Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Narudia tena Simba acheni uzungu walioziunda kamati za ufundi hawakuwa wajinga . Waliokataa uzungu hawakuwa wajinga kujifanya hamtaki kamati za ufundi kwa Tanzania munajisumbua 90% mpira wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanasimba wote msiwe na wasiwasi leo huyu kagera sugar hasira zetu zote tunaenda kummalizia yeye, kosa lao Uwanja wao kuwa mzuri ndio kitachowacost
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Baada ya mechi ya Mtibwa niliweka uchambuzi wangu humu kumhusu CHAMA. Niliweka wazi kuwa CHAMA amebakiza jina tu na wala hana uwezo wa kucheza LIGI KUU BARA kwa ufanisi tena. Umri umemtupa...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Tumezoea sana sie wapenzi wa Simba kuwa asilimia kubwa ya waandishi hushabikia Yanga au maarufu utopolo. Hata tukio la Haji kutuhumiwa kuihujumu Simba wote walikana kuwa hilo haliwezekani. Sisi...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Kila timu inapokea si chini ya Milioni 40 kila mwezi kwajili ya kujiendesha, Hivi kwa akili ya kawaida tu unategemea ubora wa hizi timu uwe vilevile kama miaka ya nyuma?? 🚨 Simba SC lawama...
23 Reactions
37 Replies
3K Views
Watu wengi wanamsifia kama kiungo punde ila kwa maono na maoni yangu binafsi namuona kama mchezaji wa kiwango cha chini sana kuichezea klabu kubwa kama Simba SC. Miongoni mwa madhaifu yake ni...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeona, nimemshuhudia na kumuona kutoka kila Angle na kufikia tamati kuwa Ahmed Ally amepwaya sana katika nafasi ile. Yaani ukijaribu kumsikiliza kwa umakini unaona kabisa anajaribu kuforce...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Tusitafute plan kocha hana mbinu ya kusoma mchezo,maana wachezaji ndo wanaopokea maelekezo kwa Kocha. Baada ya mechi ya jana Francis Baraza alisema, tulipoingia uwanjani tulijua Simba wana mpira...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Kumradhi. kwenye kichwa cha uzi ni MTIBWA na sio KAGERA. Siku kadhaa zimepita tangu niweke bayana ukweli usiopenda na mwanadamu haoa jukwaani. Ila cha ajabu walinifuata Inbox na kunitupia...
13 Reactions
23 Replies
2K Views
Naomba kujua mafanikio ya kocha mpya wa simba.... Ameshinda mataji GANI na GANI. Kusema amefundisha sijui Real Madrid hata Cedric Kaze amepiga Barcelona na Bayern Munich kote amefanya Kazi...
0 Reactions
89 Replies
7K Views
1. Mtimueni upesi Kocha Mkuu Franco, Msaidizi wake Matola na Meneja Rweymamu. 2. Mpeni Kazi kwa Kipindi hiki Kocha Ndayiragije kisha asaidiwe na ama Pawasa au Mgosi kisha Meneja awe ni Nico...
14 Reactions
34 Replies
3K Views
Kwa miaka mitano mfululizo tumekuwa na tabia ya kocha akifanya kosa kidogo anatimuliwa(tunaiga tabia ya Chelsea). Uchebe alitolewa Club Bingwa akagukuzwa huku tukisahau msimu wa nyuma alitufikisha...
6 Reactions
18 Replies
955 Views
Hakuna timu yoyote duniani inayoweza kuvumilia kocha asiyeleta matokeo hata kama ana CV ndefu kuliko mlima Kilimanjaro , Simba sasa hivi hata lile PIRA BIRIANI tulilozoea kuliona limeyeyuka...
14 Reactions
61 Replies
5K Views
  • Poll Poll
simba sports club ni timu iliyoanzishwa mwaka 1936 jijini Dar es Salaam, Kariakoo mtaa wa Msimbazi. Yanga Sports Club ndio Club kongwe kabisa nchini na ndio mabingwa wa kihistoria. Club hii...
6 Reactions
82 Replies
8K Views
Wachezaji tajwa hapo juu Kapombe, Bocco na Manula wamejazwa mahela na GSM, ili wasifanye vizuri kwenye mechi mbalimbali za nbc premier league. Hawajitumi kabisa, wakifika 18 za mpinzani wanatoa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Ni wazi mwanadada huyu anapitia kipindi kigumu na si ajabu hakujua ugumu wa kazi kabla ya kukubali kufanya ya kondoo katikati ya kundi la mbwa mwitu. Pengine angejua tabia na desturi za watu wa...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Hello JF members, Hebu tufahamishane majina ya utani (nicknames) ya timu za mpira wa miguu duniani. 1. Simba - wekundu wa msimbazi 2. Bournemouth - cherries 3. Norwich - the canaries Nitajie zako
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Uwanja huu ufungiwe mpaka mmiliki aweke nyasi bandia. Tope kama lote hata mpira haunogi. Ni hayo tu.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimemtazama sana P.O SAKHO akicheza soka katika mazingira tofauti tofauti hapa Tanzania. Na pia nimekuwa nikimfuatilia Ambundo tangu akiwa Gor Mahia na Dodoma FC. Hawa ni washambuliaji wa...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…