International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Hivi karibuni, mlipuko wa wimbi jipya la COVID-19 katika miji kadhaa nchini China ikiwemo Shanghai na Beijing umefuatiliwa na vyombo vya habari na jamii ya kimataifa. Watu wengi wanashangaa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Utawala wa Rais Joe Biden utaondoa Kanuni ya upimaji wa COVID-19 kwa Wasafiri wa Anga wanaoingia kutoka nje ya Nchi kuanzia Juni 12, 2022. Hatua hiyo itaondoa moja ya vizuizi vya muda mrefu vya...
2 Reactions
4 Replies
622 Views
Hali ya COVID 19 Kwa kiwango kikubwa imeendelea kupungua. Na ndio maana wenye kukumbwa sana na janga hili wameendekea kutafiti na kuweka kumbukumbu mzuri zinazowasaidia kuwa na maamuzi. Kuanzia...
1 Reactions
4 Replies
749 Views
Mkutano wa 73 wa Baraza la Afya Duniani (WHA) umeanza jana huko Geneva, Uswiss, ambapo utafuatilia masuala makubwa yakiwemo janga la COVID-19 na afya ya dunia inavyohimiza pendekezo la amani...
0 Reactions
0 Replies
402 Views
Korea Kaskazini imeweka wazi kuwa imeanza kupata matokeo mazuri katika vita yake dhidi ya Ugonjwa wa Covid-19 lakini idadi ya walioambukizwa ikitajwa kuwa imefika zaidi ya watu milioni 2 Rais wa...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Korea Kaskazini imetangaza kuwa inatarajia kutumia madaktari wa jeshi lake katika kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona katika Mji wa Pyongyang. Agizo hilo limetangazwa na Kim Jong Un...
0 Reactions
4 Replies
865 Views
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un amewashutumu baadhi ya Viongozi wa Serikali kwa kwa kuwa na mitazamo hasi na kuonesha uzembe wakati huu ambapo Taifa hilo limethibitisha maambukizi Tangu...
1 Reactions
8 Replies
920 Views
Katika vitu vilivyompa wakati Mgumu Trump, ni jinsi alivyoshughuliia Covid-19, Democrats walimshukia hatari kinoma. Joe Biden kwenye kampeni alisema " any one who is responsible to these many...
2 Reactions
7 Replies
912 Views
Vifo vipya 21 vimeripotiwa huku ikielezwa watu wengine walikuwa na dalili za Homa. Kiongozi wa Taifa hilo, Kim Jong Un amesema mlipuko wa COVID-19 umeiweka Nchi katika machafuko makubwa. Korea...
1 Reactions
7 Replies
977 Views
Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA), leo Ijumaa Mei 13, 2022 limethibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa Covid-19, ikiwa takwimu za kwanza kutolewa rasmi siku moja baada ya nchi hiyo...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Korea Kaskazini imegundua kisa cha kwanza kabisa cha maambukizi ya Covid-19, kulingana na vyombo vya habari vya serikali, ambavyo viliita hali hiyo "dharura kuu ya kitaifa." Imeripotiwa kuwa...
1 Reactions
12 Replies
967 Views
Mtendaji wa Kampuni hiyo ambayo iliingia mkataba wa kufungasha, kuuza na kusambaza chanjo ya Johnson & Johnson barani Afrika amesema kuwa wapo mbioni kufunga kwa kuwa hawajapokea oda yoyote kwa...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Vipimo vimeonesha kuwa Antony Blinken ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekutwa na maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19, ametakiwa kufanya kazi kwa njia ya mtandao. Licha ya maambukizi...
1 Reactions
2 Replies
721 Views
China imeweka hatua kadhaa za 'Lockdown' katika Miji mikubwa ya Beijing na Shanghai yenye mchango mkubwa katika Uchumi wa Nchi hiyo, ikiwa ni jitihada za kudhibiti Milipuko wa Virusi vya Corona...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waziri wa Afya wa Afrika Kusini, Dr. Joe Phaahla akizungumza na vyombo vya habari vya habari Aprili 29 asubuhi, alisema Idara ya Afya imeshuhudia ongezeko la maambukizi ya Covid-19 katika wiki...
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Shirika la Afya Duniani limesema bara la Afrika linashuhudia kuongezeka kwa visa vya COVID-19 vinavyotokana na kuongezeka maradufu kwa visa vya maambukizi vilivyoripotiwa nchini Afrika Kusini...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Makamu wa Rais wa USA Kamala Harris tests positive with Corona virus … ======= (CNN)Vice President Kamala Harris tested positive for Covid-19 on Tuesday after returning from a weeklong trip...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
Idadi ya maambukizi ya Corona na vifo vinavyotokana na virusi hao vimepungua kwa kiwango kikubwa katika Bara la Afrika kwa mara ya kwanza tangu kuibuka kwa maambukizi hayo. Takwimu hizo ni kwa...
0 Reactions
5 Replies
766 Views
Inaelezwa kuwa mbili ya tatu ya watu waliopo Afrika wameambukizwa Ugonjwa wa Uviko-19 ndani ya miaka miwili, ikiwa ni mara 97 ya takwimu zilizoripotiwa na mamlaka husika. Takwimu hizo ni kwa...
0 Reactions
8 Replies
675 Views
China imetangaza maambukizi mapya 13,146 ya #COVID19 ambayo yametajwa kuwa ni makubwa kuliko yaliyowahi kuripotiwa tangu Februari 2020 Kirusi cha Omicron kimesambaa majimbo mengi. Maelfu ya watu...
1 Reactions
3 Replies
711 Views
Back
Top Bottom