Hernan Mastrangelo ambaye alijulikana zaidi kwa jina la Don Hernandied amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 101, huyu anasifika kuwa shabiki wa Lionel Messi ambaye aliandika katika makaratasi...
Timu ya taifa ya Senegal ndio mabingwa wa mwaka huu wa mashindano ya mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuilaza Misri katika mechi ya fainali iliyoandaliwa katika uwanja wa Olembe katika jiji kuu...
Nimeangalia baadhi ya michezo ya afcon ikiwa ni pamoja na ule wa ufunguzi, wa Senegal na saiv naufatilia huu wa Morocco na Ghana.
Nachokiona ni soka bovu, nguvu ikitawala huku soka...
Jana tumeshuhudia mechi bora Sana tangu msimu huu was ligue ya NBC premier pale mabingwa wa kihistoria Yanga fc walipo kutana na wababe toka unyakyusani mbeya city (wazee wa ..koma kumwanya)...
Shirikisho la kimataifa la historia na takwimu duniani (IFFHS) limetangaza orodha ya ligi kuu bora duniani kwa mwaka 2021
Ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi 9 kwa mwaka 2020 ambapo ilishika...
Kwanza niipongeze timu ya taifa ya mpira wa miguu ya cameroon kwa kupindua meza jana 5.02.2022 dhidi ya timu ya taifa ya burkinafaso baada ya kutoka nyuma kwa mabao 3 kwa bila na ndani ya dakika...
Kauli Jumuishi za Mashabiki wa Yanga SC kabla ya Kucheza Leo Mechi yao na Mbeya City FC
"Hakuna wa Kumzuia Yanga SC kwa sasa iwe katika Viwanja vibovu vya Mikoani au vizuri vya Dar es Salaam. Leo...
Siku chache zimepita tangu Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'Mo' alipoamua kuwa-unfollow wachezaji wote wa timu hiyo ambao alikuwa amewa-follow kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Jana...
Mwanaspoti
Kolamu
MZEE WA UPUPU: Kuna mtoto anachezea simu ya Mo Dewji?
WEDNESDAY FEBRUARY 02 2022
[https://www]
ADVERTISEMENT
Mara zote Simba inapopitia kipindi kigumu, mwekezaji wao...
Mshambuliaji Bernard Morrison hakuonekana katika mchezo wa jana Februari 3, wa timu yake ya Simba dhidi ya Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Mkapa katika Ligi Kuu Bara.
Hakuna taarifa rasmi juu...
Simba sports club ni moja kati ya timu za ligi kuu Tanzania bara ambayo imekuwa ikiendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya uendeshaji wa timu.
Mwekezaji Mo Dewji ambaye ni shabiki na...
Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Mbeya City, mchezo umeshaanza kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
YANGA 0-0 MBEYA CITY - FULL TIME
Dk 1: Timu zimeanza kwa kusomana, matokeo ni...
Hii ni kwasababu:
Mbeya City ni moja ya timu inayotoa upinzani, hivyo matokeo ya mechi baina ya hii timu na timu zingine zinazofukuzia ubingwa, ni matokeo decisive katika kuja kutoa bingwa.
Kwa...
Baadhi ya mshabiki wa soka wamemponda na kumdhihaki Cristiano Ronaldo mara baada ya kukosa penati na kushuhudi timu yake ya Manchester United ikiondolewa katika Kombe la FA dhidi ya Middlesbrough...
MABONDIA wawili wa Tanzania, HASSAN MWAKINYO na IBRAH CLASS, wamevuliwa mikanda ya ubingwa WBF Intercontinental na Shirikisho la ngumi za kulipwa la dunia la WBF. Taarifa iliyotolewa na WBF...
Chama is Back, Triple C is Back.
Baada ya Mechi Ya Mwisho kucheza akiwa Morocco na Kuwa MAN OF THE MATCH. Leo Anarejea Tena, zamu hii Akiwatumikia Simba Sc Dhidi ya Mbeya City. Nini atawapa Wana...
Hii mechi maandalizi yake hayana tofauti na yale ya Rivers united au ile ya Azam kule Zanzibar.
Wachezaji waache kupewa ruhusa za kiduwanzi na mchezaji akichelewa kureport apigwe bench na adhabu...
Habari,
Frank Lampard ametuliwa kuwa kocha wa Club ya Everton na kuchukua mikoba ya Rafael Benitez ambaye amefukuza hivi karibuni.
Frank Lampard ambaye amewahi kuwa kocha wa Club ya Chelsea...
Neymar Jr mchezaji wa PSG na timu ya taifa ya Brazil, leo ametimiza miaka 30.
Wakati Neymar akisheherekea kutimiza miaka 30 ya kuzaliwa kwake, Dunia ya soka bado ina deni kwake.
Tuliaminishwa na...
"Nionyeshe marafiki zako nikutajie tabia yako" hiyo ni kauli ya Margareth Thatcher aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Uingereza ambaye wenyewe Waingereza walipenda kumuita "Iron...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.