Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Timu ya Everton imeanzaa Safari yake ya kuweza kufika hata hatua ya top 7 ya Ligi KUU uingereza English Premier League baada ya kuichapa Arsenal bao 2 Kwa moja jana usiku
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Wakati muda wa dirisha la usajili kukaribia kutamatika, tulieleza kwamba Simba sio football academy ambapo wachezaji kinda wanafundishwa. Pia, tulibainisha mapungufu ya safu ya ulinzi na namna ya...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Narudia tena, Tanzania kwenda kombe la dunia labda kwa viti maalumu lakini sio kupambana ili kupata nafasi. Inashangaza sana kuona kila mtu anategemea dua na kudra za mwenyezi Mungu!!!. Hivi huyu...
3 Reactions
3 Replies
723 Views
Habarini wana sports wenzangu. Kwa hali ya mienendo ya waamuzi kwenye ligi yetu ilivyo. Naona wanaweza poteza ladha ya soka letu hasa inapokuja mechi kubwa kama hii ya tarehe 11. Hebu fikiria watu...
1 Reactions
5 Replies
643 Views
Naangalia game ya Man Utd vs Arsenal, man utd wamechomoa kupitia Bruno. Wachezaji waliokuwa karibu na Bruno wamemkiblilia kushangilia pamoja Ila Ronaldo hakwenda. Huwa ni kama anakua hana furaha...
15 Reactions
49 Replies
5K Views
BILIONI 1.6 KUCHAGIZA TAIFA STARS KUFUZU KOMBE LA DUNIA QATAR 2022 === WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania pamoja na wadau wa soka nchini kuungana kwa pamoja na kuhakikisha...
7 Reactions
51 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tayari Simba imepata kocha mpywa wa makipa kuziba nafasi ya aliyekuwa kocha wa makipa kuondolewa. Maelezo zaidi yatakuja baadae
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Zanaco wametinga makundi CAF timu zingine ni kama inavyoonekana hapo juu. Ukiongeza Orando Pirates na Berkane. Mengi zaidi kuhusu Kapumbu waulizwe Yanga Utopolo.
9 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeamini mpira wa bongo bado sana, wanaohangaika ni mashabiki na wala sio viongozi.. Kuna weekend moja zimepita siku kadhaa, ilkua siku ya jumamosi, Simba SC ilikua na mechi kubwa tu nje ya...
1 Reactions
4 Replies
810 Views
Wakuu kama nitakuwa nimemfananisha basi mtanisamehe Nimemuona Dr. Aucho akiwa na kiongozi mmoja wa Wekundu wa Msimbazi. Naamini lazima kuna mtu wa ndani wa Yanga anahusika, je ni nani anaihujuma...
8 Reactions
40 Replies
7K Views
Unaposema ukubwa wa kitu ni kwenye nyanja nyingi lakini kwa leo nataka tuu tujikite kwenye mitandao ya kijamii. Hebu angalieni hapa chini
5 Reactions
54 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kwa tathmini yangu fupi sioni nafasi ya Simba Kuwatoa hawa Wazambia hasa ukizingatia tumeanzia nyumbani. Simba inabidi dirisha dogo ishughulikie kuboresha eneo la namba 6,10 na 9...
3 Reactions
99 Replies
10K Views
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, amesema Tanzania ipo tayari kuwa mwenyeji Kombe la Dunia kwa soka la watu wenye ulemavu (WAF) baada ya kumalizika inayofanyika Oktoba...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeshangazwa na Tanzania kutokupata mwanahabari wa kupiga kura za ballon dorr,wanahabari wa Tanzania (wachambuzi) wamekwama wapi kupiga kura za kumchagua mchezaji bora dunia tuzo za ballon d orr...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Japo mimi sio mfatiliaji sana wa mpira wa miguu ila nimekiwa nikijiuliza hili swali. Ni kitu gani kinawafanya wachezaji wa kigeni kupenda kucheza soka la kulipwa Tanzania? Je, wanapata mshahara...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzania tuna wachambuzi wa soka wazuri sana na inavyoonekana mpira wanaujua vizuri tu,sasa kwanini tusiwape timu ya taifa ili waifundishe?Maana ukiwasikiliza baada ya mechi wanakueleza kocha...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Simba uwa inacheza mpira mwingi wa pasi nyingi na ufundi wa hali ya juu. Hata ikitokea timu ikafungwa basi mashabiki huwa wanaridhika na kuona bahati haikua kwao kwa jinsi kiwango kizuri...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
Shomari kapombe hawezi kujiangusha kitoto vile!! mchezaji aliyemsukuma amekiri kuwa kweli alimsukuma ila anadai eti hakumsukuma kwa nguvu! DUH! Waandishi, wachambuzi hata wadau wa mpira wengine...
17 Reactions
66 Replies
5K Views
Kikosi A 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Mohamed Hussein ( Captain ) 4. Joash Onyango 5. Pascal Wawa 6. Jonas Mkude Injini ya Taifa 7. Hassan Dilunga 8. Saido Kanoute 9. Meddie Kagere 10...
8 Reactions
59 Replies
4K Views
Nianze kwa pongezi nyingi kwa Mnyama Simba kwa kufuzu makundi Kombe la Shirikisho Afrika!. Nauliza kuhusu hatma ya timu za Rivers United na Al Masry, nani amefuzu makundi Shirikisho? Rivers 2:1...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…