Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Heshima mbele wakuu kwa wanaoelewa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 31 (hedhi)siku yake ya kupata mimba ni ipi? Na mnisaidie jinsi ya kuhesabu siku hizo za yeye kushika mimba
0 Reactions
1 Replies
39K Views
napenda kuuliza kama kuna madhara yoyote yanayotokana na kumedha vipande vya jino kwakuwa nilikuwa nakula ghafla nikatafuna mchanga uliopelekea kupasua jino na ivyo nikajikuta namedha vipande vya...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Wakuu naombeni tiba. Kisigino hakijavimba wala kubadilika rangi, lakini kinauma nukikanyaga chini kwa zaidi ya miezi 6 sasa. Na kadiri siku zinavyoenda ndo kinauma zaidi. Nimetumia deep heat ya...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Kwa mfano umepigwa nusu kaputi unafanyiwa operesheni, eti ikiisha kabla ya operesheni kumalizika hairuhusiwa kupigwa tena nusu kaputi? Kwamba mgonjwa akichomwa tena sindano ya nusu kaputi ndo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Doctors offer to help Chinese girl with out-of-control hair growthExcess hair ... Jing jing PLASTIC surgeons in China have offered to help a girl whose hair is growth is out of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana muhitimu wa kidato cha nne, kiukweli tangu nipo shule, kubadili wasichana (playboy) ilikuwa tabia yangu, sikujali ki2, na kwa kuwa nilikuwa mzuri darasani wasichana hawakuacha...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Nipo Dar, nataka kupata hospitali inayotoa huduma nzuri ya uzazi akajifungulie hapo mke wangu. Hiyo ni mimba ya kwanza. Naombeni ushauri niende hospitali ipi yenye huduma nzuri na malipo nafuu...
1 Reactions
10 Replies
9K Views
Wanasayansia nchini Marekani wamefaulu katika kuunda korodani za bandia ambazo zinao uwezo mkubwa wa kuzalisha shahawa kwa wanaume wagumba. Kifaa hicho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vizuri na kazi za kila siku. Nawapa pole sana wale wanaosumbuliwa na matatizo ya kiafya ya aina mbalimbali na nawapa moyo wasikate tamaa bali waendelee kufanya...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
mdogo wangu w kike anakuwa anasumbuliwa sn n kitovu, anasema kinamuuma. Akiwa shuleni mwalimu wake alimpa chai ya moto na akampumzisha na anapotulia pia hupoa kuuma. Lakini c mara moja kumtokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku 5 zimepita sasa alikuwa anasumbuliwa na mafua na kikohozi kidogo. leo katapika tukampeleka hospital, huko kapimwa kaoneka na malaria, pia aliongezwa drip ya maji. Tupo nyumbani bado...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
"Daktari nina maumivu makali ya tumbo, nahisi hivi vitakuwa vidonda vya tumbo kabisa"... Maelezo ya namna hii humkera daktari na inaweza kusababisha usipate huduma vizuri. Madaktari hawapendi...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Wanajf hasa akina dada, naomba ushauri kuhusu lotion au mafuta gani mchumba wangu anaweza tumia ambayo yanalainisha ngozi na yanamantain weupe wake pasipo kumbadilisha. Kuna mtu kanishauri eti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nasumbuliwa na malaria kali wana jf, napata drip ya quinin,dua zenu muhimu jamani,tuweke tofauti zetu za kimtazamo pembeni!
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada hapa, hivi mtu awezarithi ugonjwa wa kansa? Nasema hivi juu babu yangu mzaa mama alifariki kwa ugonjwa wa Kansa ya Jicho...Shangazi yake mama yeye alifariki kwa ugonjwa wa...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wapendwa nahitaji msaada,Mimi ni dada wa miaka 30,Nina tatizo la kukata Kwa hedhi mwezi wa nne sasa,nimeenda hospitali nimepewa dawa tofauti tofauti lakini wapi,jaman Mwenye kujua dawa au ushauri...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Mimi ni kijana ninae soma chuo kimoja kilichopo katikati ya mji hapa dar...ndg zangu hk ni chuo chenye tittle sana hapa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla lkn katika swala la...
1 Reactions
4 Replies
42K Views
Dr naomba kujua madhara ya mwanamke kufanya tendo la Baada ya mwez mmoja wa opereshen ya uzazi »Nina mchumba wangu kafanyiwa opereshen tr 8 april,ss mimi sikuwepo nilikua nje ya nchi...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Nguvu za KIUME husababishwa NA mambo mengi sana katika mabadiliko ya mwili. Lakini kitu kikubwa cha kuzingatia ni masuala mazima ya lishe zisizo na mpangilio NA mafuta mengi sana mwilini NA hasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nawasalimu ndugu zangu (ktk utaifa) mabibi na mabwana. Ndugu yenu nina tatizo tajwa hapo juu. Takriban wiki moja sasa najihisi maumivu ya mwili hasa mgongo pamoja na mabega. Chingine ni usingizi...
0 Reactions
9 Replies
16K Views
Back
Top Bottom