International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Maghala ya kuhifadhia risasi na viwanda vya kemikali vilishambuliwa katika mikoa kadhaa, baadhi yao ikiwa mamia ya kilomita kutoka mpakani, kulingana na Mkuu wa Wafanyakazi wa Kikosi cha Wanajeshi...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Serikali ya Israeli na Hamas wamekubaliana juu ya makubaliano ambayo yatasimamisha mapigano huko Gaza na kusababisha kuachiliwa kwa hatua kwa hatua kwa mateka na wafungwa wa Kipalestina, vyanzo...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amemteua Pete Hegseth kama waziri wa ulinzi, uteuzi ambao umekumbwa na utata. Katika kikao cha kuthibitishwa mbele ya Seneti ya...
3 Reactions
44 Replies
1K Views
Mapigano kati ya vikosi vya serikali ya Yemen na Houthis waripotiwa katika majimbo 3. Jeshi la Yemen lilitangaza Jumamosi jioni kwamba vikosi vyake vilipambana na wapiganaji wa Houthi katika...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Tizama dunia hii. James Woods, muigizaji maarufu wa Hollywood ambaye alishabikia Wapalestina wote wa Ghazza wateketezwe, Mungu kamtahini kwa kuunguliwa na nyumba yake katika moto mkubwa...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Venancio Mondlane, kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji, amethibitisha kuwa atarejea nchini Alhamisi wiki hii, siku chache kabla ya kuapishwa kwa rais mteule, Daniel Chapo. Mondlane, ambaye...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
As the so called spiritual music and other music dominates our social media as influencers, they capitalize on expensive aesthetically emotional techniques.But there are easier, cheaper more...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling...
15 Reactions
110 Replies
4K Views
Majanga ya asili ni Jambo la kawaida katika ulimwengu wetu,sisi kama binadamu tunapaswa kukubaliana na matokeo pale inapo bidi,huyu ni mama shupavu ambaye amebaki na moyo mkuu licha ya Masahibu...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
Mahakama ya juu ya Msumbiji imethibitisha ushindi wa chama tawala cha Frelimo katika uchaguzi wa Oktoba, ambao umezusha maandamano makubwa ya makundi ya upinzani ambayo yanadai kulikuwa na wizi...
1 Reactions
5 Replies
480 Views
Wakuu, Hivi inakuaje kuaje mpaka unadanganywa kiasi hiki na Artificial Intelligence? Ndo tumefikia huku? ====================== Mwanamke mmoja kutoka Ufaransa alidanganywa na kupoteza zaidi ya...
1 Reactions
3 Replies
321 Views
Hakika Mungu yupo kwa hili lililowatokea wanandoa wawili nchini marekani katika hili janga la Moto linaloendelea,walikuwa na dakika 30 pekee za kuokoa maisha yao lkn kwa maombi na sala Mungu...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
𝗔𝗰𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗧𝗶𝗸𝗧𝗼𝗸 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗮𝗽𝗽 𝗶𝗻𝗮𝗶𝘁𝘄𝗮 𝗫𝗶𝗮𝗼𝗵𝗼𝗻𝗴𝘀𝗵𝘂 𝗶𝗻𝗮𝘄𝗮𝘂𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗸𝗶𝗰𝗵𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗺𝗮𝗿𝗲𝗸𝗮𝗻𝗶 Wachina wanazidi kuwahumiza vichwa wamarekani aiseee 🥱 Baada ya TikTok kuwa kwenye mpango wa kuondoshwa, watumiaji wa...
1 Reactions
3 Replies
439 Views
Wanakumbi. Donald Trump: There is no water to extinguish fires, there is no money in emergency agencies. The US should focus on solving its OWN CRISES instead of funding GENOCIDES abroad...
23 Reactions
245 Replies
7K Views
Kulingana na The Eastleigh Voice, kikundi cha RSF cha nchini Sudan kitaongea na waandishi wa habari jijini Nairobi nchini Kenya mnamo Jumatatu ya tarehe 13 Januari 2025. Hii inakuja ikiwa ni siku...
0 Reactions
13 Replies
648 Views
Israel new proposal law banning spread of Christianity in Israel Legislation, if passed, would send violators to prison for 1–2 years Forbidden to talk about Jesus": shock proposal in Israel...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Huu mtandao wa kichina Xiaohongshu kwa jina la kiingereza RedNote utaweza kuwa mbadala wa TikTok marekani kama utaweza kukufungiwa Januari 19 au ni nguvu ya soda tu kwa sasa. Xiaohongshu, also...
0 Reactions
3 Replies
326 Views
Mitandaoni kuna propaganda imekamata watu wengi sana kwamba Netanyahu amekataa mualiko 😂😂 , watu wengi sana wasiojua historia wamejaa kwenye mfumo. Marekani wamejiwekea utaratibu wao wa kipekee...
4 Reactions
8 Replies
855 Views
Mwanamke mmoja Mfaransa alitapeliwa zaidi ya $800K na mtu aliyejifanya kuwa Brad Pitt. Walikutana na tapeli huyo Instagram na kumshawishi kwa video na picha zilizohaririwa na kuzalishwa na AI...
8 Reactions
25 Replies
781 Views
Kampuni ya Barrick Gold Corporation imetangaza kuanza hatua ya usitishaji wa shughuli zake kwa muda katika mgodi wa Loulo-Gounkoto uliopo nchini Mali. Hatua hiyo imekuja kutokana na mvutano...
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Back
Top Bottom