International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Cybertruck limelipuka kwenye maegesho pembezoni mwa hotel ya bwana Donald Trump, maarufu kama Trump Tower. Tesla Cybertruck ililipuka nje ya Hoteli ya Trump International, Las Vegas, Januari 1...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu...
5 Reactions
75 Replies
3K Views
Mataifa ya ulaya yamegawanyika kwa misingi ya kikabila, Pengine ni factor mojawapo ya maendeleo Katika kitu walichokosea wakoloni kwa baadhi ya nchi ni kuunganisha makabila yawe nchi moja...
3 Reactions
25 Replies
849 Views
Hii ni taarifa iliyotolewa na IDF The Director of Hamas Security Operations in the Gaza Strip, Major General Mahmoud Abu Salah as well as his Assistant and the Director of Investigations...
4 Reactions
12 Replies
582 Views
Jaribio la kumkamata Yoon Suk Yeol, Rais wa Korea Kusini aliyeondolewa madarakani na bunge, limegonga mwamba baada ya polisi na wachunguzi wa rushwa takribani 3,000 kuzuiwa na Jeshi la Korea...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Afisa wa Polisi Nchini Zambia, Titus Phiri, amekamatwa kwa madai ya kuwaachia huru Wafungwa zaidi ya kumi na tatu ili kusherehekea usiku wa Mwaka Mpya haliyakuwa amelewa. Kwa mujibu wa taarifa...
2 Reactions
12 Replies
584 Views
China inakabiliana na mlipuko mpya wa virusi vya human metapneumovirus (HMPV), vinavyoenea kwa kasi katika majimbo ya kaskazini, hasa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 14, ikiwa ni miaka mitano...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Serikali ya Taliban Nchini Afghanistan imetoa agizo jipya ikipiga marufuku ujenzi wa madirisha kwenye majengo ya makazi yanayoweza kuangalia maeneo yanayotumiwa na Wanawake, kama jikoni na visima...
16 Reactions
40 Replies
2K Views
Wanaukimbi. Video inaonyesha ving'ora viliposikika Tel Aviv na uwanja wa ndege wa Ben Gurion huku Wahouthi wakirusha makombora dhidi ya Israel kutoka Yemen. Kundi linalojihami na Iran linasema...
4 Reactions
56 Replies
2K Views
Ama wamarekani kwa sasa wameishiwa akili,eti leo wanajisifu kuwapiga maouthi wa yemen,yaani nchi inawapiga ngo????
2 Reactions
24 Replies
943 Views
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ameamuru Wanajeshi wa Ufaransa nchini mwake kuanza kuondoka kuanzia Januari hii. Katika ujumbe wake mnamo Desemba 31, 2024, Rais Ouattara amesema “tumechukua...
3 Reactions
14 Replies
879 Views
Gaidi lenyewe linaitwa Shamsud-Din Jabbar limegonga watu na gari huku likiwa na bendera ya magaidi wa dola la kiislamu, na humo kwenye gari kulikua na mabomu na silaha zingine. Aisei Marekani...
9 Reactions
82 Replies
2K Views
Ofisa mmoja wa polisi nchini Zambia, Titus Phiri amekamatwa kwa kosa la kulewa akiwa kazini na kuwaachia huru watuhumiwa 13 na yeye mwenyewe kukimbia. Watu hao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa...
5 Reactions
14 Replies
555 Views
Dikteta wa Syria aliye uhamishoni, Bashar al-Assad ameripotiwa kunusurika jaribio la kuwekewa sumu mjini Moscow, ambako amekuwa chini ya ulinzi wa Vladimir Putin tangu Desemba 8, 2024...
1 Reactions
5 Replies
558 Views
Binadamu ni kiumbe anaeishi Kwa Sheria na moja wapo ya Sheria zake ni pamoja na kuwa na kiongozi, popote penye mkuasnyiko wa binadamu lazima wapate kiongozi wao Hata kusanyiko dogo zaidi la watu...
4 Reactions
17 Replies
737 Views
=== Katika hali isiyo ya kawaida Wakili wa Brooklyn Nchini Marekani, Breon Peace ametangaza kujiuzuru mapema mwakani kabla ya Uapisho wa Rais Mteule wa Marekani Bw Donard Trump ambaye ataapishwa...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Ni mwanzo mzuri japo mimi kwa kweli sijawahi kuwa na imani na kobaz yeyote, hata akiwa jirani yangu, kuna majini huwa wameingizwa kwenye system zao na hutibuka mara moja ghafla bila kutarajiwa...
17 Reactions
63 Replies
2K Views
Hasa kizazi cha miaka.ya 70 na 80s ambao wengi wazazi wenu walizaliwa miaka ya 60 mwanzoni hadi kati kati, 50 na 40. Wazazi wenu walikuwa wana waambia. 1. Acheni kuvuta bangi na sigara ninyi...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Naweza ungana na Biden Kwa sababu haiingii akilini umlete mgombea ambae Hakuwahi jiandaa kuwa Rais na ukamuweka ashindane na mtu maarufu ambae amejiandaa kugombea tangu siku amekataa matokeo...
2 Reactions
15 Replies
860 Views
Back
Top Bottom