International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameanza kipindi chake cha pili kwa mpango wa kutaka kunyakua Greenland ambalo ni eneo la nchi ya Denmark na mfereji wa Panama ambao ni eneo la nchi ya Panama...
9 Reactions
54 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Mchakato uliongozwa na Waziri wa mambo ya nje James Byrnes. Marekani ilitoa ofa ya dola million 100 million Kwa Serikali ya Denmark ili kuinunua Greenland. Pia Marekani...
2 Reactions
4 Replies
431 Views
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameituhumu nchi ya Urusi kutumia mitandao ya kijamii kuchafua jina la Ufaransa barani Afrika. Rais Macron alisema maneno hayo tarehe 6 Januari 2025 wakati...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Rais Putin wa Russia amekataa pendekezo lilitolewa na Rais mteule wa marekani Bwana Donald Trump la kumtaka kusitisha mapigano kati yake na Ukraine na badala yake kuwepo na muda wa miaka 20 baadae...
4 Reactions
13 Replies
879 Views
Zaidi ya Watu 900 Walinyongwa Nchini Iran Mwaka Jana, Wakiwemo 40 Katika Wiki Moja: UN Zaidi ya watu 900 waliripotiwa kunyongwa nchini Iran mwaka jana, ikiwa ni pamoja na karibu 40 katika wiki...
0 Reactions
2 Replies
185 Views
Mapigano makali yameripotiwa kati ya vikosi vya Kikurdi na vikosi vinavyoungwa mkono na Uturuki kaskazini mwa Syria, ambapo zaidi ya watu 100 wameuawa ndani ya saa 48 zilizopita. Taarifa...
6 Reactions
44 Replies
1K Views
Wakati mwaka mpya unapoanza, Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, ameanza ziara yake ya kwanza nje ya nchi kwa mwaka 2025 kwa kutembelea bara la Afrika, akiendeleza utamaduni wa diplomasia...
1 Reactions
2 Replies
162 Views
Baadhi ya Wapalestina wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na hamas ikiwemo wao kukimbilia kwenye mahandaki na kuwaacha wapalestina wawe ngao pale Israel inapojibu mashambulizi, Pia chakula cha...
1 Reactions
20 Replies
921 Views
Polisi inawashikilia Wanaume Wawili, Jasten Mabulesse Candunde na Leonard Phiri waliokamatwa huko Lusaka, wakituhumiwa kuwa Waganga wa Kienyeji waliokuwa na jukumu la kujaribu kumroga Rais...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Mamilioni ya Wamarekani wamearifiwa kujiandaa kwa hali ya hewa ya majira ya baridi. Jimbo la West Virginia limejiunga na majimbo mengine matano kutangaza hali ya dharura. Baadhi ya picha...
1 Reactions
30 Replies
884 Views
Kila mwanzoni mwa mwaka, diplomasia ya China ina “makubaliano yasiyobadilika” — ziara ya kwanza ya waziri wa mambo ya nje lazima iwe Afrika, na mwaka huu hauna tofauti. Kuanzia tarehe 5 hadi 11...
3 Reactions
6 Replies
261 Views
Ukraine Attacks Zaporozhe Nuclear Power Plant Hal Turner World January 06, 2025 Ukraine has attacked the Zaporozhe and Energodar Nuclear Power Plant in an effort to create a nuclear catastrophe...
1 Reactions
10 Replies
847 Views
This is the power of the Russian "Oreshnik" missile, complete devastation and utterly horrifying. Hal Turner World January 06, 2025 Back in November, Russia struck Ukraine with a single...
2 Reactions
5 Replies
700 Views
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amedai kwamba viongozi wa nchi za Afrika hawana shukrani. Macron aliyasema maneno hayo mnamo tarehe 6 January 2025 wakati akiwahutubia wanadiplomasia wa Ufaransa...
12 Reactions
13 Replies
956 Views
Wanaukumbi, Wakili aliyewasilisha kesi hiyo kwa niaba ya taasisi hiyo, Maira Pinheiro, alinukuliwa na vyombo vya habari vya Brazil akisema kwa vile Brazili imetia saini Mkataba wa Roma...
2 Reactions
62 Replies
1K Views
Taarifa ya Chama cha Podemos imeeleza kabla ya mauaji hayo, wauaji walifuatilia gari la Dias na Guambe kwa muda kisha kuwashambulia wahusika kwa risasi katika Mji wa Maputo MSUMBIJI: Watu wenye...
1 Reactions
5 Replies
998 Views
Baraza la Katiba (CC) limetangaza rasmi kuwa Rais Mteule, Daniel Chapo ataapishwa Januari 15, 2025 kuwa Kiongozi wa Taifa hilo, licha ya wito wa Wananchi, Wapinzani na Jumuiya za Kimataifa kudai...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutoka nchini Msumbiji inaelezwa kuwa watu waliokuwa na bunduki wamempiga risasi na kumuua mwanasiasa wa upinzani nchini humo Elvino Dias Taarifa iliyotolewa na chama chake cha PODEMOS imeeleza...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
Wanaukumbi. CAIRO, Jan 5 (Reuters) - Palestinian militant group Hamas has approved a list of 34 hostages presented by Israel to be exchanged in a possible ceasefire deal, a group official told...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
August 24, 2018 Forty-three years after the death of Spanish dictator Francisco Franco, the Socialist Party (PSOE) government of Prime Minister Pedro Sánchez has begun the complex process of...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom