International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Trump yeye hajali hata kuhusu soko la hisa https://x.com/spectatorindex/status/1897740651107864732?t=LM3GG61kwI11WIYkLzbAhw&s=19 Je, ni kweli au siasa siasa tu za kujaribu kuongea uongo ili...
4 Reactions
11 Replies
535 Views
China suspends soybean imports from three US companies, including Louis Dreyfus, one of the world’s biggest agricultural trading companies. More than half of all soybean exports from the US go to...
9 Reactions
62 Replies
2K Views
Itakumbukwa kuwa Houthis walisimamisha kuishambulia Israel baada ya makubaliano ya kusitisha vita ili kubadilishana mateka wa kivita. Israel amekiuka makubaliano ya round ya kwanza na Hamas ...
3 Reactions
34 Replies
715 Views
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi. Denimaki 🇩🇰 Austria 🇦🇹 Russia 🇷🇺 Israel 🇮🇱 Finland 🇫🇮 Norwei 🇳🇴 Korea zote mbili Angola 🇦🇴 Mozambique 🇲🇿 Algeria 🇩🇿...
0 Reactions
27 Replies
838 Views
Wanaukumbi. Machi 7 (Reuters) - Rais wa Marekani, Donald Trump alisema Ijumaa "anazingatia sana" kuweka vikwazo vikali, vikiwemo vile vya benki, na ushuru kwa Urusi hadi makubaliano ya kusitisha...
3 Reactions
23 Replies
797 Views
Mpango wa Uhamiaji wa Wakaazi wa Gaza Wazinduliwa Israel imekamilisha maandalizi muhimu ya kuwezesha uhamiaji wa wakaazi wa Gaza, mradi tu nchi zilizo tayari kuwapokea zinaweza kupatikana...
4 Reactions
49 Replies
1K Views
Kufuatia hali iliyopo ya mitizamo inayowekwa wazi kipindi hiki kuliko nyakati zozote, mawaziri wa ulinzi wa Marekani na Uingereza wakiongozana na viongozi wakuu wa kijeshi wakutana ili kuondoa...
5 Reactions
8 Replies
490 Views
Wabunge 241 wa Afrika Kusini wameukubali na wengine 81 kuupinga muswada wa kutaka kutwaliwa na kununuliwa ardhi kwa nguvu katika nchi hiyo. Hadi Agosti 30 mwaka huu, Kamati ya Bunge la nchi hiyo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
My Take Hili liwe funzo Kwa Afrika Kusini maana mtu mweusi hakuna kitu anakiweza zaidi ya uharibifu Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia...
7 Reactions
67 Replies
2K Views
Hii Haina tofauti na vyeti Feki wa Magufuli. My Take Ndani ya miaka 3 ijayo tutazamie Zimbabwe Kuingiza tena Afrika kwenye Kilimo na Ufugaji. --- Two decades after thousands of white farmers...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya aliyekuwa Rais wa Zimbabwe Marehemu Mugabe kuwapora Walowezi wa Kizungu na ambao walikuwa raia wa Zimbabwe wenye Asili ya Uingereza,hatimaye Serikali imetangaza kuanza kuwalipa mabilioni...
18 Reactions
122 Replies
5K Views
Wanaukumbi. ⚡️🇺🇸IRais wa Marekani Trump anatishia kusitisha ufadhili kwa vyuo, shule au chuo kikuu kinachoruhusu "maandamano haramu" Haya yanajiri baada ya maandamano ya chuo kikuu yaliyokuwa...
4 Reactions
29 Replies
498 Views
Aliekuwa kiongozi wa kundi la waasi la FDLR, General OMEGA, siku za nyuma, baada ya handaki aliyokuwemo na wenzake kulipuliwa na M23, na kusababisha vifo vya badhi ya walinzi wake, na kuhisiwa...
3 Reactions
4 Replies
567 Views
Mwanamke mjamzito alisafiri hadi Marekani kwa lengo la kujifungua ili mtoto wake apate uraia wa Marekani kwa kuzaliwa. Hata hivyo, alipofika uwanja wa ndege nchini Marekani, alikumbana na hali...
8 Reactions
21 Replies
988 Views
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametoa wito wa utulivu nchini humo kufuatia kushambuliwa kwa helikopta ya Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa. Kulingana na jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda amani...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Hongera Lt. Jenerali Eyal Zamir kwa kuwa Mkuu wa 24 wa Wafanyakazi wa IDF. Kamanda Eyal Zamir Mafanikio yako ni mafanikio ya IDF na mafanikio ya nchi yetu! Tunakuamini utaliongoza jeshi kwa...
3 Reactions
19 Replies
702 Views
Kwa ilivyo sasa Raisi Donald Trump maisha yake yapo hatarini mara kumi zaidi ya wakati wa kampeni za kugombea uraisi wa Marekani kwa awamu ya pili. Viongozi wengi wa nchi kadhaa za bara la Ulaya...
1 Reactions
7 Replies
416 Views
Nini hatima ya PKK/YPG huko Syria ?
0 Reactions
55 Replies
2K Views
Katika miezi ya hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mkali kuhusu ushirikiano kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla, Elon Musk, na Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump. Ushirikiano huu umeibua...
6 Reactions
19 Replies
679 Views
Back
Top Bottom