In short wananchi tunafahamu weakness walonayo viongozi wengi serikalini ,
Sio waoga kuiba by any means, yani upenyo mdogo tu wanaharibu kila kitu, pia ni very slow thinkers, pia mifumo ya...
Hii ni kwa wale watu wabishi wabishi hata kwenye Jambo la msingi yeye anataka kukwamisha. Unakuta mtu kafanya jambo lake analifurahia atatokea mtu tu kuhakikisha anakuliza.
Hawa watu tunaishi nao...
Habari zenu wana JF wenzangu,
Hizi ni tetesi kutoka kwa mtu wa ndani ya kitengo fulani, ambapo amesema mpango huo wa kuipa Terminus hiyo jina la raisi Samia utafanyika siku ya ufunguzi wa safari...
Kutokana mchango wake katika Sanaa ya Muziki, ni maoni yangu serika ijenge Musical Museum ambayo itaonesha vifaaa na picha za wasanii wa wamuziki wa Dansi.
Na mtangazaji nguli...
Watu wengi sasa hivi wanalalamikia kuwa umri umeenda siwezi kufanya kitu fulani, umri umeenda hayo yaache yapite.
Kaka yangu, Dada yangu, Baba, Mama, Mdogo wangu bado hujachelewa kabisa.
Katika...
Hii inamaanisha kuwa kuna mtu ana kitu yani akikifanyia kazi anaweza kufika mbali lakini amekaa nacho ndani anawaza.
Utawaza hadi lini na umekaa ni fursa ndani? Unamsubiri nani aje akutoe huko...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Wilaya ya Temeke imebaini kuwa baadhi ya Watumishi wa Wakala wa Mabasi Yaendao Haraka (UDART) waliingia makubaliano batili na Watendaji wa...
Haya mliosoma UDSM wale ambao mnafundishwa na Maprofesa wa Jalapani njooni mbishie huyu mwamba hapa 👇
Bwana huyo kutoka Njombe alikuwa akichangia mjadala wa dira ya Uchumi wa Taifa ya 2050...
Bora kipi kuendelea na mifumo hii ambayo wachache wanatuongoza ambao ni kundi au chama cha siasa kuliko kuwa na mfumo ambao kila mwenye sifa fulani apewe nafasi ya kusukuma gurudumu hili kufia...
Wakuu,
Zoezi la kupiga kuralikiwa limesimama kusubiri karatasi nyingine ziletwe
Kama kicha kinavyosema hapo juu. Kinachoendelea sasa hivi nikuwa karatasi za kupigia kura zimeisha na hivyo...
Wakuu kwema?
Ukurasa wa X wa Tanganyika Law Society wameweka tangazo kuwa zoezi la kupiga kura limekamilika watu wanasubiri matokeo sawa.
Pia soma: Uchaguzi wa Rais TLS: Karatasi za kupigia...
Mwezi ujao ninatarajia kwenda Nairobi nchini Kenya. Kwa kuwa sijawahi fika Kigali, ninataka nitumie fursa hiyo kwa kupita kama njia.
Matamanio yangu ni kupitia Bunjumbura na Kigali ambako kwa...
Habari za kutwa wana JF
Natambua hali ya maisha ni ngumu kwa ujumla, matapeli ni wengi mno, wengine wanajifanya wagonjwa ili tu wapate msaada, nk,
Lakini ukikutana na mtu hakuombi pesa ila...
Habari wana jamvi.
Mimi wala nisiseme sana. Angalieni hii bajaji ni ya Dawasa hadi turubai limechanika linapeperushwa na upepo, hii chuma haikai hata silencer yani ameipack sehemu ikabidi mmoja...
Haya mambo nimekuja kuyajulia Dar, kwetu Bulongwa Makete Uislam hauko.
Ndugu zanguni naomba kujulishwa jinsi albadil inavyofanya kazi. Kuna MTU kaniibia kiasi kikubwa sana cha hazina yangu...
Hapa sasa inatakiwa kuwa na Mipaka katika maisha yako.
Kila shughuli umo tu, Kila mtu akikosa mtu wa Muhimu anakutumia wewe sasa kuziba pengo.
Ukiitwa mahali kuna shughuli unaenda yani wewe hata...
Ukweli ni kwamba kumekuwa na uharibifu mkubwa sana wa lugha ya kiswahili miaka ya karibuni. Tatizo hili lipo haswa kwa kizazi hiki kinachoitwa cha 2000 aka Gen Z. Imefika wakati hadi hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.