Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

maandiko matakatifu yanasema ukweli hukuweka huru na mimi leo hii nimeamua kuongea ukweli ambao nahisi utaniweka huru. ukweli huu uko wazi kwa baadhi ya watu wanaoifuatilia na kuitakia mema...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Mniwie radhi kwa herufi makubwa, nimeichukua hii toka kwa Michuzi kama ilivyo. SHIRIKISHO LA SOKA NCHINI A.K.A TFF LEO IMEIFUNGIA TIMU YA YANGA KUTOSHIRIKI MICHEZO YOYOTE YA KIRAFIKI NA...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Mzee Karume alikujengeeni jengo hilo zuri tu bureee! Mbona mwashindwa kulitunza pamoja na mihela yote mnayoimwaga. Sijui kwa nini mzee Karume asiwajengee kama hilo Miembeni. Mna bahati mwaikejeli.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu habari,kimsingi sielewi km ni sahihi kwa anachokifanya huyu mwandishi,kutwa kucha kuikejeli Young Africans. Kwenye utaratibu huo wa post zake za kuitweza brand kubwa ya Yanga kuna matangazo...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwa mtazamo wangu bado timu inahitaji kufanya usajili wa maana. Bado pengo la Chama na Luis lipo wazi. Ushauri wangu kupitia dirisha dogo tufanye usajili laa sivyo ubingwa ligi kuu utakua ni...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Kutoka kwa Ujugu kuwa leo kama hawaoni vile.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Inawezekana leo Oktoba 7, 2021 waarabu wa Saudia wakainunua Newcastle United. Uwekezaji unategemewa kua mkubwa zaidi ule wa City, hii italeta vita kubwa sana kuwania nafasi 4 za juu kushiriki...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Uraia alionao na tuliompa after the fact unaweza kupingwa kwenye mahakama za juu za mpira kama timu iliyofungwa na Simba au taifa stars ilimchezesha Kibu Denis kwenye mechi zake. Kibu alisajiliwa...
8 Reactions
87 Replies
8K Views
Haya hayaa wale wazee wa kupitisha milioni 15 kwa WALEZI have done it again, call them UTOPOLO, UTOPWENGA, UTOPWINYO waharibifu wa logo na brand za wenzao kudadekii majitu ambayo logo yao ni...
11 Reactions
58 Replies
5K Views
Hapa tuseme ukweli. Tangu kuondoka Manara kuna mambo tayari Simba imerudi nyuma na kulingana na Yanga. Kuna faida moja Manara ameiacha kwa Yanga nitaitaja baade. Katika kipindi hiki cha...
8 Reactions
23 Replies
4K Views
Kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha clouds fm cha asubuhi hii ya leo, Perfect Chikwende ameamua kuvunja mkataba na simba na kurejea kwao Zimbabwe ambapo kwasasa anafanya mazoezi na klabu ya fc...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Kuna Mjadara Unzazungumzwa Sana Pasi na Kuangaliwa na Kutazamwa Kwa Jicho la Ziada. Suala la Idadi kubwa ya wachezaji wa Simba SC kuitwa kwenye Timu za Taifa. Kiufupi iko hivi: Dar es Salaam...
8 Reactions
215 Replies
16K Views
Wewe kila ukija Maskani Mikocheni Kupiga Stori na Kukutana na Marafiki zako Wanamuziki wa Bendi za Dansi kutoka Congo DR kazi yako ni Kulalamikia tu. Unasema unachukizwa na Klabu ya Yanga...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Mchezaji wa Taifa stars anapewaje uraia leo? Daaaah So sad figisu za soka letu. Mtu ameshavaa jezi ya Stars leo ndiyo anapewa uraia leo? NaKumbuka hata Yusuph Poulsen alitaka sana...
8 Reactions
43 Replies
9K Views
1- Udhamini shilingi ngapi? 2- Mgawanyo utakuwaje kwa vilabu, sawa au mgawanyo kwa thamani ya vilabu? 3- Mechi zilishokwisha chezwa included katika mafikirio au mechi zinahesabiwa kuanzia siku...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Yaani huwa wanaume wanapenda tutuhukumu sana kwa nyanja zifuatazo: 1: Wanaamini hatujui mpira. Yes, ni kweli hatujui sana football kama nyie lakini tuna mapenzi nao pia. Kwanini msitusaidie...
16 Reactions
166 Replies
11K Views
Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Yanga wakikataa twiga mwekundu ,na Simba wakisimamia kwenu kanuni ya TFF nini kitatokea?Maana hawa majamaa walikimbia mechi mchana kweupe basi lilipaa kama mwewe wakisimamia kanuni. Sasa wapo nje...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama wewe ni mpenzi wa timu hii ya Mbeya iliyopanda daraja msimu huu karibu tujadili mambo gani muhimu yanatakiwa ili timu hii isishuke daraja.Katika maandalizi ya kuelekea ligi kuu timu hii...
9 Reactions
57 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…