Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tayari Walibya wameishapata slots ya teams nne kilichobaki ni miujiza kama Simba SC wataingia group stages ya shirikisho na hiyo ina depend kama Pascal wawa ataacha mgomo wake wa kuruka juu mipira...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna watu Dua zao huwaga Ni kun faya kun hasa hasa pale Haki inapokuwa upande wao. Na bado!!! Kufa hamfi ila cha Moto mtakiona..
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Inshort kumleta Huyo Hitimana Simba tumerudi nyuma miaka 10. Kocha ana majungu sana, kule Biashara United timu iliponea chupu chupu kushuka daraja kwa falsafa zake ameondoka leo timu iko...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Kuna uwezekano MSHAMBULIAJI NAMBARI MOJA NA TEGEMO KUU LA SIMBA SC, Chris Mugalu akawa na ugonjwa wa akili nawaambia nyie hata kama ni mgeni hujali kuhusu derby kuwa na uchu basi kama wale vijana...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakuu mmebarikiwa na MUNGU WA mbinguni hakuna laana. Huyu ni mtazamo wangu juu ya baadhi ya wachezaji wa Simba kwenye mechi Ile. 1. Bwalya Huyu jamaa Kwa Mtazamo wangu NI mchezaji WA kawaida...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa kauli aliyoitoa ni Mo Dewji baada ya simba kufungwa nilijua tu Gomes hawezi kupona Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar...
11 Reactions
127 Replies
11K Views
Wakuu mmebarikiwa sana na mungu wa mbinguni hakuna laana. Huyu jamaa aitwaye saido ntibanzokiza aliletwa na yanga akitokea huko kwao Burundi baada ya kumaliza kucheza soka Ulaya. Wakati anakuja...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
"Imekuwa kawaida yenu kuongea, hata kwa Miquissone mlisema ameshindwa kucheza Afrika Kusini haya leo hii yuko wapi, tumefanya Scout ya kutosha, huyu Duncan Nyoni ni kama lidude hivi la kutisha...
31 Reactions
40 Replies
5K Views
Sikukubaliana na wewe katika mambo haya. 1. Kuwagawa wachezaji katika makundi mawili yaani hawa ni wa benchi la kudumu na wengine wanacheza mechi zote bila mapumziko na hovyo kuwafanya wachezaji...
1 Reactions
11 Replies
891 Views
1. Meneja Patrick Rweymamu 2. Mratibu Abbas 3. Kipa Aishi Manula 4. Beki Shomary Kapombe 5. Beki Pascal Wawa 6. Nahodha John Boko 7. Kocha Selemani Matola Ninaotaka wabakie tu katika Benchi...
15 Reactions
80 Replies
7K Views
Jamani kila siku tunawaomba hayo mazoezi nendeni hata gymkhana au zungusheni fensi ya mabati kule Bunju hamtaki eti nyie viongozi ni wazungu Utopolo mwaka huu wamesema liwalo na liwe lazima...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Naombeni mnijuze vigezo vya kusomea ukocha wa mpira wa miguu hasa wa watoto (5-17) kwa hapa Tanzania. Mimi nipo Kibaha kwa sasa. Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hawa wafadhili wa timu wako kibiashara zaidi so wanaangalia mambo mengi lakini lililo kuu ni faida. Wakati huu wa Covid-19 soka linaingiza hasara na mwekezaji hayuko kwa ajili ya SIFA bali yeye...
6 Reactions
35 Replies
3K Views
Tetesi za muda mfupi uliopita Klabu ya Simba imefumua benchi lake lote la Ufundi sambamba na kuwasimamisha baadhi ya wachezaji Inasemekana hatua hizo zimechukuliwa kutokana na madai ya hujuma...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Ni kwamba hapa Simba mwendo wameumaliza. Ni wazi CAF hawataki kuiona Simba mwaka huu kwenye makundi.😄😄😜😜🏃🏃
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu. Uzi tayari, kama una bisha sawa.
9 Reactions
96 Replies
9K Views
Wale wenzangu Wazee wa Kuweka Mzigo, Shughuli za Kumkula Kanji zinaendeleaje? Sasa bana juzi nilikula hela kwenye hii kampuni ya 22 bet nikajaribu kutoa hela imegoma, yaan hela imepungua kwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jana ilikuwa ni pambano huko Uzbeki kati ya Salim Mtango vs ShohJahon Ergashev ni kituko kijana watu kapigwa ngumi moja kayumba kidogo lakini hajaanguka, refa kavunja pambano kwamba ni knockout...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Taarifa za awali kabisa ni kwamba Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba SC imemfuta kazi Kocha Mkuu wa Klabu hiyo Didier Gomes Da Rosa kutokana na kushindwa kuisaidia klabu hiyo kufuzu makundi ya...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Chonde chonde wana msimbazi wenzangu, tujiangalie na kujitathmini kwa uwazi, tusiruhusu kugombana, turekebishe na tusonge mbele!! Adui zetu tusiwape faida!! Ila tusifumbie macho udhaifu wa wazi...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom