DAWASA leo katika mkutano na waandishi wa habari mmeulizwa kuhusu tatizo la kutoka maji ya bomba yakiwa machafu kwa baadhi ya wakazi wa Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam. Hii inamaanisha nini kwa...
Hodi waungwana.
Hii ni awamu ya kwanza ya
" SIMULIZI ZA WAUNGWANA"
Awamu hii itakuwa na simulizi saba.
Simulizi hizo ni:
1.ASANTE.
2.NUKTA.
3.NZI.
4.SHETANI.
5.SIFA.
6.UZITO.
7.YAI.
Lengo la...
Na Amina Hezron – Dodoma.
Imeshauriwa kuwa uwekezaji katika sekta ya kilimo ujikite zaidi katika kuangalia namna ya kuboresha mbinu mbalimbali za ugani na teknolojia za kisasa ili kuwasaidia...
Wakili Madeleka: Huwezi KUMVUNJIA MTU NYUMBA YAKE bila KUMLIPA FIDIA, ili ujenge BARABARA, halafu ukamwambia hayo ni “MAENDELEO YAKE”, asubiri “UTAMLIPA BAADAE”. Sasa unataka AKAISHI WAPI NA...
Katika kuhakikisha ulinzi na elimu vinatolewa kwa wananchi, Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha Wanamaji nchini kimeendelea kuyafikia makundi mbalimbali ya watumiaji wa vyombo vya majini ambapo leo...
Wakuu kwema!
Nimekuwa na nia ya dhati ya kutoka inchini kwetu Tanzania na kwenda nchi zingine kujaribu kupambana na maisha.
Katika harakati hizo nimeona nchi ya Singapore haina vigezo vikali...
Salaam, Shalom!!
Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.
Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia...
Jamani habari zenu,
mwaka ana nilibahatika kupata milion 9, nikaangalia cha kufanya nikashindwa, maana ukiingia kichwa kichwa kwa hali ilivyotanzania ,hapana,
Nikanunua ardhi ekari 5 kwa milion...
Swala
Surah An-Nisa (4:58):
"Hakika Mwenyezi Mungu anawaamrisha mtende haki, na kuweka usawa na kuwa na uwajibikaji katika mambo yote. Na kuwa na uaminifu kwa wale walio na dhamana, na kutenda...
Sijui tumelaaaniwa
Yaan katoto ka miaka 3 unakaamsha saa kumi na moja kwenda shule Kakasome A e i o u!
Tuna akili kweli ama mnakimbia bili za wafanyakazi wa ndani?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Nishati kuongeza nguvu katika kusimamia miradi yote ya nishati ili ikamilike kwa wakati na hivyo kuwawezesha...
Kuna haja ya kufanya mabadiliko kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Itapendeza kama tutachagua viongozi wa vijiji, mitaa nk kwa kufuata elimu walau kidato cha nne
Nimeona wenye viti wa...
Habari wana JF,
Kuna huu wizi sijui niite utapeli ambao binafsi nimeanza kuushuhudia tangu mwaka 2022 kwa maeneo ya Kariakoo na kila mara nikipita eneo hilo nakuta huo wizi unaendelea utapeli...
Taasisi ya The Foundation for Civil Society (FCS) wametia saini makubaliano ya miaka mitatu na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA...
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imefafanua juu ya kinachoendelea katika Kampuni ya Insurance Group of Tanzania (IGT) ambapo kuna Watanzania wanaodai kuwa wanaidai Kampuni hiyo lakini...
Mmiliki wa mabasi ya Sauli, Solomon Sauli Mwalabila amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Miwaleni, Mlandizi mkoani Pwani majira ya saa kumi na mbili na nusu alfajiri.
Katika...
Maana nimeshachoka kusikiliza miziki ya hovyo na mpira
Mwenye hii comment kanigusa sana
Redio zinashindana kua na michezo ya kamari kila redio ina ina michezo ya kubahatisha
1. Nikiumbe gani Mungu kakiumba kakipa akili na matamanio?
2. Nikiumbe gani Mungu kakiumba kakipa akili hana matamanio?
3. Ni kiumbe gani Mungu kakiumba kakipa matamanio kakinyima akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.