Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Ni goli halali kabisa na ifike wakati sasa Watu wajitahidi sana Kusoma Sheria na Kanuni mpya za FIFA ili likitokea Jambo wawe wanaweza Kulitafsiri Kitaaluma na siyo Kishabiki. Meddie Kagere...
8 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwangu nadhani ili Tanzania tuweze kupiga hatua, VAR ni kitu cha baadaye sana. Kwanza inabidi tuwekeze kwenye kuendeleza kiwanda chetu cha michezo kabla ya masuala mengine ambayo yanaweza...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Wale wachambuzi wa mchongo waje waone na hii
1 Reactions
3 Replies
412 Views
Ziko timu ambazo zitashuka daraja kwa kupokwa ushindi na waamuzi dhidi ya timu kubwa nchini. Round ya pili hata kama hakutakuwa na VAR lakini iwepo TV inayoweza kutumika watu kuangalia slow...
3 Reactions
12 Replies
702 Views
MKUTANO ULIFANYWA NA MWENYEKITI, WA young africans sports club. kupitishwa kwa ajenda kulitolewa na Mwenyekiti, WA YOUNG africans sports club. Wanachama walikubaliana kuipitisha Ajenda...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Mmiliki wa Kampuni za GSM, Ghalib Said Mohamed ametangaza kujiuzulu nafasi ya kuwa Mwenyekiti na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi ya Taifa Stars. Hayo yamesemwa na Afisa Biashara Mkuu wa GSM, Alan...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Sadio Mane akiwa hotelini baada ya fainali ya AFCON.
3 Reactions
5 Replies
36K Views
VAR ije Tanzania ili iweje? Matukio tata kwenye ligi yetu yanatokea ni kwasababu tu MAREFA hawajui kutafasiri Sheria za mpira unakuta refa hajui kuwa mkono hauhusiki kwenye offside. Mimi labda...
0 Reactions
1 Replies
517 Views
Pamoja na kuwepo timu bora kama Egypt, Morocco, Tunisia na Algeria lakini naamini wana wa Senegal watabeba kombe la Afcon 2022 Kameroun ataondolewa robo fainali Wewe utabiri wako ni yupi atabeba?
3 Reactions
5 Replies
1K Views
MKITAKA UBINGWA FANYENI HIVI. Nimesikia mazungumzo kibao kuhusu Matarajio ya Simba SC kutwaa ndoo msimu huu. Cha kushangaza zaidi hakuna anaye fahamu nini kifanyike ili muwe tishio katika mbio za...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
FISTON MAYELE - Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022 FRANCIS BARAZA - Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC mwezi Januari, 2022. JOHN NZWALLA - Meneja Bora wa Uwanja kwa mwezi Januari...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Pamoja na wachambuzi wenu kuwatetea utopolo kuwa eti wameonewa na waamuzi, wakisahau makosa yale yale waamuzi wanayafanya kwa timu nyingine, ukweli ni kwamba Yanga wameanza kuchoka. Na kama ilivyo...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Itakuwa kazi bure kuwekeza sana kwenye timu za ligi luu bila kuangalia pia eneo la waamuzi ubora wa ligi. Maamuzi mabaya viwanjani yanatia karaha watizamaji wa mpira. Kuna watu wasiopenda karaha...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Mara baada ya Simba kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza, bao ambao lilizua utata kutokana na baadhi kuamini kabla ya tukio hilo kulitokea Meddie Kagere kuwa offside kisha Clatous Chama...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Rais wa Senegal Macky Sall, ametangaza leo Jumatatu Februari 7, 2022 kuwa ni siku ya mapumziko maalum nchini kwake kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika #AFCON2021...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
#TeamSenegal imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga #TeamMisri kwa penati 4-2 katika mchezo wa fainali ulichezwa kwenye Uwanja wa Olembe jijini Yaounde...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Imekua kawaida sasa simba hii ya sasa yaani msimu huu kuwa na wakati mgumu kuliko pengine wakati wowote ndani ya miaka mitatu iliyopita. Simba sasa imekua inashindwa kutengeneza chance za...
1 Reactions
11 Replies
889 Views
Timu ndiyo zinaingia uwanjani, muda wowote mchezo huu wa Ligi Kuu Bara utaanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. KIPINDI CHA KWANZA Mchezo umeanza. Dk 1: Mwamuzi anapuliza kipenga cha...
3 Reactions
443 Replies
20K Views
Hivi unawezaje kuvumilia odds zinapopanda ghafla bila ya ku-cashout? Binafsi nawapongeza sana jamaa wanaoweza kuvumilia odds zinapopanda kufika mpaka 10 with in a second bila ya kucashout...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Hakika huu wimbo kwa Sasa hauishi utamu NIBEBE NIBEBEE Si viwanja vya mpira Wala makanisani Ngoma in vibe sana hi Asante Rose na ndoto yako ya kuolewa na mzungu itimie Kikubwa ushindi...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom