Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habarin za jion wana sport na heri ya sikukuu ya Eid. Labda niende moja kwa moja kwenye point nimejaribu kugoogle lakin sijaridhishwa na majibu yao. Nakua naona watu wanauza odds na kunakuwa na...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Picha: Arno Buitenweg akisalimiana na mwenzake KIKOSI cha Simba kilichokuwa uwanjani mjini Niamey, nchini Niger usiku wa Feb 20 ilipokuwa ikimalizana na US Gendermarie, kinajiandaa kuanza safari...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Real Madrid, Chelsea, Everton na timu ya taifa ya Cameroon, Samuel Eto'o Fils amesema kwake yeye Okocha alikuwa na uwezo zaidi ya Ronaldinho. Tulichokiona...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
Baada ya ujio wa Taarifa ya TFF kuhusu mawakala wanaotambulika nimeona watu wanakuja na umeneja vs uwakala HEBU TUPENI ELIMU JAMANI. Ila je umeneja ni mtu ama taasisi? Je, TFF inautambuaje...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Picha inayoonyesha mazingira ya Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro ulivyo, uwanja huo utatumika kwa ajili ya mchezo wa Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, leo Jumatano Februari 23, 2022. Mchezo huo wa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Historia au Biography yake... John Stephen Akhwari was a Tanzanian distance runner who ran the marathon at the 1968 Mexico City Olympics. He is best remembered as a subject in a Bud Greenspan...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaaam Wana JF... Kwanza kabisa tujikumbushe kuwa JOHN BOCCO alikuwa ni mfungaji Bora wa msimu uliopita. Kinachonishangaza ni kwamba msimu huu ni mechi ya 15 kwa KOLO kucheza lakini...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Picha: kocha, Mwinyi Zahera Mapema leo Jumatano Februari 23, 2022 uongozi wa Coastal Union ya Tanga ulikuwa na kikao cha kukamilisha dili hatua za mwisho ili kuwa kocha wao kuchukua nafasi ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
"Sanaa ya Uandishi" ni neno nililolisikia siku chache zilizopita baada ya tukio la kupigwa mashabiki kiwanjani walipoenda kwa kusudi la kutazama mchezo wa soka. Baadaye kilichofuatia ni tamko...
1 Reactions
2 Replies
664 Views
Habari Wadau, Pilika Pilika za Hapa na Pale Zimefanya Tupoteane Humu Ila Tupo Pamoja. Nikiri Wazi Kuwa Nimeufuatilia Mpira Wa Afrika, Afrika Mashariki na Tanzania Kwa Muda Mrefu na Nikafuatilia...
2 Reactions
2 Replies
545 Views
Wafanyakazi na wanaojitolea zaidi ya elfu mbili wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing wamepiga picha ya pamoja ya ukumbusho tarehe 21 mwezi huu katika Uwanja wa Michezo wa Taifa...
1 Reactions
3 Replies
611 Views
Wakuu, nimepitia magazeti haya ya leo mtandaoni The Daily News, The Guardian, Mwana Spoti, Habari Leo, Nipashe, Majira, Uhuru, Jamvi la habari, Raia Mwema na Wamachinga upande wa michezo na kukuta...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Nimetokea kuwa msikilizaji wa Radio ya E-FM hasa kipindi cha michezo kuanzia saa tatu asubuhi. Hii imetokana na umahiri wa uchambuzi wa soka hasa wa Jemedari Said Kazumari angeongezeka na Amri...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wafanyakazi wanaohudumia Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kwa karibu mwezi mmoja walifurahia kwa kucheza kwenye theluji kwa mitindo mbalimbali tofauti katika uwanja wa mashindano...
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imefungwa kwa mafanikio makubwa. Beijing ambao ni mji wa kwanza ulioandaa Michezo yote ya Olimpiki ya Majira ya Joto na ya Baridi duniani, kwa...
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Baada ya hukumu ya mchambuzi nguli wa masuala ya soka na michezo Tanzania Bw Shafii Dauda Al Maarufu Kama Digala kua amefungiwa kujihusisha na masula ya michezo kwa muda wa miaka mitano kutoka kwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kumbe Rais Mpya wa TFF (mtarajiwa of course kama wajumbe wana akili) ni mdogo wake Dioniz Malinzi. Kwaiyo Mwenyekiti wa BMT na Rais wa TFF wote ndugu moja. Ila tukiacha masihara wagombe wote...
0 Reactions
38 Replies
22K Views
Team ya taifa ya chini ya umri wa miaka 16 ya DR Congo imeibuka bingwa wa mashindano ya CAF ya vijana chini ya miaka 16 (U16 Africa Youth/Schools Tournament) baada ya kuifunga Senegal kwa goal...
11 Reactions
44 Replies
4K Views
Salamu wana Bodi.. Hii ni tofauti kati ya Simba na Yanga kwenye mechi za kimataifa... YANGA SIMBA
9 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom