Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hii iko wazi kabisa kuwa Marafiki wengi husalitiana Mume kwa Mke. Malalamiko ya marafiki kugeukana yamekuwa mengi kipindi hiki. Hata mahakamani kesi nyingi ni za watu ambao waliwahi kuwa marafiki...
9 Reactions
60 Replies
1K Views
HAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU Habari za mchana WanaJF Katika kuboresha elimu, Hivi karibuni serikali ilitangaza...
34 Reactions
142 Replies
13K Views
RIPOTI: Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limesema Robo Tatu ya Idadi ya Watu katika Bara la Afrika hawana uhakika wa kupata Lishe Bora Kwa mujibu wa Ripoti ya FAO, Takriban Watu 864 duniani...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
Mikopo juu ya mikopo, huyu mwalimu kazini anakuwaje na ufanisi? Cc; Mpwayungu Village
5 Reactions
22 Replies
753 Views
Habar wana JF. Leo nataka tujadili jamani. Kuna huu wizi unaoendelea mtaani kuhusu hawa wasajili laini. Wanajifanya wanasajili laini lakini wanaliza watu kila siku kupitia ile mbinu yao...
1 Reactions
4 Replies
764 Views
Nimepiga nakuambiwa simu inaunganishwa na watoa huduma zaidi ya dk 10. Hii ina maanisha wahudumu wao wamezidiwa au ndo anapokea anapojisikia!!
1 Reactions
1 Replies
131 Views
Wakuu, Tls waomba radhi kwa post waliyoweka kuhusu uchaguzi kuisha, wasema zoezi la kupiga kura litaendelea kwa muda wa saa moja kuanzia saa 07:20 mchana hadi 08:20 mchana.
2 Reactions
3 Replies
568 Views
Kwa nia njema kanisa nataka kujifunza. Kwani nashindwa kuchanga kuona uvumilivu huu wa ndugu zetu. Ninyi ni watu safi kwa sababu Mungu wenu kwa kukusaidia aliamua atundikwe msalabani kwa ajili ya...
1 Reactions
0 Replies
229 Views
Gazeti la Guardian leo 2/7/2024.
4 Reactions
4 Replies
454 Views
1. Wenzetu sijui huwaza nn? Yaan mradi wa SGR uendeshwe na TRC? Kutoboa Sana miezi 6 kila kitu kitakua Mochwari. 2. Tafuteni mwekezaji mwenye uzoefu wa hizo kazi. Gautrain South Africa zaidi...
4 Reactions
6 Replies
347 Views
Anonymous (c135)
Kuna mchezo siku hizi unachezwa nafikiri ni makusudi na wafanyakqzi wa TRC ili kutengeneza mianya ya rushwa. Sasa hivi TRC wameweka utaratibu mzuri sana wa kukata ticket kwa njia ya mtandao, ki...
0 Reactions
10 Replies
479 Views
Anonymous (1dc3)
Habari wanajamvi, Kwa muda sasa Kuna mambo ya kitapeli hufanyika waziwazi bila matapeli hao kuchukuliwa hatua Kwenye Kona mbalimbali ya jiji hili hususan karibu na maeneo ya stand kuu, Kuna watu...
2 Reactions
19 Replies
497 Views
Kwa kutambua juhudi za walevi kwenye uchumi, 2/8 ni siku ya Bia Duniani. Natoa salute Kwa walevi wote Kwa juhudi zao za kukuza Uchumi Kupitia unuwaji bia ambapo Kwa Tanzania Mapato kutokana na...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie. Watu wanakera sana...
15 Reactions
97 Replies
4K Views
Toka taasisi hii imeanzishwa sijawahi kusikia wamekamata Trafiki akichukua rushwa. Wakati Hawa jamaa wamejiwekea malengo Kwa siku kukusanya kiwango kadhaa. Mtego wao Ni rahisi Sana. Chukuen hatua
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari naomba kuuliza au kupata msaada kutoka NMB kadi kutoka wilaya moja hadi nyingine inachukua muda gani kufika na mnazisafirisha kwa njia ipi? Nime-renew kadi nikaambiwa niende baada ya siku...
1 Reactions
4 Replies
296 Views
Wakuu, Tumeendelea kuweka taarifa kama tunavyozipokea, kama mlivyoona zoezi la kupiga kura limesimama kwa muda mpaka wakati huu naweka uzi huu hapa kutokana na karatasi za kupigia kura kupelea...
2 Reactions
4 Replies
344 Views
Comrade wetu katika umoja wetu wa wa fanyabiashara za umachinga wakubwa kapata tatizo kubwa la kia afya ya kindeney trans-plant uko Appolo india, medical bill pamoja na vifaa tiba, usafiri wa watu...
11 Reactions
77 Replies
2K Views
Ni muda sasa wakazi wengi wa maeneo Ilala ikiwemo boma, Amana, Bungoni, Sharifu Shamba, Malapa na Buguruni Rozana tunateseka na kero ya wanaoendesha pikipiki zenye milio ya juu wakati wa usiku...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Kutokana na Soko la Kijichi lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke ambalo lilijengwa kupitia mradi wa uboreshaji wa Miundombinu katika Jiji la Dar es Salaam (DMDP) kwa mkopo wa Benki ya Dunia...
1 Reactions
3 Replies
556 Views
Back
Top Bottom