International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau Januari 6 ametangaza nia yake ya kujiuzulu kama kiongozi wa chama na kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo mara tu baada ya chama chake kumchagua kiongozi wake mpya...
0 Reactions
16 Replies
766 Views
Saudi Arabia imewaachilia huru wanawake watatu wa Nigeria waliokuwa wamekamatwa na kushtakiwa nchini humo. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje kwa sasa, Kimiebi Ebienfa, katika taarifa iliyotolewa...
1 Reactions
3 Replies
387 Views
Wanaukumbi. 50,000 Israeli Soldiers Keep Failing to Occupy a Single Lebanese Village Yedioth Ahronoth reported that "after a month of ground operations, 5 Israeli military divisions & a reserve...
12 Reactions
39 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais Biden amebakiwa wiki 2 tu kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais Trump Ameamua kuidhinisha msaada wa Mwisho Kwa taifa takatifu kabla ya kuondoka Mungu ibariki...
6 Reactions
25 Replies
965 Views
Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama. Majaji...
7 Reactions
58 Replies
2K Views
Wanakumbi. Benjamin Netanyahu aliidhinisha mazungumzo ya Israel, ikiwa ni pamoja na Mossad na maafisa wa kijeshi, kuendelea na mazungumzo nchini Qatar na Hamas ili kupata makubaliano ya...
3 Reactions
36 Replies
821 Views
Niaje waungwana, Leo ningependa kupata majibu kutoka kwa wajuzi wa mambo ya kidiplomasia, kuhusu kile kinachoendelea huko kwa ndugu zetu wa Haiti. Kwanza nafahamu kwamba baada ya uhuru, kila...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Jeshi la Mali limethibitisha kuwakamata viongozi wakuu wa tawi la IS katika eneo la Sahara . Viongozi wa tawi hilo lijulikanalo kama Islamic State in Greater Sahala ( EIGS kwa...
1 Reactions
6 Replies
473 Views
Wakuu, Huko nchini Ghana, mlinzi wa Rais anayemaliza muda wake Nana Akufo-Addo amezua taharuki baada ya kuzimia na kukata moto wakati Rais huyo anahutubia. Jarida la Punch, limedokeza kuwa...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Uwanja wa ndege wa Beirut unatekeleza hatua kali kwa safari za ndege za Irani, pamoja na mwanadiplomasia - hii ndio sababu. Akiwasili kutoka Tehran kwenda Beirut kwa ndege ya "Mahan Air"...
3 Reactions
24 Replies
907 Views
Tajiri namba moja duniani Elon Musk ametangaza kampuni yake mojawapo ya Neuralink inayofanya kazi za kuhusianisha ubongo wa binadamu na teknolojia ya computer kuja na kifaa cha kuwawezesha vipofu...
14 Reactions
107 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: December 31, 2024 IDF says senior Islamic Jihad rocket commander killed in recent Gaza drone strike By Emanuel Fabian Follow...
4 Reactions
33 Replies
993 Views
Kwa mara nyingine tena China imeonyesha ina high tech kwenye high speed train kwa kuzindua treni yenye kasi ya 450km/hr mnamo Desemba 29 Kwa sasa inashikilia rekodi ya kasi kubwa zaidi duniani...
27 Reactions
68 Replies
3K Views
Serikali ya Haiti imesambaratika baada ya aliyekuwa kiongozi wake kujiuzulu kwa shinikizo la makundi ya mitaani yakiongozwa na Vitel'homme Innocent Kiongozi huyo wa makundi ya kihalifu...
19 Reactions
66 Replies
4K Views
Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ikimtaja Matthew Livelsberger, kuwa mtu aliyefariki ndani ya gari aina ya ‘Tesla Cyber truck’ iliyolipuka nje ya hoteli maarufu ya Trump jijini Las Vegas...
0 Reactions
8 Replies
546 Views
Wahaiti wajue kwamba, mambo yanaenda kwa mipango! Au wanataka waone polisi wa Kenya wamekufa kwa wingi ndio waamini kama wanafanya kazi! Habari kamili; Shinikizo linaongezeka kwa maafisa wa...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Saudi Arabia inasema imewanyonga Wairani 6 kwa ulanguzi wa dawa za kulevya huku Iran ikilaani vikali. Saudi Arabia ilisema Jumatano kwamba ufalme huo umewanyonga wanaume sita wa Iran kwa ulanguzi...
2 Reactions
8 Replies
700 Views
Wadau hamjamboni nyote? Madaktari wamemzuia yeye akagoma na kuondoka kuelekea bungeni Mwamba huyo ana siku 2 tu tokea afanyiwe upasuaji na anatakiwa aendelee kuwepo hospitalini Kwa siku kadhaa...
4 Reactions
64 Replies
2K Views
Nimeangalia Al Jazeera Aisee Huyu Mwamba Wamwache Tu Amalize Alichopanga Kifupi Hana Hata Mpango WA Kuacha Mauwaji Ya Gaza Leo Wala Keshooo Mns Anahitaji Kizazi Kipya Gaza Hawa Waliopo Waishe Wotee
7 Reactions
54 Replies
2K Views
Makampuni Maarufu Duniani kwa Mapato katika 2024. Leo, makampuni makubwa ya rejareja ya Marekani ndiyo makampuni makubwa zaidi kwa mapato duniani kote kutokana na ufikiaji wao wa kimataifa na...
1 Reactions
6 Replies
512 Views
Back
Top Bottom