Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nahitaji kujua bei ya Kifaa cha kupimia Presha na wapi ntakipata kwa ajili ya kuwa nampima mgojwa wangu kila baada ya siku chache ili kuepusha usumbufu wa kwenda hospital kwa ajili ya ishu hiyo...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nimekuwa nikisikia wataalam mbali mbali wakisema kuwa vifo vingi vinatokana na utaratibu wa watu kutofanya check up za mala kwa mala,wanasema kuwa hata cancer ikigundulika mapema huweza kupona na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni nisaidieni, mtoto wangu alivimba shavu la kushoto last week, uvimbe huo huanzia kwenye sikikio kushuka chini. nikampeleka hospital na akapewa ampiclox akapona, leo asubuhi kaamka kavimba...
1 Reactions
10 Replies
28K Views
Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital. Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Fursa kwa ajili ya madaktari walio ajiriwa na wasio ajiriwa au wale wamiliki wa vituo vya afya napenda kuwajulisha kuna fursa Mpya kabisa karibuni piga Simu 0758844240 kwa maelezo zaidi
1 Reactions
1 Replies
953 Views
Habar wana jf kitaalamu hii imekaaje kula mchanganyko wa matunda kwa mda mmoja kiafya in vzr au mbaya mfano unakuta sahan ina tkt,embe,papai,parachich,tango,chungwa
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kama wiki imepita nilikuja dawa za Malaria inaitwa Ekelfin na ikanisababishia kiuvimbe kwenye uume upande wa kushoto na tako ya kushoto pia, nasema hivi maana ni mara ya pili nakunywa hii...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu kwa mwenye kujua chanzo cha tatizo la mdomo kuwa na ladha chumvi chumvi muda wote, yani kila unachokula au kunywa unahis kina chumvi,kuanzia maji,juis, chai na chakula pia kwenye kula...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Jamani naomba msaada wenu apa Chanzo cha Kuongezeka na kupungua kwa homoni mwilini husababishwa nanini!!?? Nani madhara gani umpata MTU kama homoni zicpo balance??? Kwa jinsia yoyote, Ila mm n ME
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani, kama kuna madoctor humu, naombeni mnijibu hapa. ninaye rafiki yangu ambaye ameoa mwanamke na kwa muda mrefu sasa hawajapa mimba. yule mke ni ndugu yangu kwahiyo jamaa ni kama shemeji...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Naomba kuuliza nilienda hospital nikaambiwa ninatatizo la left ventricular hypertrophy nikapewa dawa tajwa hapo juu lakin now ni napata maumivu makali kama moto tangu jana usiku ila kabla sijaanza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu. Naomba kujuzwa gharama za x-ray.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba kuuliza nilienda hospital nikaambiwa ninatatizo la left ventricular hypertrophy nikapewa dawa tajwa hapo juu lakin now ni napata maumivu makali kama moto tangu jana usiku ila kabla sijaanza...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Wandugu habari za kutwa, ninashida ya ugonjwa wa nyonga upande wa mguu wa kulia, jambo ambalo ni la muda wa wiki sasa. Nimeenda Agakhan Hospital na kupiga x ray ambao imeonyesha kuna hilo tatizo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa muda wa takribani cku 5 zilizopita hadi sasa ninasumbuliwa na maumivu ya jino ila baada ya kukutana na doctor m1 nikaelezwa kuwa 1wapo ya matatizo ya maumivu ya meno ni kwenda chumvini haswa...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakuu heshima kwenu,eti ni hospital gn nzr ya private inayotoa Huduma ya physiotherapy kwa dar?
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Avocado health benefits are extensive and include: Avocado eaters tend to be healthier. A 2013 study published in the Nutrition Journal found that avocado consumers tend to have higher nutrient...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Samahani najua mara nyingi watu wenye miili mikubwa hasa vitambi vikubwa wanakuwa na maumbile madogo. Je mwaume mwenye mwili mkubwa akipungua anaweza kuongeza maumbile yake au anatakiwa afanye...
4 Reactions
37 Replies
9K Views
Nilienda hospital nikaambiwa ninatatizo la kwenye moyo yani left hypertrophy nikapewa dawa hapo juu ila tangu nianze kuzitumia ni kweli mguu wa kushoto ulikua unauma sana kabla now hauumi ila...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…