Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Hii mechi inaanza saa ngapi. Tuambiane jamani wengine tunaishi vijijini. a.k.a shibekijijini
2 Reactions
25 Replies
18K Views
Vuguvugu la fainali ya UEFA limeendelea kushika kasi hasa kuhusu suala la kuumia kwa mchezaji wa Liverpool; Mohammed Sarah ambaye baadhi wanadai aliumizwa kwa makusudi ili kuhakikisha Real Madrid...
1 Reactions
114 Replies
13K Views
Mohamed Salah amesaini mkataba wa miaka 5 kuendelea kuitumikia klabu ya Liverpool hadi mwaka 2023 Atakuwa analipwa £200,000 kwa wiki na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya klabu ya...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Inakuwaje wanajamvi! Haiwezekani kabisa huyu jamaa awe na miaka 29. Huyu ni kwenye late 40s. No he can't be 29 na kataa. Wazungu na waarabu siku hizi wanaghushi sana miaka hii katika mpira...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mashabiki wa Simba wanaongoza kwa kubadilika badilika maneno.. Manula akifanya makosa basi wote wanaimba wimbo wa Munula hafai. Mugali akifanya makosa wote wanaimba wimbo mmoja kuwa Mugalu awekwe...
3 Reactions
7 Replies
690 Views
Mimi ni shabiki wa mpira na mpira ninaujua kwa kuutazama na kuucheza uwanjani. Haiitaji elimu kubwa kugundua kuwa Chris Mugalu hafai na hastahili kuanza kikosi cha kwanza kulingana na kiwango...
23 Reactions
280 Replies
58K Views
Timu ya Mpira wa Miguu ya Simba SC leo itakuwa na kibarua cha kumenyana na timu ya Al Merrikh kutoka nchini Sudan katika dimba la Benjamin Mkapa. Mchezo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Al Hilal...
14 Reactions
506 Replies
37K Views
Mpaka sasa dakika ya 60 keshakula mtu tayari hamsa
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Timu kubwa kama Simba ambayo inafahamika dunia nzima haiwezi kuwa na watu wa hovyo hovyo na duni kama huyu kijana , huyu kwanza ana kashfa zisizo na idadi za kupiga picha za aibu na kuzisokomeza...
1 Reactions
4 Replies
804 Views
Kocha mkuu wa Simba sc Didier Gomes ni wakati muafaka wa kuondoka Simba sc kwani hujaletwa kwa ajili ya kukaa jukwaani na ligi kuu. Gomes na matola ni wakati wa kuondoka Simba, kwani Hana sifa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mitaaani kuanzia kariakoo Msimbazi hadi mitaa ya huku kwetu huwezi kusikia makelele. WanaSc punguzeni makelele mnaposhinda hasa mkipata kabao komoja.
2 Reactions
6 Replies
553 Views
Mnaweza Kuwalaumu Wachezaji, lakini kwa ubora ule wa wakina Sakho, Kanoute na Banda ni vigumu sana kwa mtu mwenye akili kichwani kutarajia makuu kutoka kwao. Mnaweza kumlaumu kocha lakini kwa...
1 Reactions
2 Replies
836 Views
Mpira ni dakika tisini. Poleni sana Wana Msimbazi ila ninawashauri mtafute kipa. Manula ni mfupi na hawezi mipira kama ile ya leo. Kweli ni masikitiko makubwa.
3 Reactions
16 Replies
938 Views
Dah mechi ya utopolo alikwasha akambana Djuma Shaban kupanda akatolewa leo tena katoka naona Peter Banda kaboa. Dilunga alimkoseaga nini mzungu. Asee na kwa urukaji ule wa pascal wawa mungu...
10 Reactions
22 Replies
1K Views
Mo kashaichoka Simba ndo maana kuna mambo mengine haangaiki nayo kabisa na aliamua kujitoa kwenye uwenyekiti mapema kabisa hii ikionyesha kashaichoka Simba. Na yupo Simba kwasababu ya kukuza...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanasimba wenzangu, Mpira uko hivyo hivyo kikubwa tukamilishe zoezi la kesho kama tulivyowaahidi Watanzania, muhamasishaji wetu aliahidi kua tukifungwa tutakusanyana tutembee uchi Mwenge hadi...
4 Reactions
15 Replies
748 Views
Ali Mayai na wenzanke wanavaa suti zimewabana na zinaonyesha kushonwa na mafundi ambao hawana viwango kabisa. Azam Tv wanapata pesa nyingi kupitia matangazo ya soka. Kwa nini wasiwanunukie...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Hii ndio hali halisi Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
1 Reactions
11 Replies
860 Views
Mpira huchezwa hadharani na pengo la ile biashara kichaa lilianza kudhihiri muda sasa achililia mbali pengo la Sven. All I can say Is, BYE BYE GOMEZ. Huna credentials za kuwa kocha wa Simba. That...
1 Reactions
2 Replies
418 Views
TFF naona wameanza kuwaandalia Simba viporo visivyo na sababu Mie nadhani Azam waliocheza jana walikuwa na haki zaidi ya kuomba kupumzika kuliko makolo sababu Pyramid ni timu bora na ngumu kuliko...
9 Reactions
74 Replies
4K Views
Back
Top Bottom