanya hivi. Hawakuwa wakibweka asubuhi kujifanya wao ndo wanaswali sana kuliko wengine. Pata habari kamili. Video inaonyesha ilikuwa ya mwaka 2001 wakati...
1 Reactions
2 Replies
265 Views
Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati na mbinu mbalimbali za muda mfupi, wa kati na mrefu katika kushughulikia changamoto ya uhaba wa Fedha za Kigeni (Forex), ikiwemo kuainisha baadhi ya...
1 Reactions
3 Replies
222 Views
Anonymous (967f)
Mimi ni mtoto wa mmoja wa Wazee Wastaafu wa Kiwanda cha Maturubai (CANVAS) mkoani Morogoro ambao wamekuwa wakidai fidia zao kwa zaidi ya miaka 25 sasa bila mafanikio yoyote huku ikisemekana kwamba...
2 Reactions
6 Replies
750 Views
Kumekuwepo na wimbi au mwenendo wa wanasiasa au wanasheria au watu binafsi kujaribu kutumia Mahakama ndivyo sivyo. Yaani kupeleka mashauri yenye kuichosha mahakama au kuitumia kama chombo cha...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Mzuka wana JF Kuna wadau humu wanapenda kuiponda sana marekani totaly (sio kwamba nasema marekani haina maovu ) wanasema russia ndo kila kitu na wengine wanafika hatua ya kuita Russia ni taifa...
5 Reactions
15 Replies
815 Views
Nimekuwa mlaibu wa michezo ya kubahatisha mpaka nashindwa kuweka akiba nitumie mbinu ipi ili niepukane na ulaibu huu najalibu lakini nashindwa
2 Reactions
4 Replies
168 Views
Moja ya jambo nililojifunza katika miongo kadhaa niliyojaliwa katika maisha yangu ni kuelewa kuwa Dunia imejawa na watu wengi waoga na ujasiri siyo kufanya jambo bila woga au hofu ila ni kuendelea...
2 Reactions
5 Replies
283 Views
Nataka tu nimjue anipe mawazo na njia ya kuboresha biashara yangu ya bar inataka kufa na mtaji wa kuchechemea Sijataka kwenda kwa Jesca Kitambaa Cheupe kwa sababu yule dada yeye bar zake hafanyi...
9 Reactions
48 Replies
2K Views
Growing up tumekuwa kwenye situations mbalimbali, ambazo hatukuzipenda. Labda ugumu wa maisha ya nyumbani, tabia za ndugu jamaa na marafiki, mifumo ya maisha, uraibu, nk. Wengi wetu tulijiapia...
1 Reactions
1 Replies
215 Views
Salam, Mizim ni ma-spy wa kiroho, wanaowakilisha falme za kiroho kutucolonize. Mizimu hujifungamanisha na koo zetu kwa kujifanya ndugu zetu waliokufa. KAZI ZA MIZIMU 1. Kudumisha utumwa...
2 Reactions
5 Replies
525 Views
WAZIRI CHANA " SERIKALI ITAWALINDA WANANCHI DHIDI YA WANYAMAPORI WAKALI" Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali itaendelea kuweka mikakati madhubuti...
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Kutoka kwenye mtandao wa X, Akaunti ya Lisa Ildephonce (@LIldephoce) “Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat...
8 Reactions
109 Replies
5K Views
Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake...
40 Reactions
130 Replies
3K Views
Nimebehatika kukaa kama sio kuishi sehemu tofauti tofauti duniani.nimeona na kujifunza kadhaa wa kadhaa jinsi serikali nyingine za ulaya ,marekani,na asia zinavyofanya kwa ajili ya wananchi wake...
0 Reactions
4 Replies
238 Views
Huu mradi watu waliajiriwa kwa mfumo gani na elimu gani? Mbona upo rafu sana, kituo cha msimbazi B watu wamejaa nnje hawawezi kuingia ndani wahusika wameweka mashine 2 tu za kuscan na hazitoshi...
4 Reactions
6 Replies
303 Views
Askofu mkuu wa makanisa ya Methodist,Joseph Bundala amejinyonga ofisini kwake kwa kutumia waya wa simu. --- ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania, Joseph Bundala (55), amekutwa amejinyonga...
11 Reactions
75 Replies
8K Views
Nimeonaaa majuzi tbs wanaaswa kuhusu ongezeko la vijana kunywa pombe kupitiliza na kufa gafla. Shidaa sioo kunywa vijana wananyweshwa gongo virobaa kilichobadilika n package tu. Hii kitu...
5 Reactions
3 Replies
269 Views
Back
Top Bottom