International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Hii kauli ina tofauti gani ni ile ya "kuna mhimili moja uliojichimbia chini zaidi"?! Poor Murica.
1 Reactions
16 Replies
572 Views
  • Redirect
Mji wa bukavu uko mikinoni mwa M23 kwa sasa,raia wanasema walikuwa wameteseka sana kwa myaka mingi,wakiteswa na Jeshi la Congo na vikundi vingine.
0 Reactions
Replies
Views
Leo nataka tujadili maana naona nchi za Africa zinamuogopa huyu jamaa au ndio mbabe wao maana nasikia jamaa akikoroma kidogo tu nchi nyingine zinatetemeka halafu nchi yake ni kama Israel ni ndogo...
7 Reactions
118 Replies
2K Views
Raila 21 na mgombea wa djibouti,Mohamed youssef kura 24,ila mambo bado,tusubiri
4 Reactions
55 Replies
1K Views
  • Redirect
Raila 21 na mgombea wa djibouti,Mohamed youssef kura 24,ila mambo bado,tusubiri
4 Reactions
Replies
Views
Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa. Trump...
24 Reactions
175 Replies
5K Views
VIONGOZI wa Makanisa Katoliki Nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENCO) pamoja na Kanisa la Kristo nchini humo (ECC), mapema leo Februari 12, 2025 wamekutana na kufanya mazungumzo na waasi...
3 Reactions
22 Replies
642 Views
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa. Maombi haya pia...
15 Reactions
94 Replies
1K Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) dhidi ya...
0 Reactions
Replies
Views
https://x.com/WilsonLixon/status/1890756407906939004
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Mahakama ya kijeshi, huko DRC, Kivu kusini, leo tarehe 14 Februari 2025, imewahukumu wanajeshi 212 kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kukimbia adui,kosa lililotafsiriwa kuwa ni usaliti wa kiapo...
3 Reactions
13 Replies
571 Views
Yani hawa Wajerumani si ndio walikuwa upfront kuwapokea kwa wingi ngoja waendeleee kuona moto. Mara ya mwisho kuna mmoja alifanya hivi hivi sasa leo tuna mwingine kafanya yake, kuendesha gari na...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Leo katika pitapita zangu mahali nikakuta documentary inayoelezea machafuko ya huko Congo, kuanzia chimbuko Kwa kifupi nilichokuja kugundua baada ya muda mrefu kuwaza kua sababu ni nini huko...
0 Reactions
2 Replies
233 Views
Saudi Arabia ilialikwa kujiunga na BRICS mnamo 2023 lakini Ufalme bado haujatoa uamuzi wa kukubali mwaliko huo. Imezuia uamuzi wa kujiunga na muungano huo kwa kuwa unafanya mikataba ya kibiashara...
3 Reactions
53 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Operesheni kubwa ya kijeshi kuyasaka magaidi ya Hamas yaendelea huko ukingo magharibi mwa mto Jordan Mungu ibariki Israel Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo...
6 Reactions
50 Replies
1K Views
Kiongozi wa Umoja wa Mataifa Jean Pierre Lacroix, kitengo cha mambo ya usalama, ametangazia kamati ya Umoja huo kwamba kundi la M23 linaukaribia mji wa Bukavu, ambao ni makao makuu ya jimbo la...
8 Reactions
78 Replies
2K Views
Jenerali MASUNZU, siku za nyuma alipewa uongozi wa kanda ya 3 ya kijeshi, ambayo inaundwa na mikoa ifuatayo: Kivu Kaskazini, Kivu kusini, Ituri, Haut-Uélé na Tshopo, amesalimika baada ya kuundiwa...
4 Reactions
8 Replies
553 Views
Ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda au kwingineko lakini zenye Makao yake nchini Rwanda, zimepigwa marufuku kuruka juu ya anga ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mamlaka ya DR Congo...
3 Reactions
9 Replies
516 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…