International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Miongoni mwa Amri Zilizotolewa na Trump Jana Katika Uapisho Wake 1. Kusitisha Ajira Mpya (Hiring Freeze) Trump alitoa amri ya muda ya kusitisha ajira mpya serikalini hadi utawala wake...
14 Reactions
15 Replies
2K Views
1. Burkina Faso's GDP grew from approximately $18.8 billion to $22.1 billion. 2. He has rejected loans from the International Monetary Fund (IMF) and the World Bank. He said, "Africa doesn't need...
20 Reactions
71 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Israel yasema inataka mateka 34 walio hai ndiyo waachiwe huru Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo? Hamas said willing to free only 22 of 34 living hostages demanded...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na...
25 Reactions
133 Replies
2K Views
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
23 Reactions
238 Replies
9K Views
Wanaukumbi. 🚨QATAR ANNOUNCES ISRAEL-HAMAS CEASEFIRE TO START SUNDAY A Qatari-brokered ceasefire will go into effect Sunday at 8:30 a.m. IST (06:30 GMT), with Israel and Hamas agreeing to a...
5 Reactions
201 Replies
3K Views
Maana nimechoka kufanya research siikuti Palestina iliyowahi kuwa nchi au Falme ikiwa chini ya waarabu Nahitaji kuoneshwa Falme iliyoitwa Palestina na mfalme alieiongoza kama ilivyokuwa kwa...
4 Reactions
76 Replies
2K Views
Tukio hilo lilitokea tarehe 13 Januari 2025 karibu na kijiji cha Velikiy Soldatskoye, Mkoa wa Kursk. Wanajeshi watatu wa Jamhuri ya Watu wa Korea Kaskazini (DPRK) waliwaua wanajeshi watano wa...
0 Reactions
5 Replies
658 Views
Wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Rais Donald Trump tarehe 20 Januari 2025, tukio lililomhusisha Mark Zuckerberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Meta (zamani Facebook), lilivutia sana. Video moja...
1 Reactions
9 Replies
712 Views
Katika kitu kilichonikatisha tamaa ni kuona katika hotuba ya msemaji wa Hamas hakutaja nchi kama South Africa au Ireland ambao kwa nafasi kubwa wamepambana sana kwenye hii vita. Zipo nchi za...
13 Reactions
72 Replies
2K Views
Ni kawaida uongozi wa Marekani kuwafanyia nongwa viongozi wa nchi nyengine duniani wanaposhutumiwa kwa makosa mbali mbali hata yasiyothibitishwa na mahakama. Kinyume chake raisi Donald Trump...
1 Reactions
4 Replies
213 Views
Unaweza kudhani ni maajabu, ila huo ndio ukweli, Kijana alozaliwa 14/3/1988, aloamua kuchukua Nchi Kwa njia ya mapinduzi mnamo 30/9/2022 .. ni Mwaka mmoja na miezi 6 tuu ila Mzalendo huyu Kijana...
35 Reactions
54 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Orodha kamili ya majina hapo chini, tafadhali mtaarifu mwenzako Mungu ibariki Israel Sabato njema Romi Gonen, 23 Emily Damari, 27 Arbel Yehud, 29 Doron Steinbrecher, 31...
0 Reactions
20 Replies
788 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mwamba amedai Oktoba 20 atakuwepo Washington DC kushuhudia mwamba mwenzake Donald Trump akila kiapo kuongoza taifa kubwa zaidi duniani Taarifa kamili hapo chini kwa...
1 Reactions
6 Replies
449 Views
Hili si suala la ushabiki wala kiimani. Uungwana siku zote ni kujitendea haki mwenyewe kwa kuukabili ukweli hata kama ni mchungu. Sote ni wafu watarajiwa na kwa mola tutarejea. Hata ipo tofauti...
19 Reactions
107 Replies
4K Views
"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is...
13 Reactions
86 Replies
2K Views
Duru zinatabanaisha, Zelensky ameshajiandaa kukimbilia uhamishoni Nchini Uingereza endapo tu Rais Trump atatangaza usitishwaji wa msaada wa silaha na fedha zinazofadhiri vita ya Nchi yake dhidi ya...
0 Reactions
4 Replies
462 Views
Back
Top Bottom